Uteuzi wa Kingunge Ngombare Mwiru kwenye bunge la katiba ni dhihaka kwa watanzania

Wachawi wenzake wameula wa chuya wanadhani atakwenda kuwasemea wakati kwenye rasimu hakuna kipengere kinachoongelea habari za uchawi.Kingunge na wengine kama Bulembo wameteuliwa kwa ajili ya kwenda kupinga serekali 3 na kupigania serekali 2 ziendelee kuwepo hao ni wateule maalumu kwa ajili ya kuipigania CCM.
 

Mtoa mada.
Kumbuka kuwa Katiba ni kwa kizazi cha sasa na badae.
Nimeona michango yako mingi hailengi kujenga.
Pia umeshindwa kutambua kuwa sio busara kwa mtu mwenye kundi fulani kuwakilisha kundi lingine.
Mfano tu, ungejisikiaje kama Mch Msigwa angewakilisha makundi ya dini, Mbowe angewakilisha wafanyabiashara, Lissu wanaharakati nk.
Please tumia akili kufikiri !
 
Nikisikia tu jina la Kingunge nahisi kichefuchefu!

Huyu mzee anatakiwa alee vijuku na vitukuu tu na sio kumpeleka bungeni!
 
hoja nyepesig.Mleta uzi unafanya sugar coating tu!
 
Huyu mzee naona ana kazi maalumu serekalini.Karibu awamu zote hajawahi kuachwa kuteuliwa kuwa kiongozi serekalini mpaka alipokuja kuomba mwenyewe.Hiyo kazi inaonekana hata mungu haipendi ndiyo maana hana dini.
 
Haka kazee kwanza kabisa haki amini kuwa Mungu yupo kinaamini uchawi na makafara tu lakini kilivyolazwa muhimbili kiliomba tukiombee kwa Mungu Hiki kidingi ni janga la taifa
Ni kweli kwa huyu aliyeteua anathamini mchango wa Waganga wa kienyeji kuliko wa Wapentekoste??
 
Kingnge + profesa maji marefu naona mbungeni giza zito litatawala.
 
ulitaka ateuliwe slaa?

Inathibitisha upuuzi uliokujaa na sio hoja mujarabu??!! Unafahamu bunge la katiba limejaa zaidi 78% ya makada wa CCM??! Na unajua wazi kabisa mapendekezo mengi CCM hamyataki ila mna yenu so kweli hapo kuna katiba ya maslahi ya nchi????!!
 
Hilo bunge la katiba halitaisha bila kutokea jambo kubwa litakaloshtua wengi
 
Hakuna haka ya jaziba, tz pamoja Kuwa Islam 32%, Catholic 38%, Pentecost churches 17% ina 13% ya wapagani akiwemo Mheshimiwa sana Kingunge, lakini niwaombe wachangiaji fafahamu kwamba wananchi wake 93% wanaamini uchawi na kwa wale wasio na habari Tz ni ya 2 Africa ushindi Hu wa kichawi ulipandishwa chati na mchungaji feki Mwasapile aliyewagiribu mpaka viongozi wa Nchi wakaenda kunywa maji ya kipepo. Idadi kubwa ya wawakilishi wetu katika vyombo vya maamuzi ni washirikina, ndio maana unaweza kuona hakuna anayejiuliza kuhusiana na na ndoa ya Tz na Madragon China wanaoamini dini ya mashetani. Kingunge anawakiliaha kindi kubwa sana, ni basi tu kwamba mambo yao si rasmi kikatiba vinginevyo walipaswa wapewe nafasi nyingi zaidi. Hata hivyo hakuna shida kwa sababu wanna uwezo wa kushiriki bila kushirikishwa. Mungu ihurumie Tz.
 
kumekuwa na upotoshaji kuhusu uwakilishi wa kingunge ngombale mwiru katika bunge la katiba kwa ufupi kingunge anawakilisha watu wasio waislamu wala wakristo ,watu wanaoabudu dini za asili over
 
Yani hata sauti ya Ndiooooooooooo hawezi toa yani hana mchango kwa saiz kwa kweli. kama ni ela si wampe tu wanamchosha mzee wetu, uonevu tu
 
Ni dhahiri kwamba J.K. anajaribu kumsaidia Kingunge apate ulaji kidogo!!!!! Hizo TSh. 700,000X90= TSh 63milioni zitamsaidia kwa muda.

Ahsante J.K. kwa huruma yako kwa mzee wetu. Wahurumie wazee wengine basi. Tutakuenzi.
 

Mshangae zaidi aliyemteuwa
 
Huyu mzee naona ana kazi maalumu serekalini.Karibu awamu zote hajawahi kuachwa kuteuliwa kuwa kiongozi serekalini mpaka alipokuja kuomba mwenyewe.Hiyo kazi inaonekana hata mungu haipendi ndiyo maana hana dini.

Huyu mzee ndiye alikuwa akisaidia kuzuia Makombora yale yaliyokuwa yanamlenga Jei kei enzi za kampeni alivyokuwa akidondoka dondoka hovyo majukwani.
 
Huyu kingunge kwanza afya yake mgogoro kwa uzee hiv kwel ataweza kukaa muda wote wa bunge akiwa imara kufatilia mambo na hoja imara za kulipeleka taifa hatua nyingine ya kupata katiba mpya? Ni afadhali angepewa ile shuhuli yake ya awali ya"MSHAURI WA RAIS" kuliko ktka bunge la katiba. Hata hao waganga wa jad (wachawi) waliompendekeza nao hamnazo hata kama anaenda kutete wachaw hakika wamepoteza nafas kwasabab Hamna jipya kichwan mwa Babu yetu huyu ni mzee sana amechoka apumzike.
 
kumbe huwa kana maufundi, hii noma maana wanaamini point zake za kuwabeba zinaweza kupita tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…