Uteuzi: Suleiman Abubakar Mombo Ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa, Siwa amestaafu

Uteuzi: Suleiman Abubakar Mombo Ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa, Siwa amestaafu

1968 wahafidhina wa kanisa wakafanya sensa na kuja na matokeo ya wakiristo kuwa wengi,wakapeleka umoja wa mataifa,wakaulizwa Kuna janga gani limewakuta waislam tu wa Tanganyika mpaka kupungua hivi,wakashushuka,tangu pale hapakua na kipengele Cha dini kwenye sensa Hadi Leo,2012 ponda na wenzake walitaka iwekwe column ya dini kwenye karatasi za sensa lau sivyo waislam wasusie,Cha ajabu miongoni mwa waliokua msitari wa mbele kupinga Hilo ni maaskofu,hizo takwimu zako unazozionesha ndizo zilizomvuruga ponda na wenzake Hadi kutaka column ya dini,huo ni uzushi,wakatoliki wanadai wapo 13m,walutheri wanadai wapo 8m,walokole hata 5m hawafiki,hiyo jumla chini ya 26m,tz Ina watu 65m,hao 40m+ ni akina nani!?
Takwimu nyingine
 

Attachments

  • 1B737EAA-22D4-4E4A-A15E-B4F0BF5CEF38.jpeg
    1B737EAA-22D4-4E4A-A15E-B4F0BF5CEF38.jpeg
    696.3 KB · Views: 8
  • 25E15ED4-2B2E-4E19-8042-067C1ED679F2.jpeg
    25E15ED4-2B2E-4E19-8042-067C1ED679F2.jpeg
    628.5 KB · Views: 8
Rais Samia afanya uteuzi wa Mkurugenzi Wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) ambapo bwana Abubakar Mombo Ateuliwa baada ya ndugu Siwa kustaafu.

View attachment 3039745
View attachment 3039759

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi Bw. Mululi Majula Mahendeka, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua na kumuapisha Bw. Suleiman Abubakar Mombo kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa.

Kabla ya uteuzi huu, Bw. Mombo alikuwa Afisa Mwandamizi wa Ofisi ya Rais, Ikulu. Bw. Mombo amechukua nafasi ya Balozi Ali Idi Siwa ambaye amestaafu.

Sharifa B. Nyanga
Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu
View attachment 3039754

Pia Soma
Tetesi: - Mombo Seleman kuwa Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa (TISS). Aliyepo anafukuzwa muda wowote
Mh rais mimi nateuliwa lini mkuu,kila mkeka ukitoka mimi Simo nimekoea nchi yangu nini mh rais
 
Taja wilaya za ruvuma,iringa tupo tangu mkwawa,tabora,kilimanjaro tupo,singida tumetawala,ni mbeya na Arusha tu tupo wachache,Arusha kwenyewe wamasai ni wapagani, ukiristo umeingia tz 1800s,wakati 800 Kuna Islamic Emirates kilwa/pwani
😂😂😂 eti mkwawa alikuwa wa kwenu unashangaza, sisi tuna vigango kila j mosi tunasali na kuhesabiana so tuna ijua fika idadi yetu wewe endelea kuota na stori za mohamed said
 
😂😂😂 eti mkwawa alikuwa wa kwenu unashangaza, sisi tuna vigango kila j mosi tunasali na kuhesabiana so tuna ijua fika idadi yetu wewe endelea kuota na stori za mohamed said
Hao wakuu wako wa vigango ndiyo waliosema vigangoni mpo 13m,mkwawa alikua muislam,fika makumbusho yake hapo iringa utakuta hilo
 
Hao wakuu wako wa vigango ndiyo waliosema vigangoni mpo 13m,mkwawa alikua muislam,fika makumbusho yake hapo iringa utakuta hil
Utajikojolea amka, wakatoliki ni zaidi ya 40% ya watz sisi tunazo takwimu zetu tayar mana daily tunahesabiana na huko iringa hakuna evidence yoyote ya mtwa kuwa muislam hili nnaforce daily na halitatokea, sasa nyinyi si mpo wengi mimi naona zipigwe tu ili mbabe ajulikane ili hizi kelele ziishe
 
Ila watu huwa waongo sana kuna dingi kwenye kijiwe chetu cha kahawa akawa anatuambia teeth wanaapa wakiwa wameshika bastola

Naona Mkurugenzi kashika zake quran, ama kweli ukiwa hujui mambo watu wanajichukulia sana ujiko ngoja nipunguze route za vijiwe vya kahawa tunadanganyana sana
 
Utajikojolea amka, wakatoliki ni zaidi ya 40% ya watz sisi tunazo takwimu zetu tayar mana daily tunahesabiana na huko iringa hakuna evidence yoyote ya mtwa kuwa muislam hili nnaforce daily na halitatokea, sasa nyinyi si mpo wengi mimi naona zipigwe tu ili mbabe ajulikane ili hizi kelele ziishe
"Tanzania: main religions by area of residence 2021 | Statista" Tanzania: main religions by area of residence 2021 | Statista
Nimejitahidi kitafuta habari za takwimu zenu alipokuja papa 1990,bahati mbaya sijapata ile makala,nitaisaka niitunze
 
WA TANZANIA NI WASAULIFU ILA KILICHOMTOA SIWA NI ISSUE YA SATIVA KASHINDWA FUATILIA ALITEKWA NA NANI NA MAMA HATAKI DAMU SASA MILLION 35 KUONDOKA HIVYI HIVYI NI UJINGA
CCM wamenusa kuwa mwakani Uchaguzi utakuwa mgumu kwa upande wao hasa mgombea akiwa Samia hivyo walipanga kufanya kama ilivyofanyika 2020 na TISS ndiyo ingeratibu wizi huo Siwa akawakatalia kuwa nchi itachafuka ndiyo wakina Nchimbi wakamshauri amtoe na wamweke mtu ambaye ata comply ndiyo akaletwa Mombo.
 
Pande mbili zipi wewe kafiri??

Muislam gan anajitambua aende Kwa yule checkbob kukanyaga mafuta ili apate MTOTO??

Muislam toka lini akaamini katika upako wa yesu kristo?pigweni kimpango wenu msituingize waislam kwenye drama zenu
Upo sahihi, ila mbona hakuna Muislam mwenye muonekano wa Kama hiyo Avant yako hapo. Picha na unachokieleza ni tofauti
 
Ila watu huwa waongo sana kuna dingi kwenye kijiwe chetu cha kahawa akawa anatuambia teeth wanaapa wakiwa wameshika bastola

Naona Mkurugenzi kashika zake quran, ama kweli ukiwa hujui mambo watu wanajichukulia sana ujiko ngoja nipunguze route za vijiwe vya kahawa tunadanganyana sana
Hakukudanganya amewaambia ukwey100% huyo anaapa kama kiongozi ila kipindi amemaliza mafunzo bunduki lazima
 
CCM wamenusa kuwa mwakani Uchaguzi utakuwa mgumu kwa upande wao hasa mgombea akiwa Samia hivyo walipanga kufanya kama ilivyofanyika 2020 na TISS ndiyo ingeratibu wizi huo Siwa akawakatalia kuwa nchi itachafuka ndiyo wakina Nchimbi wakamshauri amtoe na wamweke mtu ambaye ata comply ndiyo akaletwa Mombo.
Mombo alikuwa master mind mkubwa 2020 wengi walifanya naye kazi
 
Mbona tunaambiwa kastaafu! Nani kakudanganya kuwa uchaguzi wa mwakani utakuwa mgumu kwa CCM? Hata wakiweka jiwe bado wanashinda!

Siku CCM ikijiondoa kwenye CCM-DOLA huu ndiyo utakuwa mwisho wake.
Usizungumze mambo usiyoyajua wewe. Unajua Siwa ana umri gani? Huyu alishastaafu siku nyingi aliitwa kwa mkataba. Ishu ya kuwa kuwa uchaguzi mwakani utakuwa mgumu siyo siri kwa wenye akili kwani kuna mgawanyiko mkubwa ndani ya CCM tangu kifo cha JPM. Hilo la kuwa hata wakiweka jiwe litashinda ndiyo mwanzo wa tofauti iliyomuondoa Siwa kwani hicho unachoita ushindi ni wizi wa kura ambao Siwa alikuwa hakubaliani nao hasa kwa kuitumia TISS kuratibu wizi huo.
 
Back
Top Bottom