Uteuzi wa January Makamba unafikirisha sana, lifanyike Jambo

Uteuzi wa January Makamba unafikirisha sana, lifanyike Jambo

Makamba Jr ama kweli ni tishio kwa wale wanasiasa dhaifu na wapambe wao wenye ndoto za kuitamani nafasi urais kwa siku zijazo. Ni lazima watambue kuwa maamuzi ya Baraza la Mawaziri ni "collective responsibility" hata kama waziri binafsi ana mawazo tofauti na mawaziri wengine katika kuweka vipaumbele vya wizara yake.

Tabia imejijenga hapa jamvini kila siku kuleta nyuzi zenye maudhui ya kukandia yenye kufanana kuhusu utendaji wa Makamba Jr. Badala kutoa "constructive criticisms" dhidi, wao kwa makusudi kabisa hushambulia "personality" yake.

Ni vyema watu wakajikita katika kutoa ushauri nini kifanyike pale wizarani kuliko kujificha nyuma ya porojo, majungu na ushambenga. Ndiyo! Wizara ya Nishati ni nyeti sana kwa maendeleo ya uchumi wa nchi, lakini basi tutoe ushauri kwa serikali nini hasa kipya kifanyike ili kuifanya wizara hii iweze kuwa na tija zaidi.
daaa
 
Kuna urafiki na kuaminiana ila kama mtu anakuharibia kazi hakuna haja ya kumbeba.

Samia must act or else wananchi waelewe kwamba anayoyafanya Waziri wake yana baraka zake.
Hakika
 
Mtauwa watu nyie.

Ila huyu jamaa sijui hata kama anajua mambo anayoyafanya kama yanaharibu kabisa.

Mda huu Niko Gizani hakuna umeme.

Kariakoo kila siku jioni lazima kuwasha jeneretor.
 
Mtauwa watu nyie.

Ila huyu jamaa sijui hata kama anajua mambo anayoyafanya kama yanaharibu kabisa.

Mda huu Niko Gizani hakuna umeme.

Kariakoo kila siku jioni lazima kuwasha jeneretor.
atupishe
 
Kama ilivyo kawaida ya Mwenyezi Mungu kumpaisha anayefanyiwa hila na wanadamu, Makamba atainuka kidedea mwishowe na hawa maadui watajikuta wanawaita watoto wao watakaojifungua jina la Januari na wengine watawaita Makamba kabisaa,.....muda utasema!
 
Kama ilivyo kawaida ya Mwenyezi Mungu kumpaisha anayefanyiwa hila na wanadamu, Makamba atainuka kidedea mwishowe na hawa maadui watajikuta wanawaita watoto wao watakaojifungua jina la Januari na wengine watawaita Makamba kabisaa,.....muda utasema!
😂😂😂😂😂
 
Mtauwa watu nyie.

Ila huyu jamaa sijui hata kama anajua mambo anayoyafanya kama yanaharibu kabisa.

Mda huu Niko Gizani hakuna umeme.

Kariakoo kila siku jioni lazima kuwasha jeneretor.
Daas hatari
 
It’s a pity

Inabidi afungiwe speed governor hasa kwenye matumizi ya mipango yake not necessary ni mipango mibaya mara zote but not thoroughly planned.

Hivi unawezaje kusema unafanya research kwa kugawa majiko, kama pilot scheme kuona utayari wa watu vijijini kutumia nishati ya Gas. Wakati ukifika maeneo yenyewe unayagawa hayo majiko kama sandakalawe barabarani mwenye kupata apate mwenye kukosa akose.

Hakuna mtu anachukua hata majina ya watu wanaopokea majiko na namna ya kuwa trace na kuchunguza kama baada ya miezi mitatu, sita au mwaka wangapi watakuwa nayo, kuwahoji ambao awatumii ni kwanini ili kubaini changamoto zao kama shida ni wa upatikanaji wa gas, bei ya gas as opposed na mkaa/kuni, au tabia tu.

Uwezi kugawa majiko ya gas tu ukasema unafanya research bila. ya kukusanya info has he even ever done a primary research before.

Huko kwenye mikopo ya mafuta ndio kabisa yaani ana ahidi watu mikopo bila ya kuomba ata kuona business plan, hakuna ata pilot scheme kupima ni aina gani ya watu wenye uwezo kuendesha hizo biashara sustainably businesses. It’s is as if hakuhitaji operation strategy ata kwenye kituo kidogo cha mafuta.

Uwezo wake ni mdogo mno; worst huyu mtu walimkabidhi usimamiaji wa uwekezaji kwenye gas, sidhani kama wahusika wanaelewa how complicated those finances are kwa mtu ambae ata ka primary research rahisi ya kuangalia mpango wake the approach is not desirable.

January ni mwepesi hana huo uwezo kama wanavyoamini huko CCM.

Can he even justify idadi ya majiko anayo hawa kama yanathamani ya shillings million 500 bila ya kubainika ufisadi. Useless individual huyu mtu anahitaji speed governor.
Hahaaaa... "Eti mwenye kupata apate, mwenye kukosa akose" daaaah! Nimekumbuka mbali saaaana utotoni [emoji38]
 
Hahaaaa... "Eti mwenye kupata apate, mwenye kukosa akose" daaaah! Nimekumbuka mbali saaaana utotoni [emoji38]


Si ndio anavyopita na kugawa majiko kwenye ziara yake kwa mtindo wa sandakalawe, sasa kuna methodology hapo ya ku monitor tabia iwapo sample yenyewe anakutana nayo barabarani. Baada ya hapo anaenda kijiji kingine na waliopata majiko wanaendelea na maisha yao, can you call that a research au mtu anaropoka na kutuona wote hamnazo kama yeye.

Huko kwenye vituo vya mafuta Mwigulu anatakiwa astopishe hizo hela haraka mpaka aone strategic plan ya hiyo policy. Jana ‘Millard Ayo’ waliweka video ya kijana alieahidiwa kumpatia millioni 50 za mkopo wa kufungua kituo cha mafuta. Yaani kakutana nae barabarani tu na makopo yake ya mafuta a nauza. Hakun mafunzo ya awali kuwapa uwezo wa kuendesha biashara, hakuna coaching na usimamizi kuhakikisha vituo vina kuwa sustainable na mambo mengine mengi.

Hivi kweli ukutane na kijana tu barabarani unamuahidi 50 millioni chances are hajui ata distributor wa karibu yake yupo sehemu gani au ata gharama za kuletewa mafuta, hajui EWURA wakimuibukia wakikuta amechakachua adhabu yake and so forth; waziri ana ahidi watu kama hao 50 millioni kirahisi tu.

Mtu kama huyo kweli wa kusimamia majadiliano ya gas ambayo tushapigwa kama uwezo wenyewe wa waziri ndio huo. Na sasa hivi TANESCO wanajiingiza kwenye mikataba ya ovyo kwenye umeme.
 


Si ndio anavyopita na kugawa majiko kwenye ziara yake kwa mtindo wa sandakalawe, sasa kuna methodology hapo ya ku monitor tabia iwapo sample yenyewe anakutana nayo barabarani. Baada ya hapo anaenda kijiji kingine na waliopata majiko wanaendelea na maisha yao, can you call that a research au mtu anaropoka na kutuona wote hamnazo kama yeye.

Huko kwenye vituo vya mafuta Mwigulu anatakiwa astopishe hizo hela haraka mpaka aone strategic plan ya hiyo policy. Jana ‘Millard Ayo’ waliweka video ya kijana alieahidiwa kumpatia millioni 50 za mkopo wa kufungua kituo cha mafuta. Yaani kakutana nae barabarani tu na makopo yake ya mafuta a nauza. Hakun mafunzo ya awali kuwapa uwezo wa kuendesha biashara, hakuna coaching na usimamizi kuhakikisha vituo vina kuwa sustainable na mambo mengine mengi.

Hivi kweli ukutane na kijana tu barabarani unamuahidi 50 millioni chances are hajui ata distributor wa karibu yake yupo sehemu gani au ata gharama za kuletewa mafuta, hajui EWURA wakimuibukia wakikuta amechakachua adhabu yake and so forth; waziri ana ahidi watu kama hao 50 millioni kirahisi tu.

Mtu kama huyo kweli wa kusimamia majadiliano ya gas ambayo tushapigwa kama uwezo wenyewe wa waziri ndio huo. Na sasa hivi TANESCO wanajiingiza kwenye mikataba ya ovyo kwenye umeme.

Atupishe
 
Habari wana Jf ,ninapata shida sana kuamini kwamba kabla ya kuteua mtu kuwa kiongozi tunafuatilia kwa kina sana .

Kwa J Makamba mbali na kwamba ana roho nzuri na ndicho kitu nacho kipenda kwake nimeona haya :-

1.Kutakuwa na Shida kwenye ufaulu wa darasani ,sidhani kama ufaulu wake unaonyesha uhalisia wa uelewa wake .

2.Uwezo wa kuchakata vitu kichwani ni mdogo ,hii ndio imesababisha amekuwa na kauli tata na kebehi kwa wananchi .

Kwa kusema hivyo na kuangalia unyeti wa wizara ya Nishati :-

1.Mamlaka za Uteuzi zimpe Naibu na Katibu mwenye uwezo mkubwa na ushirikiano usisitizwe .


2.Kama kuna namna nyingine ifanyike Atolewe au apewe wizara zinazoendana nae Kama Sanaa,Michezo ,Muungano ,Utalii ...nk hii wizara inahitaji mtu mwenye kichwa kizima sana .

Lakini pia Ombi langu kwa Mamlaka za Uteuzi ziteue watu kwa kuangalia pia unyeti wa Eneo husika .
Hio wizara ni nyeti inataka mwenye akili kubwa hasa ya kitasnia uteuzi wake eneo hilo labda upo kimkakati Kwa malengo ya watu fulani, kamanda na uzuri wake ila si kwa hii wizara, japo kwa ukwasi inshallah bahati yake
 
Habari wana Jf ,ninapata shida sana kuamini kwamba kabla ya kuteua mtu kuwa kiongozi tunafuatilia kwa kina sana .

Kwa J Makamba mbali na kwamba ana roho nzuri na ndicho kitu nacho kipenda kwake nimeona haya :-

1.Kutakuwa na Shida kwenye ufaulu wa darasani ,sidhani kama ufaulu wake unaonyesha uhalisia wa uelewa wake .

2.Uwezo wa kuchakata vitu kichwani ni mdogo ,hii ndio imesababisha amekuwa na kauli tata na kebehi kwa wananchi .

Kwa kusema hivyo na kuangalia unyeti wa wizara ya Nishati :-

1.Mamlaka za Uteuzi zimpe Naibu na Katibu mwenye uwezo mkubwa na ushirikiano usisitizwe .


2.Kama kuna namna nyingine ifanyike Atolewe au apewe wizara zinazoendana nae Kama Sanaa,Michezo ,Muungano ,Utalii ...nk hii wizara inahitaji mtu mwenye kichwa kizima sana .

Lakini pia Ombi langu kwa Mamlaka za Uteuzi ziteue watu kwa kuangalia pia unyeti wa Eneo husika .
vijana wa msoga lakini hakuna kitu ndo maana magu alitupa hiyo takataka.Zaid ya kuiga kukunja mashati kama Obama has nothing to offer!
 
Habari wana Jf ,ninapata shida sana kuamini kwamba kabla ya kuteua mtu kuwa kiongozi tunafuatilia kwa kina sana .

Kwa J Makamba mbali na kwamba ana roho nzuri na ndicho kitu nacho kipenda kwake nimeona haya :-

1.Kutakuwa na Shida kwenye ufaulu wa darasani ,sidhani kama ufaulu wake unaonyesha uhalisia wa uelewa wake .

2.Uwezo wa kuchakata vitu kichwani ni mdogo ,hii ndio imesababisha amekuwa na kauli tata na kebehi kwa wananchi .

Kwa kusema hivyo na kuangalia unyeti wa wizara ya Nishati :-

1.Mamlaka za Uteuzi zimpe Naibu na Katibu mwenye uwezo mkubwa na ushirikiano usisitizwe .


2.Kama kuna namna nyingine ifanyike Atolewe au apewe wizara zinazoendana nae Kama Sanaa,Michezo ,Muungano ,Utalii ...nk hii wizara inahitaji mtu mwenye kichwa kizima sana .

Lakini pia Ombi langu kwa Mamlaka za Uteuzi ziteue watu kwa kuangalia pia unyeti wa Eneo husika .
Maandishi yako hayana karaha, ni machache na maneno ya upole lakini yana ujumbe mzito sana. Maana yake ni kwamba kazi ya kusimamia nishati ni kubwa kuliko uwezo wa Januari Makamba
 
Makamba Jr ama kweli ni tishio kwa wale wanasiasa dhaifu na wapambe wao wenye ndoto za kuitamani nafasi urais kwa siku zijazo. Ni lazima watambue kuwa maamuzi ya Baraza la Mawaziri ni "collective responsibility" hata kama waziri binafsi ana mawazo tofauti na mawaziri wengine katika kuweka vipaumbele vya wizara yake.

Tabia imejijenga hapa jamvini kila siku kuleta nyuzi zenye maudhui ya kukandia yenye kufanana kuhusu utendaji wa Makamba Jr. Badala kutoa "constructive criticisms" dhidi, wao kwa makusudi kabisa hushambulia "personality" yake.

Ni vyema watu wakajikita katika kutoa ushauri nini kifanyike pale wizarani kuliko kujificha nyuma ya porojo, majungu na ushambenga. Ndiyo! Wizara ya Nishati ni nyeti sana kwa maendeleo ya uchumi wa nchi, lakini basi tutoe ushauri kwa serikali nini hasa kipya kifanyike ili kuifanya wizara hii iweze kuwa na tija zaidi.
Kwahiyo hii kugawa mitungi ya gesi ndio baraza la mawaziri wamekuja nalo kama collective decision? Haiingii akilini.
Rubbish
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Back
Top Bottom