Wakati nipotambua kwamba Rais JK amemteua huyu babu kingunge kwenye bunge la katiba hakika nilishangaa sana. Mshangao wangu ulitokana na kurudisha kumbukumbu zangu nyuma kidogo wakat JK alipompumzisha huyu babu ktk uongoz (ubunge wa kuteuliwa) kwa madai kwamba anapaswa kupumzika amelitumikia taifa kwa muda mrefu sana na nguv zimemwishia.
Je leo hii babu Kingunge kikongwe huyu ana jipya gan atakalotoa ktk bunge la katiba zaid ya kwenda kulala bungen au kutoa michango ya kihafidhina? Nina mashaka sana na uteuzi wa kingunge. Wadau nisaidien.
Je leo hii babu Kingunge kikongwe huyu ana jipya gan atakalotoa ktk bunge la katiba zaid ya kwenda kulala bungen au kutoa michango ya kihafidhina? Nina mashaka sana na uteuzi wa kingunge. Wadau nisaidien.