Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hiyo ndiyo sifa iliyomfanya yy kuwa Makamu wa rais mpaka sasa ni RaisMama kaona Kingai anafata maelekezo vizuri bila kuhoji,anafaaa kwa matumizi.
Kisa nini? Kingai? Wewe ulimtaka nani atakayetakwa na kila mtu? Acha upumbavu wewe NGIRI. Unataka Askari umpende ili iweje? Kimbulu mkubwaNchi hii inahitaji Vita ndipo tuheshimiane
Ni majinga kweli. Sijui Mbowe kawa Mungu wao!!?Nchi hii ina matahira, sorry, watu wa ajabu sana! Ni kulalamika tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu na kujifanya wanajua na kuwajua watu vuzuri mpaka inaboa.
Yaani mtu asifanye kazi yake kisa mna bifu nae mliloambukizwa na bwana wenu mbowe?!!!!!!
Ndyo kashakuwa DCI hivyo, hakuna namna zaidi ya kukaa kimyaAfande Kingai hakupaswa kupewa nafasi ya DCI hata kidogo, Imani ya Raia kwa huyu mtu ni ndogo sana, Wakati wa kesi ya Mbowe huyu alihusishwa na utesaji na utekaji, Na hata majibu yake mahakamani alijichanganya sana kuhusu kuwahamisha watuhumiwa tokea kituo kimoja cha polisi kwenda kingine na malengo yake kuhusu utesaji
*ndio maana shavu.. No smart people allowed!
Ona mjinga mwingine huyu!! Yaani kwamba anaogopwa mpaka awe DCI ndo kisha atumbuliwe!!? Hivi nyie CHADEMA mbona vichwani ni kutupu?Kuna mambo mawili nimeona
1.Ama anapewa uteuzi kuwa ni mtoto wa Magufuli kikazi.
2.Au ameandaliwa zengwe aje kutumbuliwa kila kitu kinawezekana.
Siyo rahisi hivyo kama unavyofikiria, maisha yenyewe Ni vita tosha, watanzania waangaikie tena vita baina yao!! Labda si watanzania ninaowajua Mimi!Nchi hii inahitaji Vita ndipo tuheshimiane
Katiba Ni bonge la janga hapa nchiniKwa hali hii, tuendelee tu kuipigania Katiba Mpya. Hii ya sasa ni ya hovyo mpaka basi. Maana inampa mwanadamu mamlaka ya kimungu!
Yaani hata leo aamue tu kumteua mfanyakazi wake wa ndani kuwa DC, hakuna wa kumzuia! Wala mumhoji!
Tabia ya kulalamika lalamika haitokaa iishe. Mpaka Mbowe astaafishweMungu atusimamie tu ili tusirudi tulikotoka.
All in all, Katiba Mpya huenda ikasaidia kupunguza haya malalamiko yasiyoisha kwenye teuzi mbalimbali.
Ha ha haaa. Halafu mswaki kautia mkaaMkuu hiyo heading uliandika ukiwa na mswaki mdomoni?
Tumia lugha ya staha,matusi na kejeli hayakusaidii chochote!Heshimu watu wengine na wewe utaheshimiwa,hii ni forum huru kila mtu kuwa na mtazami wake!Ukiona mtu hana mtazamo sawa na wewe,jengeni hoja na kama huna ustagimilivu pita tu kimya kimya kuliko kuanza kutukana watu namna hii!wengine humu ni umri sawa na mama Yako!Nchi hii ina matahira, sorry, watu wa ajabu sana! Ni kulalamika tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu na kujifanya wanajua na kuwajua watu vuzuri mpaka inaboa.
Yaani mtu asifanye kazi yake kisa mna bifu nae mliloambukizwa na bwana wenu mbowe?!!!!!!
Muonyeni huyo Kingai kwani hakuna anayeijua kesho yake!Uteuzi huu hauligawi Taifa, labda unagawa akili zako wewe na Saccos yako
Ni kweli..Hii nchi bila katiba mpya,hatutoboi!