Sangizi
JF-Expert Member
- Nov 9, 2015
- 1,942
- 4,230
Achs tu, majasusi wa online watajaa balaa si muda😄 eti wanyama
Ehe mada pendwa jf imekuja
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achs tu, majasusi wa online watajaa balaa si muda😄 eti wanyama
Ehe mada pendwa jf imekuja
Ova
Huogopi kuitwa Tiss mkuu😄Ngoja nipige kambi kwenye huu uzi . Najua nitapata nondo mbili tatu za kwenda kuwahadithia watu kesho kibaruani
Nasikia anajua Kung Fu na Karate Rais wa Urusi Vladmir Putin anasubiri je, ni Kweli Mkuu?Mwandamizi kabisa, kila la kheri.
Paulo nj msomi sana ujue! Usije ukamfananisha na watoro wa shule!Yeah,nchi hii Ina waislam wengi kuliko Imani yoyote,ile kujazana wafuasi wa Paulo tu ofisi za umma inaenda kuisha,so zowea
... after teuzi!teuzi after teuzi!
Du! inabidi tukodi GEN ZMi mwanzo usalama wa taifa nilidhani ni watu wa maana sanaeua zao na tengua zao zinadhihirisha hata mwalimu wa primary ana umuhimu. Kuua , kung'oa kucha, kuharibu nchi yenu ndicho mnaweza
Mwaka 1958 kabla ya uhuru Nani alifanya hio sensa ?Sensa ya mwisho yenye kipengele Cha dini 1958
Hao waislamu umewaona hapo tiss tu huko kwingine ni wafuasi wa dini ganiAlimtaftia mafao, astaafu vizuri na mafao mazuri.
Samia miaka 3, wakurugenzi wa taasisi anabadilisha kama njugu.
1. TRA 3, Mhede, Kidata, Juma
2. TISS 4, Diwani, Yule Ustaadhi mwinge, Siwa, huyu wa Leo. Hapa TISS waote anaoweka na kuwaondoa ni waislamu wenzie.
2. Tanesco 3, Tito, Maharage, Gissima
4. BOT 2, Mgaya na sasa Tutuba
5. TPDC 4, Mataragio, Yule kada, Matargio, wa Sasa.
5. Rea, Mahalu, wa sasa.
6. Ewura, 2 , mume wa Tulia na yule mwingine.
7. Polisi, 2, Siro, wambura.
8. Magereza 2, yule mjeshi na huyu wa sasa.
9. NSSF 2,
10. Psssf 2
11. Ttcl 3.
12. Jeshi, mabeyo, wa sasa
13. Makatibu wakuu, makatibu tawala, wakurugenzi wa halmashauri hao ni kama kunywa juice, ni daily. Wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, das ni balaa.
Shida iko kwake na sio kwa wateule wake.
Aliyetoa habari za huyo "mlolokole" kutahadharishwa sana atatumbuliwa alikuwa ni Kigogo2014 kule twitter hata siku yake mchana huo aliandika na jamaa akatolewa so labda iwe ni coincidence hiyo ndio ilikuwa ID yake ya humu kama naye hakuwa anacopy.Umenikumbuka miaka ile DgTiss akiwa Yule bwana mlokole aliyekuaga Nida.
Sasa almost mwezi hiv kabla ya kutumbuliwa, kuna mwamba mmoja humu alitambulika kwa id ya My Son Drink Water (sijui kapotelea wap sikunhiz), huyu jamaa alifululiza sana kuandika thread za kumtahadharisha yule bwana kwamba soon atatumbuliwa hivyo achukue hatua mapema, bas na mimi nikawa natumia zile nondo naenda kupigia soga ofisin enz hizo nimeajiriwa.
Bas siku ilipofika kwel akatumbuliwa, mkurugenz wangu ofisin aliniogopa sana, akawa anauliza wewe ulijuaje? 😂😂😂.
Maana zile story nilikua nazipiga kama mimi ndio za kwangu vile .
Ngoja nipige kambi kwenye huu uzi . Najua nitapata nondo mbili tatu za kwenda kuwahadithia watu kesho kibaruani
Ilikuwa haina haja ya kumjibu mtu anayewaza udini mtupu alaaniweHuyu siyo Mzanzibari. Nimemfahamu mwaka 2001 akiwa Idarani tayari
Ni kweli hujui nani aliendesha hiyo sensa,au hutaki matokeo yake kwa kuwa huyapendi!?..1968 serikali huru ya wahafidhinaMwaka 1958 kabla ya uhuru Nani alifanya hio sensa ?
![]()
Tanzania - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Angalia 👆🏿 utapata majibu
1968 wahafidhina wa kanisa wakafanya sensa na kuja na matokeo ya wakiristo kuwa wengi,wakapeleka umoja wa mataifa,wakaulizwa Kuna janga gani limewakuta waislam tu wa Tanganyika mpaka kupungua hivi,wakashushuka,tangu pale hapakua na kipengele Cha dini kwenye sensa Hadi Leo,2012 ponda na wenzake walitaka iwekwe column ya dini kwenye karatasi za sensa lau sivyo waislam wasusie,Cha ajabu miongoni mwa waliokua msitari wa mbele kupinga Hilo ni maaskofu,hizo takwimu zako unazozionesha ndizo zilizomvuruga ponda na wenzake Hadi kutaka column ya dini,huo ni uzushi,wakatoliki wanadai wapo 13m,walutheri wanadai wapo 8m,walokole hata 5m hawafiki,hiyo jumla chini ya 26m,tz Ina watu 65m,hao 40m+ ni akina nani!?Mwaka 1958 kabla ya uhuru Nani alifanya hio sensa ?
![]()
Tanzania - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Angalia 👆🏿 utapata majibu
Sema mjanjamjanjaPaulo nj msomi sana ujue! Usije ukamfananisha na watoro wa shule!
Anaelewa basi uyo mvaa dera yeye mwambie madrasa na kutupiana majini tu ndo anselewaMwaka 1958 kabla ya uhuru Nani alifanya hio sensa ?
![]()
Tanzania - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Angalia 👆🏿 utapata majibu
Kanda ya kaskazini hampo, juu kusini ndo usiseme, magharibi na kati hampo, lake zone hampo nyie kwenu pwani tu eti ruvuma waislam kweli wewe kichaa. Ukristo una miaka 2000+ , miaka 600 badae ndo muddy akatunga ngonjera zake tena kwa msaada wa wakatoliki zaidi ya 40% ya watz ni wakatoliki nyie kwenu pwani tuTehtehetehteh pole,mbeya,rukwa,Arusha sawa,huko mpo 60%+.. kwingine mpo kiduchu Sana,dini Haina miaka 150 Tanganyika ulinganishe na dini ipo tangu Karne ya nane!!?..dar,zenji,Tanga,Lindi,mtwara,ruvuma ni waislam 80%,tabora,kigoma,iringa, Kilimanjaro,Kagera Kuna namba kubwa tu waislam,wakati wasukuma ni wapagani wengi wao
Sukari sugar sukari!Rais Samia afanya uteuzi wa Mkurugenzi Wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) ambapo bwana Abubakar Mombo Ateuliwa baada ya ndugu Siwa kustaafu.
View attachment 3039745
View attachment 3039759
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi Bw. Mululi Majula Mahendeka, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua na kumuapisha Bw. Suleiman Abubakar Mombo kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa.
Kabla ya uteuzi huu, Bw. Mombo alikuwa Afisa Mwandamizi wa Ofisi ya Rais, Ikulu. Bw. Mombo amechukua nafasi ya Balozi Ali Idi Siwa ambaye amestaafu.
Sharifa B. Nyanga
Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu
View attachment 3039754
Pia Soma
Tetesi: - Mombo Seleman kuwa Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa (TISS). Aliyepo anafukuzwa muda wowote