Uteuzi: Suleiman Abubakar Mombo Ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa, Siwa amestaafu

Huyu mama tangu aingie huyu ni DG wa nne hapa yeye ndio matatizo sasa sio wateule huyu Siwa alikuwa NSSF juzi tu alimteuwa wa nini wakati akijua hana hata mwaka kazini very silly

USSR
 
πŸ€£πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Ni jambo jema
 


Kwani Mombo iko Wilaya ya Korogwe au Lushoto ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…