Uteuzi wa Askofu Malasusa ni maajabu ya Mungu!

Imani ni suala la mtu na moyo wake.
Kanisa halijawahi kumfungia mtu milango.
Saa wewe kama utaamua kwenda kwa Toboa Tobo, au Mwamposa , huo ni uamuzi wako.
 
Ni maoni yangu.
Upo sawa kabisa kwa kuwa ni maoni yako.
Naamini kuna vigezo vingi sana vinatumika, lakini pia kuna baadhi ya Mapadri wanapenda maisha ya upadri tu na hawapendi kupewa daraja la Uaskofu.

Rumours had it that the late Fr. Saba (aliekua Katibu wa TEC) aliwahi kupendekezwa lakini hakua tayari.
 
UTEUZI WAKE HAUNA BARAKA ZA MUNGU HUWEZI KUWAKATA WENGINE KWA NIA MBAYA ILI UPITE WEWE
 
UTEUZI WAKE HAUNA BARAKA ZA MUNGU HUWEZI KUWAKATA WENGINE KWA NIA MBAYA ILI UPITE WEWE
Kwa hiyo yeye aliwakata wengine ili yeye ajichague?
Tumia akili kidogo, pale palikuwa na wachugaji na maaskofu zsidi ya 250.
 
Askofu Alex Malasusa hakugombea kuwa mkuu mpya wa KKKT. Jina lake na wengine walipendekezwa kwa Halmashauri Kuu wakapigiwa kura. A.M. akashinda kwa zaidi ya theluthi mbili.
Sio sawa kumchafua mtu yoyote.
Askofu kiongozi wa KKKT haitwi "His Holiness the ......."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…