Uchaguzi 2020 Uteuzi wa Van Zeland kuwa Mgombea Ubunge Mvomero kwa upande wa CCM, haujatutendea haki wananchi wa Wilaya ya Mvomero

Uchaguzi 2020 Uteuzi wa Van Zeland kuwa Mgombea Ubunge Mvomero kwa upande wa CCM, haujatutendea haki wananchi wa Wilaya ya Mvomero

Ngoja zikutafune haswa
Changeni hela za kurudisha Ubelgiji,Chamwino msahau,hatuhitaji mistari ya sheria majukwaani,tunahitaji sera tangible za kutufikisha kwenye malengo yetu.
 
Ashapita Bila kupingwa huyo. Mwache na yeye akaenjoy maana mtu kama Murad Saddiq hana lolote Papaa Makala mzee wa Bata.
Ni lazima tuonyeshe reservations zetu,tukinyamaza watajua tumeridhika.Tuwaambie tu kwamba yaliyopita nyuma ya pazia tunayajua yote,mbona hata mwenyewe anatamba.
 
Ashapita Bila kupingwa huyo. Mwache na yeye akaenjoy maana mtu kama Murad Saddiq hana lolote Papaa Makala mzee wa Bata.
Unajua Masue,inatuuma kwa kuwa chini nako madiwani ni magarasa.Sasa mbunge awe garasa,madiwani magarasa,tutakuwa wageni wa nani?Hivi unategemea nini kutoka kwa Diwani kama wa Wami Dakawa Sosa,an Ex.Std.III, kama sio majungu na kugawanya wananchi tu.

Yaani seriously wananchi wa Mvomero hatujafaidi uongozi wa Magufuli kabisa.Tunasikia tu misifa kede kede maeneo mengine.Miaka mitano iliyopita hola,ijayo nayo kwa viongozi hawa hakuna shaka yeyote itakuwa hola.Dah,inauma sana aisee.
 
Back
Top Bottom