Uteuzi wa Afande Ramadhani Kingai kuwa DCI (Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai). Je, Rais Samia amepotoshwa?

Tutegemee ubambikiaji wa kesi kushamili, utekaji watu utarudi Kwa kasi.

Watanzania tuombe mungu kama kipindi kile Cha yule bedui mungu akatusikia akampeleka kuzimu.

Kingai anaweza kuwa anatumia nguvu za kiza ili apande cheo.

Haiwezekani MTU kama kingai apelekwe ofisi nyeti na muhimu kama ya DCI na sisi watumishi wa Mungu tupo.
 
IMETHIBITISHWA Mahakamani huyo Ramadhani Kingai HAJUI hata namna ya utekekezaji wa GPO.
Na kama mtoto wa Primary alikuwa akiomba kwenda maliwato kujisidia kila akipigwa swali gumu.

Huyu ndiyo Mkuu wa Upelelezi.

What a joke!
Teuzi za watu kama Biswalo na huyu Kingai kwenye nafasi ya DPP na DCI zinadhihaki vyeo hivyo na umma wa watanzania.
 
Hata awadhi ni kibaka,
Ni mla rushwa mkubwa, akiwa RTO kinondoni amekula sana rushwa kiasi cha kuwa malaya wa kutupwa, hadi mkewe watu wakawa wanamkula bar ya HIGH kule boko,
 
Nimeanza kuamini kuwa nchi hii ina wenyewe ..... yaani wakishakuingiza kwenye kundi lao basi wewe utakuwepo mpaka mwisho. Hizi teuzi Maza anapangiwa tu ...... Haiwezekani kwa akili ya kawaida tu, kwa yale madudu ya kesi ya ugaidi bado huyu bwana akapata uteuzi. Hii nchi lazima iondoke mikononi mwa hao wachache na irudi kwa wananchi ...... Solution ni katiba mpya!!
 
Mnaleta siasa kwenye maswala ya kitaalam.
 
......alituliza ile mihemuko ya katiba mpya. Sasa hivi kumetulia.
 
Kwani hujui ule uchafu aliofanya ilikuwa ni sehemu ya kazi yake?
Wateuzi wakiwa waovu uwe na uhakika wateuliwa watakuwa waovu zaidi.
Umepatia. Kuna watu wanateuliwa kwa ajili ya kuzoa taka na kazi chafu chafu. Kama yule wa bungeni. Watu wasiokuwa na haya.
 
Sijui ni kitu gani kimemsibu mama au kaangalia upande wake tu? Kwa hili mama ameharibu fikiria kiongozi wa uchunguzi wa jinai ambae anapika ushahidi, wa chini yake watafanyaje. Yaani unakusanya ushahidi wa kesi ya jinai kwa mbinu za kijinai na kishenzi. Mola atusaidie. Kingai hafai hiyo nafasi.
 
Tanzania kuna mtu atateuliwa tukamkubali moja kwa moja kweli!
 
Umeangalia vyeti vyake au CV? Mnataka jeshi liongozwe kwa matakwa ya CDM?

Chapa kazi Kingai, wahalifu wajue wewe huna mchezo. Sasa onyesha weledi wako mpaka waombe poo.

Propaganda za mahakamani hazihusiani (irrelevant)
Ila TU michongo iachwe🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…