Uteuzi: Suleiman Abubakar Mombo Ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa, Siwa amestaafu

Nafkiri tuache kuwa na dhana ya udini, au ubaguzi wa aina yoyote always anapoteuliwa mtu angalia weledi na ujuzi wake kwenye taasisi husika, huyu mteule wa hii nafasi kubwa na nyeti kwa uchache ni mjuvi katika uwanda wake wa ujasusi, pia ni mwandamizi, na zaidi ni mjanja na ni mtoto wa mjini haswa, hivyo anastahili sana, namkumbuka enzi zile kabla ya 2015 alifahamika sana.Mh.Rais ana maana yake kubwa kumteua huyu., Kumbuka kuwa katika nyanja hizi hata matishio mengi yanatokana na 'mambo ya kisasa" , so lazima kuwe na taasisi iliyoboreshwa kuwa ahead na mambo mtambuka hivyo kuweka taifa salama na amani kuendelea kurindima nchini mwetu
 
Huu umbea wa ndani ya CCM umeutolea wapi Leo awe kinyume na miaka yote Toka aingie huko kura wanazichezea
 
Naelewa unachosema na siku zote CCM wana fanya hivyo lakini siyo 'wote' wanaafiki huu ujambazi wa kura,ishu likuwa ni huyo subject jee amestaafu au ameondolewa na kama ameondolewa je ni kwa nini,na ndiyo hoja yangu. Take it or leave it, simple.
 
Hayati JPM alikuwa anasimamisha kazi wasaidizi wake na wanakaa benchi tu wakiendelea kupata haki zao zote mpaka siku wanastaafu, hayo pia yalikuwa matumizi mabaya ya fedha za hazina.

Kuendesha nchi nzima sio sawa na kuendesha wilaya au kitongoji, tumia pesa siku zote ikuzoee.
 
Kama kuna mgawanyiko ni nani wadhani ndie anaeu-manage hadi sasa huo mgawanyiko?

Vinginevyo hata kama kuna mgawanyiko hiyo ni dalili tosha kwamba CCM haitapata kura inozitarajia kuiba.

Au ndo TISS wote kuwa wasimamiziwa uchaguzi Tanzania nzima?
 
"Tanzania: main religions by area of residence 2021 | Statista" Tanzania: main religions by area of residence 2021 | Statista
Nimejitahidi kitafuta habari za takwimu zenu alipokuja papa 1990,bahati mbaya sijapata ile makala,nitaisaka niitunze
Sasa rudi kwenye hiyo report alafu click kwenye main religious group in 2020 utapata majibu vizuri ya idadi yenu na yetu alafu apo nahisi bado takwimu zimewabeba nyinyi hata 20% hamfiki. Huwezi shindana na Roman catholic na ukashinda sababu hilo ni dubwana kubwa sana linalotawala hii nchi na dunia kiujumla, hata mkwere mwenyewe alifika vatican na kubusu pete ya papa wewe nani hasa mpaka uwe against vatcan.
proud to be roman catholic
KANISA MOJA TAKATIFU LA MITUME
 
Kwa maelezo ya mapadre wenu 1990 alipokuja papa,ukichukua ile percent kwa 2022 mtakua 13m,Sasa tangu 90 mpaka Leo ni miaka 34, madhehebu mengine yamekua baada ya watu kutoka Roma,so mpo Kama 10m Kama hiyo ripoti inavyosema,hiyo ripoti niliyoweka hapo inasema mijini waislam 40%,25%vijijini,Sawa kabisa na sensa 1958 iliyosema waislam ni 66%
 
Haya ni mabadiliko ambayo yanatokea kama yanavyotokea hapo kenya.
Idara imepitia changamoto ndo maana haya yanatokea.
Taarifa kuvuja
Taarifa kutofanyiwa kaz
Taarifa kutopatikana
 
Wewe huelewi akili za madrasa ni mbovu sana, umerudi kwenye kipengele nilichokwambia?huyo padri alisema waRC ni 13m ni nani?wapi wameandika? Nimekwambia sisi idadi yetu tunaijua kiasi kwamba hata maaskofu wetu wana power ya kutoa waraka wa kitaifa kwa waumini sababu tunajua nguvu yetu ilipo tuna rasimali watu wa kutosha,tumia akili kidogo hata ya kuazima mijini zaidi ya 40% na 25%rural alafu overall muwe chini ya 35%, wewe huoni kuna kitu hakipo sawa hapo? Alafu izo data zinawabeba nyinyi hata 20% hamfiki na siku zikipigwa ndio mtajua idadi yenu ilivyo
 
Watutsi wanatawala Rwanda,ni wengi kuliko wahutu!?..unadhani kwa nini Kuna mchakato wa kumfanya Nyerere kuwa mtakatifu,siyo kulipa kanisa kipaumbele?..hiyo ziara ya papa 1990,papa alisema hajaona pahala kanisa Lina wasaa kuzidi Tanzania,risala ya wenyeji ikasema Wana commission for armed forces,jiulize kivipi wawe nayo taasisi ya dini,Sasa kuwa na influence si suala la wingi,huo wingi muutoe kwenye mikoa gani!?..mbeya,iringa,Arusha hata 100% mngekua nyinyi tu msingefika 6m,Mimi nakwambia sensa ya 58 imesema waislam ni 66%,hili mrema akilisema Sana uchaguzi 1995,mtei alinukuliwa alisema lipumba akitumia uislam wake vizuri atashinda uchaguzi,kwa nini!?..watu waliokua deep kwenye system wanakua nani wengi
 
Ndo mana nikasema wewe chizi, umetoa data kama reference alafu sasa hivi unazikana tunarudi tena kule kule unawajua jesuits? Embu kawafatilie hawa alafu rudi tena ili tuijadili vizuri nguvu ya Roman catholic na wakatoliki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…