Uteuzi wa Dkt. Emanuel Nchimbi kama mgombea mwenza urais wa CCM uchaguzi mkuu wa OCT.2025, ni wa kisayansi katika siasa za kisasa.

kwahiyo ndio mijanaume ikaolewe na mijanaume yenzao huko?

ubeligiji ni nani kwanza kwenye bajeti ya Tz gentleman πŸ’
Hao wanaume wanao olewa wanalipa kodi kwenye nchi zao , Tanzania inapewa msaada pesa hizo hizo za mashoga kuongeza kwenye bajeti zao
 
Jina la nchimbi limezoeleka sana ndani ya siasa za tanzania. Huyu ukimuweka wapambane na lissu anashindwa asubuhi tu. Huo ndio mzani wa siasa wa ukweli
 
Je, vipi kuhusu kuchaguliwa kwa Tundu Lissu kuwa mwenyekiti wa CHADEMA mkuu?
niliahidi kutoa maelezo na ufafanuzi wa kina dhidi ya hilo, licha ya kua tayari nimesha lizungumzia kwa kifup kwamba,

ni mapema sana kwa mtaalamu mbobevu kama mimi kueleza hayo bila kukamilisha tafiti ninayoendelea nayo juu ya kwanini hasa imekua hivyo,
.Nitakapokamulisha,
basi nitakua kwenye nafasi nzuri zaid ya kueleza jambo hilo.

Hata hivyo,
hongera kwa wanaChadema wote kwa kutekeleza wajibu wa kidemokrasia kwa amani, licha ya kiwango kikubwa mno cha rushwa kushuhudiwa.

Pamoja na hayo,
ni muhimu zaid kujikita kwenye hoja mahususi mezani gentleman πŸ’
 
Jina la nchimbi limezoeleka sana ndani ya siasa za tanzania. Huyu ukimuweka wapambane na lissu anashindwa asubuhi tu. Huo ndio mzani wa siasa wa ukweli
hakuna mazoe kwenye masuala muhimu kama uongozi wa kisiasa hasa wa kitaifa gentleman.

maelezo ya ziada ni porojo na story za pata potea tu πŸ’
 
Hao wanaume wanao olewa wanalipa kodi kwenye nchi zao , Tanzania inapewa msaada pesa hizo hizo za mashoga kuongeza kwenye bajeti zao
dah,
ndio maana nawaonea huruma vijana wa kiume wa chama fulani kwasabb watapelekwa kuolewa huko kama sehemu ya kutafutiwa fursa za ajira ng'ambo, dah!

Inasikitisha sana, inafedhehesha sana πŸ’
 
dah,
ndio maana nawaonea huruma vijana wa kiume wa chama fulani kwasabb watapelekwa kuolewa huko kama sehemu ya kutafutiwa fursa za ajira ng'ambo, dah!

Inasikitisha sana, inafedhehesha sana πŸ’
Mbona watu wapo Ng’ambo kitambo tu wanatafuta maisha, nyie ccm endeleeni kupokea pesa za mashoga kuendesha nchi maana hamna uwezo wa kujitegemea
 
Mleteni tu huyo macho mlegezo ndio mtamjua vizuri. Hata mama kujifanya mjanja anaweza asimalize. Ulizeni rafu zake huko nyuma umoja wa vijana.
Hakika tunaenda kukabidhi nchi mikononi kwa wahuni. Ni wakati sasa kuangalia upinzani nani anaweza kuokoa jahazi. Wazalendo ni wakati wa kujipanga sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…