Uteuzi wa Afande Ramadhani Kingai kuwa DCI (Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai). Je, Rais Samia amepotoshwa?

Uteuzi wa Afande Ramadhani Kingai kuwa DCI (Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai). Je, Rais Samia amepotoshwa?

Acheni kutumia vibaya maana halisi ya neno mzalendo/uzalendo.
 
Well...kàbla hajawa maarufu na ile kesi ya Mwenyekiti alikua Tayar na rank kubwa jeshini...na leo kaongezewa cheo kingine...sasa sina hakika jeshi Lina askari wangapi wenye weledi kama wake mpaka yeye ndio aonekane anastahili,..pia kwa kumwangalia tuu sura yake anaonekana bado kijana, hivyo usishangae siku moja Naye akafikia Rank ya juu kabisa jeshini,na sidhani unaweza kufika Kule Bila kujua hizo basics, na kumbuka mara nyingi makamishna wa police Kazi yao kubwa ni sera na kucommand...PGO wanakalili wale waandika mafaili/RB na askari wadogo...wakubwa inakua rahisi kusahau kutokana na either majukumu au kurelax na vyeo,so sometimes hawajikumbushi kwa kupitia notes...sasa kapewa department ambayo inawabobezi na am sure atakua guided vizuri tuu.

Naona umeamua kuwafundisha hao watoto wadogo na uhalisia. Well[emoji1547]
 
UNYUMBU unakusumbua sana kwa kujishughulisha na matatizo ya Mbowe ambaye siyo hata baba yako.

Uko mitandaoni unabwekaaa na KUJENGA chuki kaliii Dhidi ya Kingai kwasababu ya mangi Mbowe, wakati huyo mangi Mbowe kila siku yupo nao Ikulu huko anakula kuku na familia yake.

UNYUMBU Ni ugonjwa wa Akili
Unajitahidi kuusafisha mtaro mchafu
 
CDM muache kelele zenu hamuwezi kupata kila mnachokitaka. Mwambieni Mkt wenu awe na hekima nchi inipokuwa kwenye transsion. Tukiangalia histotia ya ugawaji wa ubunge wa viti maalumu ndani ya CDM hata Mbowe hastahili kuwa mkt wa kudumu CDM.
 
Mungu atusimamie tu ili tusirudi tulikotoka.

All in all, Katiba Mpya huenda ikasaidia kupunguza haya malalamiko yasiyoisha kwenye teuzi mbalimbali.
Natamani sana kuona watu wakifanya interview kwa nafasi hiyo ili tupate mtu sahihi wa kusimamia criminal justice
 
Naona umeamua kuwafundisha hao watoto wadogo na uhalisia. Well[emoji1547]
Nadhan members wengi humu wanadhani majeshi ya police yote ulimwenguni ni ma rocket scientists...wanasahau Kazi kubwa na number moja ni kuhakikisha nchi zinatawalika..sasa kila nchi ina utamaduni,Sheria na katiba yake ambayo inawaongoza kufikia Malengo na matakwa yao...swali ni JE!? Malengo na Matakwa ya Tanzania ni yapi?
 
Leo bunge la wananchi kupitia JamiiForums kurunzi (torch) inalimulika jeshi letu la Polisi kwa undani kabisa kiutendaji na kimaadili .
 
Amepotoka mwenyewe
Viongozi wa upinzani hili lenu wasemeeni wananchi
Uteuzi utenguliwe hata ikibidi mahakamani
Huu ni uwendawazimu
Criminal anaongoza
Hii nchi ngumu sana
AONDOLEWE WANANCHI TUNASEMA MSITUTANIE
UPOLE WETU MSITUCHUKULIE POA
 
Kingai ni mshirika wa Wambura, huenda Wambura alipewa nafasi ya kupendekeza
 
PGO haijui ndo anaenda kuwa DCI.

Ama kweli bongo nyosso
 
Back
Top Bottom