Uteuzi wa Askofu Malasusa ni maajabu ya Mungu!

Nilichokuhadithia ni kitu halisi na kimetokea. Ni juu yako kukubali au kukataa, uamuzi ni wako na si wa mtu mwingine.
 
Mbona kama unaleta ushuhuda wa kinafiki? Malasusa hakupaswa kurudi kuliongoza kanisa la KKKT, kama waliona Bagonza hafai wangempa yule wa Iringa asiyejulikana misimamo yake ya kisiasa ikoje
Palipo na ukweli unafiki unaingiaje?
Sema kwa upande wako ungekuwa Askofu na wewe ungempigia kura Bagonza, inatosha.
 
Hongera baba askofu Alex Malasusa [emoji120][emoji106][emoji7][emoji2956]
 
Malasusa Ni mhuni Kama wahuni wengine unao wajua.
MTU keshatumikia vipindi viwili bado anaona madaraka matamu anagombea Tena. Hivi Ni kipi kigeni atakileta ambacho hakukifanya kwa miaka nane? Hii Ni sawa na kumpa Wahasira ukuu wa mkoa au uwaziri.
Hivi kkkt hakuna vijana?
KKKT Sasa Ni Kama CCM.
Wanafanya recycling...........
 
Sijui siku hizi, lakini miaka hiyo mlio bongolala mnapungia tu mkielekea Morogoro.
Nimekuuliza ni lini au miaka gani ambayo Kibaha High school ilikuwa designated kuwa Special school ili kujua kama kwa mtu ambaye kwa sasa amestaafu,alipokuwa sekondari Kibaha tayari ilishapewa hadhi ya Special school.
 
Chawa wamegawanyika kuna akina level ya mwijaku na kuna wengine wapo viongozi makanisani...niseme tu Chawa ni Chawa tu. Kiongozi kama huyu huwezi kusema atasimama upande wa Mungu na haki Bali ataangalia serikali inamtaka afanye nini kwa manufaa ya wanasiasa wanaotalawa na si Mungu.
 
Mbona kama unaleta ushuhuda wa kinafiki? Malasusa hakupaswa kurudi kuliongoza kanisa la KKKT, kama waliona Bagonza hafai wangempa yule wa Iringa asiyejulikana misimamo yake ya kisiasa ikoje
Mi nashangaa watu mnavyohangaika.Askofu si kachaguliwa na maaskofu wenzie kwa asilimia zaidi ya 60%, maana yake wanamkubali vizuri tu.Sasa shida ya nini?
Halafu haya mambo ya RC sijui ni bora kuliko Kkkt au kinyume chake ni mada pandikizi ili kuwatoa kwenye hoja ya msingi iliyopo mezani.Hebu shtuka basi
 
Ukiwa level ya upeo wa kuona na kushughulikia chawa, huinuki ng'o kifikra.
Maana umefika mwisho wa kufikiri.
 
Mambo ya Mungu hayana formula....Kuna wakati Mungu alifanya kazi na KONTAWA....Nebukadreza..🙂🙂...
Rahabu(mama muuza)etc.
 
Mimi naona tatizo ni hiyo halmashauri yao iliyompendekeza au laa kuna external forces.. Kingine watakuwa na katiba ya hovyo kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…