ukawa dona
JF-Expert Member
- Feb 8, 2023
- 516
- 887
Mboma waislamu TU kwenye teuz, nafasi kama hyo alipaswa kupewa msabato.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wanapokuwepo Wakristo pia hufanya vivyo hivyo ??!Kwa Tanzania ni kigezo cha kwanza kabla ya vigezo vya utendaji.
Utendaji ni subjective, mimi naweza kusema wewe ni mtendaji mwingine akasema sio mtendaji.
Na bongo unaweza kua mtendaji na bado ukaondolewa, mfano ni Kidata wa TRA, rais alisema ni mtendaji mzuri sana ila amemuondoa kwa sababu ya utendaji kazi wake mzuri.
So bongo ni dini kisha sifa nyingine.
Unasahau hata ulichopost dk mbili zilizopita,Jesuit si vikaragosi vya huko Roma,unakuza Kila kitu Cha kanisa lako,si kazi ushapakwa Sana mafuta,maana unawa-admire sanaNdo mana nikasema wewe chizi, umetoa data kama reference alafu sasa hivi unazikana tunarudi tena kule kule unawajua jesuits? Embu kawafatilie hawa alafu rudi tena ili tuijadili vizuri nguvu ya Roman catholic na wakatoliki
😂😂😂Unasahau hata ulichopost dk mbili zilizopita,Jesuit si vikaragosi vya huko Roma,unakuza Kila kitu Cha kanisa lako,si kazi ushapakwa Sana mafuta,maana unawa-admire sana
Kaa hivyo hivyo, unakuwa na uchungu na dini zaidi ya waliyokupa dini yenyewe, kafiri ni wewe mwenyewe.!!Pande mbili zipi wewe kafiri??
Muislam gan anajitambua aende Kwa yule checkbob kukanyaga mafuta ili apate MTOTO??
Muislam toka lini akaamini katika upako wa yesu kristo?pigweni kimpango wenu msituingize waislam kwenye drama zenu
Sasa.mzee unatakaje. Aliyepo kastaafu kwa hio nafas yake kwa unyheti ikaimiwe? Lazima ateuliwe.ninjambo lankawaida na kupewa taarifaKila siku uteuzi mpya nafasi moja, hivi hata wewe Samia sisi tungekuwa kama wewe Kila siku tunabadili Rais, Leo upo wewe, kesho tunamuweka makamba, keshokutwa Halima mdee, nchi haiwezi kwenda. Halaf kama hao unaoteuwa unasemaga viatu haviwatoshi, je wewe umejipima na kuangalia viatu kama vinakutosha.
Kama unajua wewe mwenyewe hutoshi, basi acha kutumbua tumbua bianadamu c wakamilifu
Mimi siamini watu huwa wanateuliwa kwa misingi ya Udini Udini bali naamini watu wengi huteuliwa kwa Usuhuba na Ukaribu walionao kati ya wateule na mamlaka ya uteuzi ikishiriana na wanaofanya vetting na wanaofanya lobbying ya watu wao 😳👍😅😄 kuna mtifuano wa kidini mbona....mwafrika udini unatugawa
Ova
AVATAR??NAYO PIA NI ISHU,BASI NATOA HII AVATAR NAWEKA YA PENGO AU MWAMPOSA ILI UFURAHI WEWE BASIUpo sahihi, ila mbona hakuna Muislam mwenye muonekano wa Kama hiyo Avant yako hapo. Picha na unachokieleza ni tofauti
Wewe sio Muislam. Uislam una ustaarabu wake bwanaAVATAR??NAYO PIA NI ISHU,BASI NATOA HII AVATAR NAWEKA YA PENGO AU MWAMPOSA ILI UFURAHI WEWE BASI
Na kwa bahati mbaya Jana ametwaliwaMzee ngowi na mwalukasa vipi?Mzee mwalukasa alishastaafu muda sana
Maumivu yakizidi kamuone daktari.wa dini yangu tu