Uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu Mpya wa TISS, Said H. Masoro, na Mtazamo wangu

Well said mkuu
 
Nilitegemea kuona cv yake mteule huyo. Mwisho nimeambulia tangazo la kitabu cha Ujasusi wa kidola.
Bandiko si baya lakini limehama kuwa tangazo la biashara. Labda wale wanao comment ndio wanajaribu kuongelea vitu sio mtu
 
Loh! Naona uko mbali na Dunia ndg yangu. Ujasusi ni kila kitu. Vipi unautoa uchumi katika ujasusi. Kama unaelewa concept ya pro- activity basi hawa ndo wanatakiwa wawe hivyo. Wanayaona mambo yote katika broader view na kushauri other bodies, the government for that matter. Umenifahamu?
Kwa taarifa yako uchumi ndiyo usalama wenyewe!

,
 
Chombo chochote cha ulinzi/usalama ili kiwe na weledi na ufanisi katika kazi yake lazima kiwe na watu wenye weledi kwenye fani zote, wahandisi, madaktari, mafundi mchundo, wahasibu, ICT, wauguzi nk nk. ili kiweze kufanya kazi kwa ufanisi na weledi hadi kifikie malengo kwa ustawi wa taifa na watu wake.

Vv
 
Unajuwa tatizo letu ni kuwa tunaposikia usalama wa taifa tunakimbilia kwenye makosa yanayohusu mambo ya serkali, siasa, na viongozi wake. Tunasahau kuwa usalama ni totality ya uhai wa nchi katika kila nyanja. Raia aliye na njaa sia salama. Raia mgonjwa siyo salama. Uchumi mbovu siyo salama, n.k. Hii ndiyo maana usalama wa taifa unatakiwa kuwa na wabobezi katika nyanja zote. Popote TZ usalama ni muhimu.
 
Madini,,,,,,,,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…