Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
- Thread starter
-
- #41
Bado hujelewa u special wake.Nimeielewa.
1)ilianzishwa 1965
2)ina strong reputation and excellence.
Issue ni imeanza kutambulika na serikali kama Vipaji maalum lini. Hilo halijaandikwa. Maana unezungumzia vipaji maalum kana kwamba tangu 1965 ilikuwa designated kuwa vipaji maalum na serikali
Mfano wa shule za vipaji maalum ninazozifahamu ni Kilakala sec, Mzumbe sec, Ilboru sec etc...Nimeielewa.
1)ilianzishwa 1965
2)ina strong reputation and excellence.
Issue ni imeanza kutambulika na serikali kama Vipaji maalum lini. Hilo halijaandikwa. Maana unezungumzia vipaji maalum kana kwamba tangu 1965 ilikuwa designated kuwa vipaji maalum na serikali
Hayo matokeo ni ya miaka ya karibuni.Bado hujelewa u special wake.
Imetajwa kwenye hiyo link, kuwa ni shule ilikuwa inachukuwa the best of the best toka mikoa yote Tanzania.
Na shule hiyo haikuwa chini ya Wizara ya Elimu kiutawala, bali chini ya Kibaha Education Centre.
Fuatilia tena hiyo link na ujiridhishe na bandiko hili.
"Special schools joint examinations-2020Time
Matokeo ACSEE Kibaha 2020
Matokeo ACSEE Kibaha 2019
Matokeo ACSEE Kibaha 2018
Matokeo CSEE Kibaha 2019
Matokeo CSEE Kibaha 2018
Matokeo CSEE Kibaha 20"
Soma Zaburi 83.
Ndiyo, toka 1965.Hayo matokeo ni ya miaka ya karibuni.
Ilianza kuchukua the best tangu kuanzishwa kwake? Na vipaji maalum ilikuwa designated hiyo hiyo 1965?
Kuwa designated kuwa ni special school na serikali.Ndiyo, toka 1965.
Kikwete kasoma pale, pamoja na viongozi wengine wengi.
Malasusa ni CCM damu na Yuko upande wa DP W.Kwa mujibu wa Mzee johnthebaptist, Malasusa amechaguliwa kimkakati zaidi.
Kwanza mimi siko serikalini, hivyo swali lako "specific" ungelipeleka huko.Kuwa designated kuwa ni special school na serikali.
Ngoja aje mwenzio aliyenielewa zaidi juu ya ninachokiuliza halafu usome majibu yake. Maana mimi na wewe hatujaelewana.
Umejibu kwa ujumla,swali Liko specific.
Naamini Academic excellence kwa miaka ya 60 lilikuwa jambo la kawaida kwa shule nyingi za boarding za serikali kutokana uchache wao hivyo kuchukua Wanafunzi wachache nchi nzima. Issue ni shule kuwa designated na serikali kwamba ni vipaji maalum by miaka hiyo ya 1960 kama Kibaha ilishapewa hiyo hadhi.Kwanza mimi siko serikalini, hivyo swali lako "specific" ungelipeleka huko.
Pili, hicho unachoulizia na maekezo uliyopwa kwa mtu mwenye akili angeelewa aina ya shule inayoongelewa na mazingira yake.
Tatu, hujajieleza na ukaeleweka, tena kwa mifano, kile unachotegemea katika "specific" special school iliyo katika imagination yako.
Hivyo tuachie hapo na ubaki na imagination yako.
Beating around the bush.Naamini Academic excellence kwa miaka ya 60 lilikuwa jambo la kawaida kwa shule nyingi za boarding za serikali kutokana uchache wao hivyo kuchukua Wanafunzi wachache nchi nzima. Issue ni shule kuwa designated na serikali kwamba ni vipaji maalum by miaka hiyo ya 1960 kama Kibaha ilishapewa hiyo hadhi.
Kama hill swali hujalielewa ipasavyo watakuja wadau watalidadavua ipasavyo .
Huko kwenu Sultani ana chaguliwa kwa kura?Sema KKKT walikuwa na wakati mgumu sana kwenye uchaguzi wao... huku Sultan Malasusa kule Askofu wa CHADEMA Bagonza. Ingawa Sultan Malasusa simkubali ila ni bora kuliko kumchagua mwanasiasa Bagonza kuwa mkuu wa Kanisa. Angepita basi KKKT ingekuwa rasmi tawi la CHADEMA. KKKT kwa sasa mumpe ushirikiano Sultan Malasusa.
Wewe kama jibu unalo ulitoe. La sivyo asubiriwe mwenye nalo. Jibu lowe clearBeating around the bush.
Unauliza swali ambalo jibu lake unalifahamu.
Mkuu , you are in a vicous circle, soon enough you'll bite your tail!Wewe kama jibu unalo ulitoe. La sivyo asubiriwe mwenye nalo. Jibu lowe clear
Vijana kweli Biblia mmeiweka mbali!!!
Kwa RC, Askofu anateuliwa moja kwa moja toka Vatican. Kwao anayepigiwa kura ni Papa tu! Ila na uteuzi wao una mambo! Yasingelikuwapo mambo mambo, basi Padre Dk. Kitima angeliishakuwa Askofu kabla hata ya Baba Askofu Dk. Msomganzila na Baba Askofu Dk. Bernadine Mfumbusa! Yeye anaweza kuishia kuwa Monsignor tu!Hi Ni kichekesho Cha karne
Mwaka fln gazeti la mwanahalisi limeandika makala kumuhusu huyu askofu wako malasusa alihusishwa kumtorosha mke wa mtu
Hata hvyo katiba ya kkkt Ni mbovu Kama ilivyo katiba ya Tanzania
Inawezekana VIP mtu aliekwisha kutumika miaka yake nane arudi Tena kugombea nafasi hyo hyo aliyo kwisha kuhudumu
Rc wako very systematic kweny kumteua askofu
Kkkt tunakwama mno
Malasusa Ni mpasua kanisa
Huo si ndio uchawiVijana kweli Biblia mmeiweka mbali!!!
We jamaa kaa kimya tu. Acha kutumika huyajui yaliyo gizani
Hivi unamjua Malasusa wewe vizuri? Au unamjua kwa kumsikia tu baba yake aliyejifia pale kijichi?
Unamjua huyo Alex akiwaga kwa demu wake kale kabinti kalikokuwa kanasoma Tumaini University tawi la Dar alikokapagishia upande wa ghorofa la gavana 'aliyekufa' marekani kimchongo lililopo Tegeta nyuma ya msikiti kule masaiti? Anavyoropoka vitu?
Hakuna uchaguzi mle kkkt ndugu. Umafia tu
Ila na uteuzi wao una mambo! Yasingelikuwapo mambo mambo, basi Padre Dk. Kitima angeliishakuwa Askofu kabla hata ya Baba Askofu Dk. Msomganzila na Baba Askofu Dk. Bernadine Mfumbusa! Yeye anaweza kuishia kuwa Monsignor tu!