Uteuzi: Suleiman Abubakar Mombo Ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa, Siwa amestaafu

Uteuzi: Suleiman Abubakar Mombo Ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa, Siwa amestaafu

Hongera kwake, ni kazi yenye majukumu mazito sana.

Allah amjaalie hekima, busara, weledi na aifanye kazi yake kwa uadilifu mkubwa bila kuonea mtu.

Ni madaraka mazito sana.
 
Rais Samia afanya uteuzi wa Mkurugenzi Wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) ambapo bwana Abubakar Mombo Ateuliwa baada ya ndugu Siwa kustaafu.

View attachment 3039745
View attachment 3039759

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi Bw. Mululi Majula Mahendeka, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua na kumuapisha Bw. Suleiman Abubakar Mombo kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa.

Kabla ya uteuzi huu, Bw. Mombo alikuwa Afisa Mwandamizi wa Ofisi ya Rais, Ikulu. Bw. Mombo amechukua nafasi ya Balozi Ali Idi Siwa ambaye amestaafu.

Sharifa B. Nyanga
Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu
View attachment 3039754

Pia Soma
Tetesi: - Mombo Seleman kuwa Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa (TISS). Aliyepo anafukuzwa muda wowote


Kwa jamii ya waelewa ungekuta tangu Jana ile cv yake ingemwagika watu waone?
 
hapa kwake pana space ya kutosha tu hata helcopter inatua bila shida.
Mmmm
Hongera kwake, ni kai yenye majukumu mazito sana.

Allah amjaalie hekima, busara, weledi na aifanye kazi yake kwa uadilifu mkubwa bila kuonea mtu.

Ni madaraka mazito sana.
Mombo anasifa hizo zote wala shaka hakuna,Naamini kwa utulivu wake na akili nyingi za busara basi mambo yatakuwa Mazuri.
Labda sasa Rais Samia anaweza kupumua nakufanya majukumu yake vizuri. Mana Tiss ilikuwa haina utulivu kabisa.
 
Mmmm

Mombo anasifa hizo zote wala shaka hakuna,Naamini kwa utulivu wake na akili nyingi za busara basi mambo yatakuwa Mazuri.
Labda sasa Rais Samia anaweza kupumua nakufanya majukumu yake vizuri. Mana Tiss ilikuwa haina utulivu kabisa.
TISS ya mwendazake ilikuwa inafanya kazi kinyume kabisa na falsafa za mama Samia, hilo halina shaka.
 
1968 wahafidhina wa kanisa wakafanya sensa na kuja na matokeo ya wakiristo kuwa wengi,wakapeleka umoja wa mataifa,wakaulizwa Kuna janga gani limewakuta waislam tu wa Tanganyika mpaka kupungua hivi,wakashushuka,tangu pale hapakua na kipengele Cha dini kwenye sensa Hadi Leo,2012 ponda na wenzake walitaka iwekwe column ya dini kwenye karatasi za sensa lau sivyo waislam wasusie,Cha ajabu miongoni mwa waliokua msitari wa mbele kupinga Hilo ni maaskofu,hizo takwimu zako unazozionesha ndizo zilizomvuruga ponda na wenzake Hadi kutaka column ya dini,huo ni uzushi,wakatoliki wanadai wapo 13m,walutheri wanadai wapo 8m,walokole hata 5m hawafiki,hiyo jumla chini ya 26m,tz Ina watu 65m,hao 40m+ ni akina nani!?
Acha uongo aliyemkatalia ponda kuweka kipengele cha dini ni kikwete na sio maskofu
Jiulize kwanini samia rais muislamu hakuweka iko kipengele cha dini

Na nikusaidie kipindi cha kikwete rais muislamu mashehe wengi sana walifunga na kuwekwa korokoroni
 
Screenshot_2024-07-12-10-38-40-070-edit_com.facebook.katana.jpg
 
Rais Samia afanya uteuzi wa Mkurugenzi Wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) ambapo bwana Abubakar Mombo Ateuliwa baada ya ndugu Siwa kustaafu.

View attachment 3039745
View attachment 3039759

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi Bw. Mululi Majula Mahendeka, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua na kumuapisha Bw. Suleiman Abubakar Mombo kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa.

Kabla ya uteuzi huu, Bw. Mombo alikuwa Afisa Mwandamizi wa Ofisi ya Rais, Ikulu. Bw. Mombo amechukua nafasi ya Balozi Ali Idi Siwa ambaye amestaafu.

Sharifa B. Nyanga
Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu
View attachment 3039754

Pia Soma
Tetesi: - Mombo Seleman kuwa Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa (TISS). Aliyepo anafukuzwa muda wowote
Mvinyo ni ile ile ya siku zote, isipokuwa hapa inayobadilishwa ni chupa tu.

Watanzania wanataka Mvinyo Mpya iliyowekwa kwenye chupa mpya.
 
Umenikumbuka miaka ile DgTiss akiwa Yule bwana mlokole aliyekuaga Nida.
Sasa almost mwezi hiv kabla ya kutumbuliwa, kuna mwamba mmoja humu alitambulika kwa id ya My Son Drink Water (sijui kapotelea wap sikunhiz), huyu jamaa alifululiza sana kuandika thread za kumtahadharisha yule bwana kwamba soon atatumbuliwa hivyo achukue hatua mapema, bas na mimi nikawa natumia zile nondo naenda kupigia soga ofisin enz hizo nimeajiriwa.

Bas siku ilipofika kwel akatumbuliwa, mkurugenz wangu ofisin aliniogopa sana, akawa anauliza wewe ulijuaje? 😂😂😂.
Maana zile story nilikua nazipiga kama mimi ndio za kwangu vile .
Mi siku hizi wananiita Juma bhalo kila kitu najua mimi maana wakileta stor za mapenzi nimo burudani nimo siasa nimo afya nimo kifupi mada yoyot ikiletwa mbele yngu akili chapu inahamia jf
 
Umenikumbuka miaka ile DgTiss akiwa Yule bwana mlokole aliyekuaga Nida.
Sasa almost mwezi hiv kabla ya kutumbuliwa, kuna mwamba mmoja humu alitambulika kwa id ya My Son Drink Water (sijui kapotelea wap sikunhiz), huyu jamaa alifululiza sana kuandika thread za kumtahadharisha yule bwana kwamba soon atatumbuliwa hivyo achukue hatua mapema, bas na mimi nikawa natumia zile nondo naenda kupigia soga ofisin enz hizo nimeajiriwa.

Bas siku ilipofika kwel akatumbuliwa, mkurugenz wangu ofisin aliniogopa sana, akawa anauliza wewe ulijuaje? 😂😂😂.
Maana zile story nilikua nazipiga kama mimi ndio za kwangu vile .
UBAYA ni kuwa viongozi hao sijui kama wapo jf au wanaweka watu kufuatilia wanavyosemwa online
 
Umenikumbuka miaka ile DgTiss akiwa Yule bwana mlokole aliyekuaga Nida.
Sasa almost mwezi hiv kabla ya kutumbuliwa, kuna mwamba mmoja humu alitambulika kwa id ya My Son Drink Water (sijui kapotelea wap sikunhiz), huyu jamaa alifululiza sana kuandika thread za kumtahadharisha yule bwana kwamba soon atatumbuliwa hivyo achukue hatua mapema, bas na mimi nikawa natumia zile nondo naenda kupigia soga ofisin enz hizo nimeajiriwa.

Bas siku ilipofika kwel akatumbuliwa, mkurugenz wangu ofisin aliniogopa sana, akawa anauliza wewe ulijuaje? 😂😂😂.
Maana zile story nilikua nazipiga kama mimi ndio za kwangu vile .
Jamaa alikuwa anaandika mlokole abadilishe au kubadilika nn
 
WA TANZANIA NI WASAULIFU ILA KILICHOMTOA SIWA NI ISSUE YA SATIVA KASHINDWA FUATILIA ALITEKWA NA NANI NA MAMA HATAKI DAMU SASA MILLION 35 KUONDOKA HIVYI HIVYI NI UJINGA
 
Mi siku hizi wananiita Juma bhalo kila kitu najua mimi maana wakileta stor za mapenzi nimo burudani nimo siasa nimo afya nimo kifupi mada yoyot ikiletwa mbele yngu akili chapu inahamia jf
Ahahahah..ni sahihi mkuu, taarifa sahihi za humu ukizifaham kwa wingi, unakua mtu mwenye content sana ukikutana na watu average ambao sio wafuatiliaji wa mambo
 
Back
Top Bottom