Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wakuu hii ndo siri ya mh. Kingunge kuteuliwa kuwa mjumbe wa bunge la katiba wale makuhadi wa siasa za chuki na uzushi sasa waseme tena.....
Hiyo ni danganya Toto tu na hoja ya kipuuzi ku-justify uteuzi holela wa maCCM,Makonda nae je?? Wale wawakilishi fake wa wavuvi na wafugaji je??!!
ulitaka ateuliwe slaa?
ofisi ya katibu mkuu
mtaa wa ufipa
Kwa hiyo wewe umeridhika na huo uteuzi.!??
ulitaka ateuliwe slaa?
kumbe kuandika kwako huu ugoro ulikuwa umelenga cdm???? angalia cdm isije kupa mimba!!!!
slaa kaingiaje hapa???? nyambafuuuuu!!!"!!
Kumbe katibu mkuu mtaa wa ufipa ndio mume wako!!!! Nilikuwa sijuiofisi ya katibu mkuu
mtaa wa ufipa
kwa moyo wangu wote
Mara ya pili? Karibu ajifungue huyu hana wiki tenakumbe kuandika kwako huu ugoro ulikuwa umelenga cdm???? angalia cdm isije kupa mimba!!!!
Kingunge Ngombare Mwiru kama ilivyo imani yake ya Upagani badala ya kuingia katika Bunge la Katiba kwa kupitia mlango wa kawaida akaingilia juu ya paa la jengo la Bunge!!!??Si ajabu mpango huu uliratibiwa na Mteja wa Marehemu Sheikh Yakhaya Hussein,MwanaMSOGA.Ofcourse,birds of a feather flock together!!