Uchaguzi 2020 Uteuzi wa Van Zeland kuwa Mgombea Ubunge Mvomero kwa upande wa CCM, haujatutendea haki wananchi wa Wilaya ya Mvomero

Shida umeshazizoea mkuu
 
Like 5
 
Subiri uone utendaji wake. Mapovu ya nini
 
areafiftyone kwa upande wa Turiani kwa saa hivi naona TuRUwAsa wamejitahidi sana maji yakutosha.
Tunataka iwe maeneo yote sio maeneo fulani fulani tu.Maeneo mengi Wilaya ya Mvomero wananchi wanatumia maji ya mabwawa ambayo si salama kabisa.Mradi wa Wami Dakawa kwa mfano,is a laughing stock,na pale ni Wilayani kabisa,lakini viongozi hawajali kwamba wananchi wanateseka.We demand change.
 
Hamjafurahishwa lakini mtampigia kura Van Zeland. Na bado mnategemea kuwa siku nyingine wataogopa kupingana na uamuzi wenu!

Amandla...
 
Ni mtanzania na alikuwa diwani kasaidia sana huyo
Pale hakuna mtu...anachojua yeye ni kudai posho tu hata katika kutimiza majukumu yake. bila kumpatia posho hupati huduma kwa yule jamaa. Mvomero wanaendelea kudondokea pua tena kwa miaka mitano ijayo kama watamchagua huyu jamaa kuwa mbunge. Bora wachague wa upinzani
 
Hamjafurahishwa lakini mtampigia kura Van Zeland. Na bado mnategemea kuwa siku nyingine wataogopa kupingana na uamuzi wenu!

Amandla...
Kwa jinsi hali ilivyo kumhusu Van Zealand apa Wilayani,ni vigumu sana watu kumchagua.Hata hivyo aliyefanya mizengwe yote mpaka Zealand akapita kwa kuwa bado yupo(na tunamjua!) kwenye nafasi yake,naamini atafanya mizengwe tena ili apite.Hata hivyo tunaamini kwamba Zimwi likujualo halikuli likakwisha,ingawa linabaki kuwa Zimwi.Na ikumbukwe kwamba sio lengo.
 
Subiri uone utendaji wake. Mapovu ya nini
Nyota njema huonekana asubuhi mkuu.Huyu bwana alikuwa Mwenyekiti wa Halimashauri,lakini mambo yalikuwa hovyo kabisa.Na mbona tabia yake tunaijua?Huwezi kupata uongozi kwa kuzunguuka mbuyu, mkuu halafu uka-perform,that is unthinkable.Tatizo ni kwamba Madiwani wake kama akina Sosa ni magarasa,kwa hiyo chini hana msaada.
 
Ashapita Bila kupingwa huyo. Mwache na yeye akaenjoy maana mtu kama Murad Saddiq hana lolote Papaa Makala mzee wa Bata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…