HakikaMaandishi yako hayana karaha, ni machache na maneno ya upole lakini yana ujumbe mzito sana. Maana yake ni kwamba kazi ya kusimamia nishati ni kubwa kuliko uwezo wa Januari Makamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HakikaMaandishi yako hayana karaha, ni machache na maneno ya upole lakini yana ujumbe mzito sana. Maana yake ni kwamba kazi ya kusimamia nishati ni kubwa kuliko uwezo wa Januari Makamba
It is more sensitive, Ukishindwa kuona aina ya Democracy iliyoko Tanzania, kula tu ulale.Habari wana Jf ,ninapata shida sana kuamini kwamba kabla ya kuteua mtu kuwa kiongozi tunafuatilia kwa kina sana .
Kwa J Makamba mbali na kwamba ana roho nzuri na ndicho kitu nacho kipenda kwake nimeona haya :-
1.Kutakuwa na Shida kwenye ufaulu wa darasani ,sidhani kama ufaulu wake unaonyesha uhalisia wa uelewa wake .
2.Uwezo wa kuchakata vitu kichwani ni mdogo ,hii ndio imesababisha amekuwa na kauli tata na kebehi kwa wananchi .
Kwa kusema hivyo na kuangalia unyeti wa wizara ya Nishati :-
1.Mamlaka za Uteuzi zimpe Naibu na Katibu mwenye uwezo mkubwa na ushirikiano usisitizwe .
2.Kama kuna namna nyingine ifanyike Atolewe au apewe wizara zinazoendana nae Kama Sanaa,Michezo ,Muungano ,Utalii ...nk hii wizara inahitaji mtu mwenye kichwa kizima sana .
Lakini pia Ombi langu kwa Mamlaka za Uteuzi ziteue watu kwa kuangalia pia unyeti wa Eneo husika .
siasa ndani ya siasaIt is more sensitive, Ukishindwa kuona aina ya Democracy iliyoko Tanzania, kula tu ulale.
daaa ila nyie watuvijana wa msoga lakini hakuna kitu ndo maana magu alitupa hiyo takataka.Zaid ya kuiga kukunja mashati kama Obama has nothing to offer!
ni kweliHio wizara ni nyeti inataka mwenye akili kubwa hasa ya kitasnia uteuzi wake eneo hilo labda upo kimkakati Kwa malengo ya watu fulani, kamanda na uzuri wake ila si kwa hii wizara, japo kwa ukwasi inshallah bahati yake
😂😂😂😂 daaavijana wa msoga lakini hakuna kitu ndo maana magu alitupa hiyo takataka.Zaid ya kuiga kukunja mashati kama Obama has nothing to offer!
Hapo haitendei haki nafasi yake ya uwaziri ila anachokufanya hapo anapiga kampeni ya kijanja kimyakimya ili baadae akigombea nafasi nyingine wananchi wajitokeze kwa wingi kwenda kumpigia kura.
Si ndio anavyopita na kugawa majiko kwenye ziara yake kwa mtindo wa sandakalawe, sasa kuna methodology hapo ya ku monitor tabia iwapo sample yenyewe anakutana nayo barabarani. Baada ya hapo anaenda kijiji kingine na waliopata majiko wanaendelea na maisha yao, can you call that a research au mtu anaropoka na kutuona wote hamnazo kama yeye.
Huko kwenye vituo vya mafuta Mwigulu anatakiwa astopishe hizo hela haraka mpaka aone strategic plan ya hiyo policy. Jana ‘Millard Ayo’ waliweka video ya kijana alieahidiwa kumpatia millioni 50 za mkopo wa kufungua kituo cha mafuta. Yaani kakutana nae barabarani tu na makopo yake ya mafuta a nauza. Hakun mafunzo ya awali kuwapa uwezo wa kuendesha biashara, hakuna coaching na usimamizi kuhakikisha vituo vina kuwa sustainable na mambo mengine mengi.
Hivi kweli ukutane na kijana tu barabarani unamuahidi 50 millioni chances are hajui ata distributor wa karibu yake yupo sehemu gani au ata gharama za kuletewa mafuta, hajui EWURA wakimuibukia wakikuta amechakachua adhabu yake and so forth; waziri ana ahidi watu kama hao 50 millioni kirahisi tu.
Mtu kama huyo kweli wa kusimamia majadiliano ya gas ambayo tushapigwa kama uwezo wenyewe wa waziri ndio huo. Na sasa hivi TANESCO wanajiingiza kwenye mikataba ya ovyo kwenye umeme.
MwanamkeWewe ulitaka ateuliwe nani mkuu?
pole mkuuMtauwa watu nyie.
Ila huyu jamaa sijui hata kama anajua mambo anayoyafanya kama yanaharibu kabisa.
Mda huu Niko Gizani hakuna umeme.
Kariakoo kila siku jioni lazima kuwasha jeneretor.
Pole inamtoa gizani ?pole mkuu
😂😂😂😂😂January Makamba matendo yako ni kama vile ma-last born...
😂😂😂😂Mwanamke
January Makamba ni akili kubwa, Pascal Mayalla tupia hapa mahojiano yako na Makamba kuthibitisha hili.Habari wana Jf ,ninapata shida sana kuamini kwamba kabla ya kuteua mtu kuwa kiongozi tunafuatilia kwa kina sana .
Kwa J Makamba mbali na kwamba ana roho nzuri na ndicho kitu nacho kipenda kwake nimeona haya :-
1.Kutakuwa na Shida kwenye ufaulu wa darasani ,sidhani kama ufaulu wake unaonyesha uhalisia wa uelewa wake .
2.Uwezo wa kuchakata vitu kichwani ni mdogo ,hii ndio imesababisha amekuwa na kauli tata na kebehi kwa wananchi .
Kwa kusema hivyo na kuangalia unyeti wa wizara ya Nishati :-
1.Mamlaka za Uteuzi zimpe Naibu na Katibu mwenye uwezo mkubwa na ushirikiano usisitizwe .
2.Kama kuna namna nyingine ifanyike Atolewe au apewe wizara zinazoendana nae Kama Sanaa,Michezo ,Muungano ,Utalii ...nk hii wizara inahitaji mtu mwenye kichwa kizima sana .
Lakini pia Ombi langu kwa Mamlaka za Uteuzi ziteue watu kwa kuangalia pia unyeti wa Eneo husika .
Pascal tena 😂😂😂January Makamba ni akili kubwa, Pascal Mayalla tupia hapa mahojiano yako na Makamba kuthibitisha hili.
Habari wana Jf ,ninapata shida sana kuamini kwamba kabla ya kuteua mtu kuwa kiongozi tunafuatilia kwa kina sana .
Kwa J Makamba mbali na kwamba ana roho nzuri na ndicho kitu nacho kipenda kwake nimeona haya :-
1.Kutakuwa na Shida kwenye ufaulu wa darasani ,sidhani kama ufaulu wake unaonyesha uhalisia wa uelewa wake .
2.Uwezo wa kuchakata vitu kichwani ni mdogo ,hii ndio imesababisha amekuwa na kauli tata na kebehi kwa wananchi .
Kwa kusema hivyo na kuangalia unyeti wa wizara ya Nishati :-
1.Mamlaka za Uteuzi zimpe Naibu na Katibu mwenye uwezo mkubwa na ushirikiano usisitizwe .
2.Kama kuna namna nyingine ifanyike Atolewe au apewe wizara zinazoendana nae Kama Sanaa,Michezo ,Muungano ,Utalii ...nk hii wizara inahitaji mtu mwenye kichwa kizima sana .
Lakini pia Ombi langu kwa Mamlaka za Uteuzi ziteue watu kwa kuangalia pia unyeti wa Eneo husika .
Tuannzie hapa January Makamba Top The List of Most Interactive Politician in TZ!.January Makamba ni akili kubwa, Pascal Mayalla tupia hapa mahojiano yako na Makamba kuthibitisha hili.
Basi anafanya makusudi atupisheTujifunze kuheshim mamlaka za uteuzi jaman
January amekuwa mwandishi wa hotuba za jk miaka yote kumi
January alikuwa yupo kwenye team za kufanya negotiation za mambo makubwa ten yrs pale ikulu
January amefanya kazi kwenye Ngo kubwa bfr hata ajaja Kwa jk
Bfr rais kufanya teuzi kuna watu wanakaa na kufanya vetting, watu wazito na usomi wao
Sasa ww na form six yako unataka kujiona unajua Sana au Unamawazo makubwa zaidi?
Anaweza kuwa hakufurahishi ww but anafurahisha alie mteua
sikatai J Makamba anaweza kuwa hata Rais Mzuri sana na namshauri aanze harakati lakini hawezi waziri katika wizara nyeti zinazo hitaji uelewa mkubwa uweze kumshauri Rais .