Uteuzi wa Biswalo ni kutonesha kidonda cha Umma, lakini akapumzike salama

toka mama aseme anasoma sana mitandaoni,naona ufipa wamewekeza ngugu sana huku.[emoji23][emoji23]
 
Na Yericko Nyerere
Siku akifa Biswalo hata kama mimi na yule ndugu yangu aliyemsingizia kesi na kauthiri kabisa maisha yake, tutakuwa tumeshakufa - kuna mtoto wangu na wa Ndugu yangu ambao kwa sasa wapo shule ya msingi watashangilia sana sana sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! Biswalo alikuwa katili sana. Hata kama wanetu nao watakuwa wamekufa wajukuu zetu watasomeshwa historia ya ndugu yetu nao watashangilia tuuuuuuuuuuu. Sio uanasheria ule!
 
Serikali haifanyi teuzi kutegemea mitandaoni mnasemaje,sahau pamoja na hadithi yako ndefu isio na maana
 
Tatizo ni kwamba ,chadema ni wasanii sana.Mlisema hamtambui matokeo ya uchaguzi wa Rais.Kwa hiyo hata atakaowateua tulitegemea hawatawahusu.Lakin tayari mnaanza kutoa ushauri.Hii inadhihirisha kuwa nyie ni wasanii sana.Na zaidi ya hapo ni wanafiki na wenye chuki .Acheni watu wale nchi.Endeleeni na mwenyekiti wenu wa kudumu.
 
Raisi ni mwajiriwa wa wananchi,asipowasikiliza ataanguka.Kioo cha mtu ni watu wanasema nn kuhusu wewe.Na ajitazamae kwenye kioo katu aanguki.Atembeaye na watu atoanguka.
tabia hii ikiendelea, watakuja pia watu wa imani nyingine watadai kuwa na wao wana minywa sana kwenye uteuzi, yaani hakuna uwiano, uteuzi umeegemea sana upende mmoja. ohhh utafiti ufanyike tuangalie idadi ya Majaji waliopo, Wasajili, mahakimu n.k, n.k.
haya mambo ni hatari na huanza kidogo kidogo mwishowe huleta athari kwa taifa.
tuache kumpangia Rais.
 
Rais ni mtumishi wa umma, kwanini asipangiwe la kufanya na waliomuajiri?

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Rais ni mtumishi wa umma, kwanini asipangiwe la kufanya na waliomuajiri?

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
tabia hii ikiendelea, watakuja pia watu wa imani nyingine watadai kuwa na wao wana minywa sana kwenye uteuzi, yaani hakuna uwiano, uteuzi umeegemea sana upende mmoja. ohhh utafiti ufanyike tuangalie idadi ya Majaji waliopo, Wasajili, mahakimu n.k, n.k.
haya mambo ni hatari na huanza kidogo kidogo mwishowe huleta athari kwa taifa.
tuache kumpangia Rais.
 
Mimi hata sijaelewa;
i) Biswalo alinibambikia kesi nikashinda zote ila ya sits nilihukumiwa kifungo au faini! Mwandishi oyeee!
ii) Mama anaongoza kisheria Ila amevunja katiba kwa kumwondoa DPP Biswalo tofauti na mahitaji ya Katiba! Mwandishi oyeeee!!
 
Thanks, well presented, but it was to have more meaning if somebody was to present those material facts on your behalf for it to have more credibility and authenticity.

We always have next time. Personalities must alow somebody to speak for you to enhance credibility of the presented facts.
 
Acha magirini wewe. Kweli Biswalo hafai tena hana uwezo wa kuendesha kesi ndiyo maana alitumia mabavu. Lakini wewe hizo kesi 6 unataka kutuaminisha ni genuine au ni Njia ya kuficha kazi yako tukufu kwa Wapinzani hasa Chadema?

Kwani kazi yako Ile ya kiapo umeiacha? Na huwezi kuiacha mpaka ufe.

Si bado unaitumikia kwa uaminifu sana? Uzuri mmoja hata Chadema walishakuelewa vizuri kuwa uko kazini. Ulichowafanyia 2015 umekisahau? Acha unafiki wewe. Umeshajulikana muda na ndiyo maana hushirikishwi tena mambo. Una tofauti gani na Biswalo?
 
Watu wengine akili zenu sijui zikoje.
Mnataka mama afuate sheria..
Na sheria haimpi nguvu ya kumfukuza DPP..
Kamtoa Kwa staili ya kumpa cheo bado still mnalia lia
Mnafiki huyo Yericko. Zile kesi ni magirini tu ili kupumbaza umma huku akiendelea na kazi aliyotumwa.
 
You nailed it!!!! I have a million reservations for Yericko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…