Kuna aya hujazisoma humo vizuri. Amefafanua hicho ulicho andikaWatu wengine akili zenu sijui zikoje.
Mnataka mama afuate sheria..
Na sheria haimpi nguvu ya kumfukuza DPP..
Kamtoa Kwa staili ya kumpa cheo bado still mnalia lia
Kwenye ripoti ya upigaji alitumwa au aliagiza yeye mwenyewe? Wewe ulijua kuna upigaji? Na kutaalamu ilitakiwa ichukue siku ngapi ili itoke na hizo siku zishaisha kama kuna hiyo timeline? Na je aliwaahidi hiyo ripoti itakuwa public?Alishasema ataendeleza ya mwendazake pia yeye na mwendazake ni kitu kimoja maana yake ndio hio.
Hana jipya.
.Ripoti ya upigaji kimya
. Kutumia hela zetu kumnunulia gari mtu mwenye kuweza kujinunulia gari
.Kuyapa teuzi na kuyaaacha majitu ya hovyo yasiyostahili hata kuitwa mtumishi wa umma yenye kashfa za kuumiza watu.
.Akiwa mjumbe alisapoti katiba mpya kawa dereva kaitupa means alifata posho.
Aliyesema ccm wote ni SAwa hakukosea
....Tusitegemee jipya hapa kigogo was right....
Sheria ni kwa ajili ya watu hao hao wanaolalamika so hata kama ni jambazi,muuaji aachwe sababu ni sheria.Kwenye ripoti ya upigaji alitumwa au aliagiza yeye mwenyewe? Wewe ulijua kuna upigaji? Na kutaalamu ilitakiwa ichukue siku ngapi ili itoke na hizo siku zishaisha kama kuna hiyo timeline? Na je aliwaahidi hiyo ripoti itakuwa public?
Vitu vingine mjitahidi kufikir kwa akili ndogo tu.
Hapa kwa kumpa cheo umeangalia sheria inasemaje? Unataka Rais afate sheria ila unashauri aanze kuvunja sheria kwanza.
Unafikiri katiba ni swala la kuamka asubuh tu ukaagiza, hujui kuna mihimili mitatu lazima ipitie huko na bajeti yake unaitoa wapi kabla hujalifanya kuwa mjadala kwanza ili kuona vipi litapita.
Hivi umeongea nini hiki ?Kwahiyo unataka kutuaminisha kwamba Sheria za kumlinda DDP ni Magufuli kazitunga na kuziweka ama zikikuwepo kuanzia mwanzo?
Ni ukweli kwamba hatukubali yanayo fanyika Sasa hivi kwasababu bado tuna mbembekeza mama na kumtizama kwa jicho la kumuomba teuzi na ndiyo maana hatuishi kujikombakomba kwake, aisee! Kama Sheria zikiwekwa na Magufuli kwani mama ailishndwa kuzitengua Sheria hizo,
Ni bahati mbaya huwezi kuwa Rais kwa kufikiri watu wakikosoa na kutoa maoni tofauti ni kumpangia na kumpelekesha Rais.Uhuru bila mipaka ni Vurugu.
yaani watanzania sasa wamekuwa huru kuzungumza hadi wanavuka mipaka!!!!
yaaani wamefikia hatua sasa ya kumpangia Rais nini cha kufanya!!!!
Duh!!! hili sasa limezidi na endapo Kiongozi wetu ataendekeza kupekeshwa na majungu basi hii nchi haiwezi kwenda mbele.
Tena ingekuwa mimi basi huyo mnaye mpiga fitina na majungu ningemteua kuwa Jaji Mkuu kabisaa, hamna maaana kabisa nyie watu, mmekosa aibu kabisa.
huyo mnaye mpiga fitina hajaokotwa barabarani alikuwa DPP na aliteuliwa na mamlaka.
Kwani jambazi haongozwi na sheria kwenye kuhukumu? Ukiona jambazi kauwawa ujue alikaidi amri ya polisi na kuanza kuwashambulia ndio maana ripoti itasema polisi walijihami ndio kwa bahati mbaya wakaua.Sheria ni kwa ajili ya watu hao hao wanaolalamika so hata kama ni jambazi,muuaji aachwe sababu ni sheria.
We ni wakusamehewa maana shingo yako imebeba boga si kichwa.Hivi huyu jamaa ana elimu gani kweli maana Chadema genge la vilaza watupu sijui waliokotana wapi hawa jamaa hamna kitu kbsa
Ukishapoteza uadilifu ufai kuwa mtumishi wa umma.Kwani jambazi haongozwi na sheria kwenye kuhukumu? Ukiona jambazi kauwawa ujue alikaidi amri ya polisi na kuanza kuwashambulia ndio maana ripoti itasema polisi walijihami ndio kwa bahati mbaya wakaua.
Sasa kwenye hili la Biswalo ni mjinga tu ndio anaweza kutomuelewa Rais kwa kuwa ujinga wake umevuka kiwango cha kufikiria hata vitu vidogo tu.
Una matatizo ya akili aisee si bureAlishasema ataendeleza ya mwendazake pia yeye na mwendazake ni kitu kimoja maana yake ndio hio.
Hana jipya.
.Ripoti ya upigaji kimya
. Kutumia hela zetu kumnunulia gari mtu mwenye kuweza kujinunulia gari
.Kuyapa teuzi na kuyaaacha majitu ya hovyo yasiyostahili hata kuitwa mtumishi wa umma yenye kashfa za kuumiza watu.
.Akiwa mjumbe alisapoti katiba mpya kawa dereva kaitupa means alifata posho.
Aliyesema ccm wote ni SAwa hakukosea
....Tusitegemee jipya hapa kigogo was right....
Raisi ni mwajiriwa wa wananchi,asipowasikiliza ataanguka.Kioo cha mtu ni watu wanasema nn kuhusu wewe.Na ajitazamae kwenye kioo katu aanguki.Atembeaye na watu atoanguka.Uhuru bila mipaka ni Vurugu.
yaani watanzania sasa wamekuwa huru kuzungumza hadi wanavuka mipaka!!!!
yaaani wamefikia hatua sasa ya kumpangia Rais nini cha kufanya!!!!
Duh!!! hili sasa limezidi na endapo Kiongozi wetu ataendekeza kupekeshwa na majungu basi hii nchi haiwezi kwenda mbele.
Tena ingekuwa mimi basi huyo mnaye mpiga fitina na majungu ningemteua kuwa Jaji Mkuu kabisaa, hamna maaana kabisa nyie watu, mmekosa aibu kabisa.
huyo mnaye mpiga fitina hajaokotwa barabarani alikuwa DPP na aliteuliwa na mamlaka.
Chawa ni ngumu kuelewaUna matatizo ya akili aisee si bure
endelea kuuza vitabu mkuu,huku kwingine watakuvuruga.Bado uko msibani Chato au washakufukuza? Hangover ya jiwe imekuisha?