Uteuzi wa January Makamba unafikirisha sana, lifanyike Jambo

daaa
 
Kuna urafiki na kuaminiana ila kama mtu anakuharibia kazi hakuna haja ya kumbeba.

Samia must act or else wananchi waelewe kwamba anayoyafanya Waziri wake yana baraka zake.
Hakika
 
Mtauwa watu nyie.

Ila huyu jamaa sijui hata kama anajua mambo anayoyafanya kama yanaharibu kabisa.

Mda huu Niko Gizani hakuna umeme.

Kariakoo kila siku jioni lazima kuwasha jeneretor.
 
Mtauwa watu nyie.

Ila huyu jamaa sijui hata kama anajua mambo anayoyafanya kama yanaharibu kabisa.

Mda huu Niko Gizani hakuna umeme.

Kariakoo kila siku jioni lazima kuwasha jeneretor.
atupishe
 
Kama ilivyo kawaida ya Mwenyezi Mungu kumpaisha anayefanyiwa hila na wanadamu, Makamba atainuka kidedea mwishowe na hawa maadui watajikuta wanawaita watoto wao watakaojifungua jina la Januari na wengine watawaita Makamba kabisaa,.....muda utasema!
 
Kama ilivyo kawaida ya Mwenyezi Mungu kumpaisha anayefanyiwa hila na wanadamu, Makamba atainuka kidedea mwishowe na hawa maadui watajikuta wanawaita watoto wao watakaojifungua jina la Januari na wengine watawaita Makamba kabisaa,.....muda utasema!
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Mtauwa watu nyie.

Ila huyu jamaa sijui hata kama anajua mambo anayoyafanya kama yanaharibu kabisa.

Mda huu Niko Gizani hakuna umeme.

Kariakoo kila siku jioni lazima kuwasha jeneretor.
Daas hatari
 
Hahaaaa... "Eti mwenye kupata apate, mwenye kukosa akose" daaaah! Nimekumbuka mbali saaaana utotoni [emoji38]
 
Hahaaaa... "Eti mwenye kupata apate, mwenye kukosa akose" daaaah! Nimekumbuka mbali saaaana utotoni [emoji38]

Si ndio anavyopita na kugawa majiko kwenye ziara yake kwa mtindo wa sandakalawe, sasa kuna methodology hapo ya ku monitor tabia iwapo sample yenyewe anakutana nayo barabarani. Baada ya hapo anaenda kijiji kingine na waliopata majiko wanaendelea na maisha yao, can you call that a research au mtu anaropoka na kutuona wote hamnazo kama yeye.

Huko kwenye vituo vya mafuta Mwigulu anatakiwa astopishe hizo hela haraka mpaka aone strategic plan ya hiyo policy. Jana โ€˜Millard Ayoโ€™ waliweka video ya kijana alieahidiwa kumpatia millioni 50 za mkopo wa kufungua kituo cha mafuta. Yaani kakutana nae barabarani tu na makopo yake ya mafuta a nauza. Hakun mafunzo ya awali kuwapa uwezo wa kuendesha biashara, hakuna coaching na usimamizi kuhakikisha vituo vina kuwa sustainable na mambo mengine mengi.

Hivi kweli ukutane na kijana tu barabarani unamuahidi 50 millioni chances are hajui ata distributor wa karibu yake yupo sehemu gani au ata gharama za kuletewa mafuta, hajui EWURA wakimuibukia wakikuta amechakachua adhabu yake and so forth; waziri ana ahidi watu kama hao 50 millioni kirahisi tu.

Mtu kama huyo kweli wa kusimamia majadiliano ya gas ambayo tushapigwa kama uwezo wenyewe wa waziri ndio huo. Na sasa hivi TANESCO wanajiingiza kwenye mikataba ya ovyo kwenye umeme.
 
Atupishe
 
Hio wizara ni nyeti inataka mwenye akili kubwa hasa ya kitasnia uteuzi wake eneo hilo labda upo kimkakati Kwa malengo ya watu fulani, kamanda na uzuri wake ila si kwa hii wizara, japo kwa ukwasi inshallah bahati yake
 
vijana wa msoga lakini hakuna kitu ndo maana magu alitupa hiyo takataka.Zaid ya kuiga kukunja mashati kama Obama has nothing to offer!
 
Maandishi yako hayana karaha, ni machache na maneno ya upole lakini yana ujumbe mzito sana. Maana yake ni kwamba kazi ya kusimamia nishati ni kubwa kuliko uwezo wa Januari Makamba
 
Kwahiyo hii kugawa mitungi ya gesi ndio baraza la mawaziri wamekuja nalo kama collective decision? Haiingii akilini.
Rubbish
 
Reactions: RNA
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ