Uteuzi: Suleiman Abubakar Mombo Ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa, Siwa amestaafu

Uteuzi: Suleiman Abubakar Mombo Ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa, Siwa amestaafu

1968 wahafidhina wa kanisa wakafanya sensa na kuja na matokeo ya wakiristo kuwa wengi,wakapeleka umoja wa mataifa,wakaulizwa Kuna janga gani limewakuta waislam tu wa Tanganyika mpaka kupungua hivi,wakashushuka,tangu pale hapakua na kipengele Cha dini kwenye sensa Hadi Leo,2012 ponda na wenzake walitaka iwekwe column ya dini kwenye karatasi za sensa lau sivyo waislam wasusie,Cha ajabu miongoni mwa waliokua msitari wa mbele kupinga Hilo ni maaskofu,hizo takwimu zako unazozionesha ndizo zilizomvuruga ponda na wenzake Hadi kutaka column ya dini,huo ni uzushi,wakatoliki wanadai wapo 13m,walutheri wanadai wapo 8m,walokole hata 5m hawafiki,hiyo jumla chini ya 26m,tz Ina watu 65m,hao 40m+ ni akina nani!?
Nyinyi si mpo wengi?sasa turuhusu zipigwe kila mmoja akisaidiwa na master wake(arabs vs whites) alafu majibu yatapatikana tu atakayeshinda ndo anatawala mazima mana hizi kelele za sisi sijui wengi tushazichoja
 
Rais Samia afanya uteuzi wa Mkurugenzi Wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) ambapo bwana Abubakar Mombo Ateuliwa baada ya ndugu Siwa kustaafu.
View attachment 3039745
View attachment 3039759

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi Bw. Mululi Majula Mahendeka, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua na kumuapisha Bw. Suleiman Abubakar Mombo kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa.

Kabla ya uteuzi huu, Bw. Mombo alikuwa Afisa Mwandamizi wa Ofisi ya Rais, Ikulu. Bw. Mombo amechukua nafasi ya Balozi Ali Idi Siwa ambaye amestaafu.

Sharifa B. Nyanga
Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu
View attachment 3039754

Pia Soma
Tetesi: - Mombo Seleman kuwa Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa (TISS). Aliyepo anafukuzwa muda wowote
Mkurugenzi wa usalama wa taifa wa ccm!.....
 
Nyinyi si mpo wengi?sasa turuhusu zipigwe kila mmoja akisaidiwa na master wake(arabs vs whites) alafu majibu yatapatikana tu atakayeshinda ndo anatawala mazima mana hizi kelele za sisi sijui wengi tushazichoja
Una akili timamu!?..master wenu wazungu?..sisi hatuna master
 
Kanda ya kaskazini hampo, juu kusini ndo usiseme, magharibi na kati hampo, lake zone hampo nyie kwenu pwani tu eti ruvuma waislam kweli wewe kichaa. Ukristo una miaka 2000+ , miaka 600 badae ndo muddy akatunga ngonjera zake tena kwa msaada wa wakatoliki zaidi ya 40% ya watz ni wakatoliki nyie kwenu pwani tu
I proud to be ROMAN catholic
KANISA MOJA TAKATIFU LA MITUME
Taja wilaya za ruvuma,iringa tupo tangu mkwawa,tabora,kilimanjaro tupo,singida tumetawala,ni mbeya na Arusha tu tupo wachache,Arusha kwenyewe wamasai ni wapagani, ukiristo umeingia tz 1800s,wakati 800 Kuna Islamic Emirates kilwa/pwani
 
1968 wahafidhina wa kanisa wakafanya sensa na kuja na matokeo ya wakiristo kuwa wengi,wakapeleka umoja wa mataifa,wakaulizwa Kuna janga gani limewakuta waislam tu wa Tanganyika mpaka kupungua hivi,wakashushuka,tangu pale hapakua na kipengele Cha dini kwenye sensa Hadi Leo,2012 ponda na wenzake walitaka iwekwe column ya dini kwenye karatasi za sensa lau sivyo waislam wasusie,Cha ajabu miongoni mwa waliokua msitari wa mbele kupinga Hilo ni maaskofu,hizo takwimu zako unazozionesha ndizo zilizomvuruga ponda na wenzake Hadi kutaka column ya dini,huo ni uzushi,wakatoliki wanadai wapo 13m,walutheri wanadai wapo 8m,walokole hata 5m hawafiki,hiyo jumla chini ya 26m,tz Ina watu 65m,hao 40m+ ni akina nani!?
Wakatoliki wapo 32 million ukienda Lutheran wapo 17 million Anglican 8 million Sabato 4 million Pentecostal 5 million Inland Church 2 million.
 
Yeah,nchi hii Ina waislam wengi kuliko Imani yoyote,ile kujazana wafuasi wa Paulo tu ofisi za umma inaenda kuisha,so zowea
Mbona hatuwaoni mashuleni hao wengi, mbona hatuwaoni katka kugombea nafasi mbalimbali, mbona hatuwaoni zinapotangazwa nafasi za kazi? Katika 100 wataonekana 7 au 10 na bila upendeleo maalumu hawaezi kupenya.
 
Kama unajua wewe mwenyewe hutoshi, basi acha kutumbua tumbua bianadamu c wakamilifu
don't assume kwamba anatumbua watu kwa vile anaona mapungufu.... unampa credit za uongo

huyo Siwa kakaa miezi 10, leo kastaafu, alipomteua majuzi alijua anaenda kustaafu in months....


alitaka huyo Siwa aondoke na mafao ya Mkurugenzi Mstaafu... Rais anaigharimisha nchi big time, anafilisi nchi. Huyu Mombo nae atakaa kidogo atamtoa, na yeye anaenda kula mafao ya Mkurugenzi Mstaafu.... Mama ni mgawanyisha mavyeo, anadhani nchi ni ya kutafunwa na wachache na ku share maulaji within a few elites .... hana huruma hata kidogo na rasimimali za nchi na maslahi ya wananchi walioko nje ya system....

Pin the blame at the mausoleum doorstep of the founding father. Yote haya kasababisha Mwalimu. Alisema siku akija kiongozi mkora, jahili mfakamia madaraka, mtaona cha mtema kuni. Sasa kwa nini hukubadilisha mfumo ambao wewe ndo umeusuka, na wewe ndo umegundua mfumo ni effed up ???
 
Aliyetoa habari za huyo "mlolokole" kutahadharishwa sana atatumbuliwa alikuwa ni Kigogo2014 kule twitter hata siku yake mchana huo aliandika na jamaa akatolewa so labda iwe ni coincidence hiyo ndio ilikuwa ID yake ya humu kama naye hakuwa anacopy.

Sababu za yule bwana kutolewa zilikuwa ni za ajabu tu maana mwanzo aliwekwa house arrest baadae ndio akapelekwa Windhoek.
Alifanya kosa gani yule bwana? Why house arrest
 
Back
Top Bottom