Uteuzi wa Kingunge Ngombare Mwiru kwenye bunge la katiba ni dhihaka kwa watanzania

Uteuzi wa Kingunge Ngombare Mwiru kwenye bunge la katiba ni dhihaka kwa watanzania

Pia nimesikia wamemteua katika kitengo cha NGO's huyu mzee anamiliki NGO gani?

Eti ni mwakilishi wa -wanachama wa tiba za asili. Sijui yeye shughuli zake anafanyia wapi. Nchi ina ombwe la uongozi wenye maono -visionary leaders
 
Eti ni mwakilishi wa -wanachama wa tiba za asili. Sijui yeye shughuli zake anafanyia wapi. Nchi ina ombwe la uongozi wenye maono -visionary leaders

Huyu ndo fundi mkuu ktk kamati ya ufundi ya CCM.
 
Eti ni mwakilishi wa -wanachama wa tiba za asili. Sijui yeye shughuli zake anafanyia wapi. Nchi ina ombwe la uongozi wenye maono -visionary leaders

Huyu ndo fundi mkuu ktk kamati ya ufundi ya CCM.
 
Kuna wazee mle wanaonekana wamepewa fadhila ili wamalizie siku zao kihivyo.Ila michango yao itakuwa mfu
 
Naona ndiyo sababu PCT walinyimwa nafasi kwa kuogopa kuwa bunge lingegeuzwa uwanja wa mapambano na kukemea nguvu za giza a.k.a 'pepo'
 
Nchi ya sanaa hii, watu wameweka maslahi yao mbele, sijui huu upuuzi ulianza lini??
 
Back
Top Bottom