Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kama alikua anamtahadharisha tu ili yeye ajue in advance namna ya kujiongeza, si unajua hawa watu huwa wana vipengele..kuna jamaa mmoja hapo kaandika kuwa baada ya kusimamishwa aliwekwa under house arrest sasa nafikiri wao wanapopeana tahadhari huwa wanajua exactly ni hatua gan wanapaswa kuzichukua kwa kujua nini kinafuata ila kwa sis wa nje sio rahis kujua ujumbe unakua ume beba nini. Nyoka wao wanaelewanaNinaelewa na kujuanimekuuliza huyo wa jf aliyekuwa anamwongelea alitaka abadilike wapi
Na ukute ulipata one a level o level na chuo una upper second,Ila kusoma na kupata muktadha wa usomacho na argue huwezi,mnasoma Ila hamuelimiki,hii nchi sijui itakuaje itakapoachwa mikononi mwenu!!..Mimi wapi nimesema maaskofu walizuwia column ya dini isiwekwe kwenye sensa!?..mpuuzi Sana weweAcha uongo aliyemkatalia ponda kuweka kipengele cha dini ni kikwete na sio maskofu
Jiulize kwanini samia rais muislamu hakuweka iko kipengele cha dini
Na nikusaidie kipindi cha kikwete rais muislamu mashehe wengi sana walifunga na kuwekwa korokoroni
Rejea hotuba ya kitwana kondo bungeni 1997-98, Waziri wa elimu athuman kapuya,watoto waliokua shule za msingi dar,75% walikua waislam,lakini waliofaulu la Saba huo mwaka 75% wakiristo,ikazuka movement Kama ya kupinga uwekezaji bandari,ikitaka kapuya atolewe wizara ya elimu,1998 mitihani form four ilivuja Sana kiasi Cha kurudiwa 1999,wito wa Waziri kutolewa ukazidi,mchezo huu umefanyika tangu siku za awali za uhuru,wasio waislam kuhamia miji ya waislam na watoto wao ndiyo waliofaulu huko Tanga na sehemu zingine,huu ndiyo mfumo kristo wanaouongelea waislam,lakini unaenda mwishoMbona hatuwaoni mashuleni hao wengi, mbona hatuwaoni katka kugombea nafasi mbalimbali, mbona hatuwaoni zinapotangazwa nafasi za kazi? Katika 100 wataonekana 7 au 10 na bila upendeleo maalumu hawaezi kupenya.
Walutheri juzi mbele ya Samia wamesema wapo 8m,rejea takwimu za wakatoliki alipokuja papa 1990 na ndiyo hizohizo wanatambaa nazo Hadi leoWakatoliki wapo 32 million ukienda Lutheran wapo 17 million Anglican 8 million Sabato 4 million Pentecostal 5 million Inland Church 2 million.
Furaha yako ni usikie waislam wako wengi unafantasy za ajabu sanaWalutheri juzi mbele ya Samia wamesema wapo 8m,rejea takwimu za wakatoliki alipokuja papa 1990 na ndiyo hizohizo wanatambaa nazo Hadi leo
Jiulize kwanini samia, kikwete, na mwinyi wote ni waislamu na wameshakua marais kwanini hawakuweka kipengele cha idadi ya dini kwenye sensa ndo maana nakuitaga mjingaNa ukute ulipata one a level o level na chuo una upper second,Ila kusoma na kupata muktadha wa usomacho na argue huwezi,mnasoma Ila hamuelimiki,hii nchi sijui itakuaje itakapoachwa mikononi mwenu!!..Mimi wapi nimesema maaskofu walizuwia column ya dini isiwekwe kwenye sensa!?..mpuuzi Sana wewe
We una mtindio siyo bureJiulize kwanini samia, kikwete, na mwinyi wote ni waislamu na wameshakua marais kwanini hawakuweka kipengele cha idadi ya dini kwenye sensa ndo maana nakuitaga mjinga
Tunashukuru marais wote waislamu walikua na utimamu wa akili na sio kama akili zako za kidini na kama wangekua na akili kama zako ungekua ni uwanja wa vita
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 . Nakuelewa. Nani anayetuzingua maana hizi teuzi inaonekana hazimsaidii anayeteuaKila siku uteuzi mpya nafasi moja, hivi hata wewe Samia sisi tungekuwa kama wewe Kila siku tunabadili Rais, Leo upo wewe, kesho tunamuweka makamba, keshokutwa Halima mdee, nchi haiwezi kwenda. Halaf kama hao unaoteuwa unasemaga viatu haviwatoshi, je wewe umejipima na kuangalia viatu kama vinakutosha.
Kama unajua wewe mwenyewe hutoshi, basi acha kutumbua tumbua bianadamu c wakamilifu
Acha kunijibu,akili hunaFuraha yako ni usikie waislam wako wengi unafantasy za ajabu sana
Na mkishakua wengi nini kinachofuata
Siku zote ni CCM.Katika kitu CCM ilifeli ni kuifanya hii idara kuwa ni ccm badala ya kuwa ya taifa kama kipindi cha Nyerere
Unataka iwe islamic republic of Tanzania utasubiri sanaAcha kunijibu,akili huna
Kanyoe banaUnataka iwe islamic republic of Tanzania utasubiri sana
Hizo zote ni stori za vijiweni Hakuna uhalisia ndani yake.1968 wahafidhina wa kanisa wakafanya sensa na kuja na matokeo ya wakiristo kuwa wengi,wakapeleka umoja wa mataifa,wakaulizwa Kuna janga gani limewakuta waislam tu wa Tanganyika mpaka kupungua hivi,wakashushuka,tangu pale hapakua na kipengele Cha dini kwenye sensa Hadi Leo,2012 ponda na wenzake walitaka iwekwe column ya dini kwenye karatasi za sensa lau sivyo waislam wasusie,Cha ajabu miongoni mwa waliokua msitari wa mbele kupinga Hilo ni maaskofu,hizo takwimu zako unazozionesha ndizo zilizomvuruga ponda na wenzake Hadi kutaka column ya dini,huo ni uzushi,wakatoliki wanadai wapo 13m,walutheri wanadai wapo 8m,walokole hata 5m hawafiki,hiyo jumla chini ya 26m,tz Ina watu 65m,hao 40m+ ni akina nani!?
Mbona watu wa kawaida tu 😄
Hakuna tatizoHizo zote ni stori za vijiweni Hakuna uhalisia ndani yake.
Uko sahihi mkuuAhahahah..ni sahihi mkuu, taarifa sahihi za humu ukizifaham kwa wingi, unakua mtu mwenye content sana ukikutana na watu average ambao sio wafuatiliaji wa mambo
Rejea hotuba ya kitwana kondo bungeni 1997-98, Waziri wa elimu athuman kapuya,watoto waliokua shule za msingi dar,75% walikua waislam,lakini waliofaulu la Saba huo mwaka 75% wakiristo,ikazuka movement Kama ya kupinga uwekezaji bandari,ikitaka kapuya atolewe wizara ya elimu,1998 mitihani form four ilivuja Sana kiasi Cha kurudiwa 1999,wito wa Waziri kutolewa ukazidi,mchezo huu umefanyika tangu siku za awali za uhuru,wasio waislam kuhamia miji ya waislam na watoto wao ndiyo waliofaulu huko Tanga na sehemu zingine,huu ndiyo mfumo kristo wanaouongelea waislam,lakini unaenda mwisho
Waislamu wamesoma lini
Elimu ya dini tu 1997!?.. waislam walitaka Jenga chuo kikui 1960s,mtakatifu Nyerere akaingia field kuivunja hiyo taasisi na kuanzisha bakwataKipindi hicho walikazia elimu ya dini tuuuu