Uteuzi wa Afande Ramadhani Kingai kuwa DCI (Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai). Je, Rais Samia amepotoshwa?

Uteuzi wa Afande Ramadhani Kingai kuwa DCI (Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai). Je, Rais Samia amepotoshwa?

Umeangalia vyeti vyake au CV? Mnataka jeshi liongozwe kwa matakwa ya CDM?

Chapa kazi Kingai, wahalifu wajue wewe huna mchezo. Sasa onyesha weledi wako mpaka waombe poo.

Propaganda za mahakamani hazihusiani (irrelevant)
 
Mungu atusimamie ili tusirudi tulikotoka.

All in all, Katiba Mpya huenda ikasaidia kupunguza haya malalamiko yasiyoisha kwenye teuzi mbalimbali.
Rais Samia kwa kujua au kutokujua ametonesha tena vidonda vya akina Khalfani Bwire, Adamu Kasekwa, Mohamed Ligwenya, mawakili na mashahidi wote kwenye kesi ya Ugaidi.

Hata Jaji Tiganga na Siyani inabidi washtuke imekuwaje tena.
 
Kwanini kama Taifa tunarudia makosa ya kuteua watu wenye makando kando kama Afande Ramadhani Kingai? Huyu mtu kwa sasa anafahamika na kila Raia kwa matendo yake yaliyojidhihirisha pale Mahakamani wakati wa kesi ya Mbowe

Je tunasubiri afanye ukatili na unyama wa kiasi gani kwenye hili Taifa?

Tulishajifunza wakati wa JPM umuhimu wa vetting ya viongozi kwa yaliyotokea.Je? bado tunaendelea kujifunza

Afande Kingai hakupaswa kupewa nafasi ya DCI hata kidogo, Imani ya Raia kwa huyu mtu ni ndogo sana, Wakati wa kesi ya Mbowe huyu alihusishwa na utesaji na utekaji, Na hata majibu yake mahakamani alijichanganya sana kuhusu kuwahamisha watuhumiwa tokea kituo kimoja cha polisi kwenda kingine na malengo yake kuhusu utesaji

Uteuzi wa Afande Ramadhani Kingai kuwa Mkurugenzi wa makosa ya jinai unaligawa Taifa ambalo Rais Samia alikuwa anafanya jitihada za kuliunganisha kwa maridhiano

Kwenye kesi ya Mbowe pale mahakamani, Afande Kingai alikuwa shahidi mkuu upande wa jamhuri na ushahidi wake alioutoa pale mahakamani wa kuwanunulia watuhumiwa Mo energy ikawa mwanzo wa watu kuamini huyu Bwana ameshiriki Katika kesi ya mchongo kuanzia kudraft mpaka kupeleka mahakamani

Afande Kingai alishindwa kujibu maswali ya mawakili wa utetezi hata moja na hata maswali yaliyohusiana na kitendea kazi chake ya General Orders of police ( PGO) alionekana haelewi pale Mahakama ya uhujumu Uchumi sinza

Ushahidi wa Afande Kingai ambaye alikuwa Shahidi mkuu ulileta mkanganyiko pale mahakama ya uhujumu Uchumi na ndio ukawa mwanzo wa watu kufahamu siri ya kesi ya akina Mbowe pamoja na Kikosi kazi maalum kilichojumuisha Afande Goodluck

Maswali ya kujiuliza sisi kama Raia wa nchi hii:

Unawezaje kumpa mtu nafasi ya DCI wakati uma wa watanzania wanafahamu huyu mtu amechafuka?

Je huu ndio mwanzo wa watu kubambikiwa kesi za mauaji hapa nchini?

Je uteuzi huu Bwana Kingai sio ni mwanzo wa kufumua madonda ambayo Rais Samia alishaanza kuyaponya?

Moja ya watu kuzidi kudai katiba mpya ni kutokana na uteuzi wa watu aina ya Afande Kingai, Tungekuwa na tume maalum ya kuchuja na kuteua aina ya watu kama Afande Kingai kama Rasimu ya Jaji warioba alivyopendekeza tusingekuwa na utata
We lipumbavu kweli kesi ya mbowe ipi hiyo?unaona kulikuwa na kesi pale kwa akili yako au maigizo?
 
Afande Kingai hakupaswa kupewa nafasi ya DCI hata kidogo, Imani ya Raia kwa huyu mtu ni ndogo sana, Wakati wa kesi ya Mbowe huyu alihusishwa na utesaji na utekaji, Na hata majibu yake mahakamani alijichanganya sana kuhusu kuwahamisha watuhumiwa tokea kituo kimoja cha polisi kwenda kingine na malengo yake kuhusu utesaji

*ndio maana shavu.. No smart people allowed!
Hivi ni lini tutaelewa kwamba hakuna maamuzi yanayofanywa kwa kuzingatia wananchi wanataka nini?
 
Kingai mnamnalumu bure. Kwanza tunapaswa kujua kuwa boss wake ni nani ! Hivyo malalamiko yote mnayomlalamikia hakufanya kwa matakwa yake bali kwa kutii maagizo.

Hivyo unaweza kuta jamaa ni mtendaji mzuri sana hivyo tusubiri tuone.
 
Kwanini kama Taifa tunarudia makosa ya kuteua watu wenye makando kando kama Afande Ramadhani Kingai? Huyu mtu kwa sasa anafahamika na kila Raia kwa matendo yake yaliyojidhihirisha pale Mahakamani wakati wa kesi ya Mbowe

Je tunasubiri afanye ukatili na unyama wa kiasi gani kwenye hili Taifa?

Tulishajifunza wakati wa JPM umuhimu wa vetting ya viongozi kwa yaliyotokea.Je? bado tunaendelea kujifunza

Afande Kingai hakupaswa kupewa nafasi ya DCI hata kidogo, Imani ya Raia kwa huyu mtu ni ndogo sana, Wakati wa kesi ya Mbowe huyu alihusishwa na utesaji na utekaji, Na hata majibu yake mahakamani alijichanganya sana kuhusu kuwahamisha watuhumiwa tokea kituo kimoja cha polisi kwenda kingine na malengo yake kuhusu utesaji

Uteuzi wa Afande Ramadhani Kingai kuwa Mkurugenzi wa makosa ya jinai unaligawa Taifa ambalo Rais Samia alikuwa anafanya jitihada za kuliunganisha kwa maridhiano

Kwenye kesi ya Mbowe pale mahakamani, Afande Kingai alikuwa shahidi mkuu upande wa jamhuri na ushahidi wake alioutoa pale mahakamani wa kuwanunulia watuhumiwa Mo energy ikawa mwanzo wa watu kuamini huyu Bwana ameshiriki Katika kesi ya mchongo kuanzia kudraft mpaka kupeleka mahakamani

Afande Kingai alishindwa kujibu maswali ya mawakili wa utetezi hata moja na hata maswali yaliyohusiana na kitendea kazi chake ya General Orders of police ( PGO) alionekana haelewi pale Mahakama ya uhujumu Uchumi sinza

Ushahidi wa Afande Kingai ambaye alikuwa Shahidi mkuu ulileta mkanganyiko pale mahakama ya uhujumu Uchumi na ndio ukawa mwanzo wa watu kufahamu siri ya kesi ya akina Mbowe pamoja na Kikosi kazi maalum kilichojumuisha Afande Goodluck

Maswali ya kujiuliza sisi kama Raia wa nchi hii:

Unawezaje kumpa mtu nafasi ya DCI wakati uma wa watanzania wanafahamu huyu mtu amechafuka?

Je huu ndio mwanzo wa watu kubambikiwa kesi za mauaji hapa nchini?

Je uteuzi huu Bwana Kingai sio ni mwanzo wa kufumua madonda ambayo Rais Samia alishaanza kuyaponya?

Moja ya watu kuzidi kudai katiba mpya ni kutokana na uteuzi wa watu aina ya Afande Kingai, Tungekuwa na tume maalum ya kuchuja na kuteua aina ya watu kama Afande Kingai kama Rasimu ya Jaji warioba alivyopendekeza tusingekuwa na utata
Kumbe ishu ni Mbowe? 😆😆😆😆
 
Nchi hii ina matahira, sorry, watu wa ajabu sana! Ni kulalamika tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu na kujifanya wanajua na kuwajua watu vuzuri mpaka inaboa.
Yaani mtu asifanye kazi yake kisa mna bifu nae mliloambukizwa na bwana wenu mbowe?!!!!!!
 
PGO Kazi Ipo Kubwa Sana Nafuu Haionekani
Wote Wameoza Na Kupungukiwa Utukufu Wa Mungu
 
Umeangalia vyeti vyake au CV? Mnataka jeshi liongozwe kwa matakwa ya CDM?

Chapa kazi Kingai, wahalifu wajue wewe huna mchezo. Sasa onyesha weledi wako mpaka waombe poo.

Propaganda za mahakamani hazihusiani (irrelevant)
Safi kabisa,......wapuuzi sana hawa!
Eti 'teuzi haijazingatia matakwa ya wananchi'! Walipita lini kwa wananchi hao ambao waliwaambia kuwa hawamuhitaji kingai?!!!!!! Waseme tu kuwa hao ni vifuasi vichache vya cdm
 
Safi kabisa,......wapuuzi sana hawa!
Eti 'teuzi haijazingatia matakwa ya wananchi'! Walipita lini kwa wananchi hao ambao waliwaambia kuwa hawamuhitaji kingai?!!!!!! Waseme tu kuwa hao ni vifuasi vichache vya cdm
Ubaya nyie ni bendera fuata upepo mama akimtumbua Kingai mtaanza kumsifia mama oooh kasikia kilio cha wananchi mlivyo wanafiki mtapiga kale kamsemo kenu mama anaupiga mwingi.
 
Nafurahi kwa sababu Chadomo wanateseka
Hiyo ndio furaha yangu.
 
Back
Top Bottom