Uchaguzi 2020 Uteuzi wa Wagombea Ubunge CCM ni tishio na funzo kubwa kwa Upinzani

Uchaguzi 2020 Uteuzi wa Wagombea Ubunge CCM ni tishio na funzo kubwa kwa Upinzani

Nitakubaliana na wewe juu ya kuvunjika kwa status quo Kama idadi ya majina ya wagombea wapya ni mengi kuliko ya waliopitishwa ambao tayari walikuwa wabunge. Je ndivyo ilivyo? Sijafanya hesabu lakini nina wasiwasi Kama hao wapya unaosema wamebreak status quo Kama hata wanatika asilimia 50. Na Kama hata hawafiki Nusu ya hao wa awali, How do you dare professing the breaking of the status quo? Kitu siyo hata point 5 unawezaje kukifanya kuwa mabadiliko? Hesabu kidogo. 2.5 ni sawa na 3 kihesabu. Kama bado ni 2 say point 2, utasemaje ni 3 kihesabu? Sema wako njiani kuelekea kuvunja hiyo status quo, lakini ukweli bado Sana!!
 
CCM walieleza bayana mchakato utakavyokuwa. Not only once, mwenyekiti alisema kushinda kura za maoni doesn't mean ndo kuteuliwa. Sema wewe ulijiaminisha tu kichwani mwako.
Waulize wagombea wa Chadema wamepatikanaje?
 
Ole sendeka naye ameteuliwa na CCM kugombea ubunge Jimbo la simanjiro.? Pomoja na rushwa alizotembeza Chama hakikusikia Wala kuona. Bukoba vijijini rushwa ilikuwa nje nje,Chama hakikuona Wala hakikusikia.​
 
Wapinzani sera yetu huko nyuma , ilikuwa tunapendekeza katiba ya mzee warioba
Tukaunda dude linaitwa ukawa
Moja ya agenda yetu
Rais apunguziwe mamlaka
Na ikiwemo na ukomo wa ubunge ,,
Tukasema ubunge mwisho tems 2
Ukipiga vipindi viwili vinatosha unawachia wengine waje na mawazo mapya🙂
Cc kama wapinzani tukaanza kuwabeza wazee wa yupo ,, tangia mwalimu
Wasira yupo
Mama Tibaijuka yupo
Chenge yupo
Nimrod Mkono yupo
Na wengine kibao

Leo sioni wapinzani tukitembea na misimamo yetu
Tuanze na
Lema yupo
Sugu yupo
Zito yupo
Mdee yupo
Msigwa yupo

Inamaana katika siasa uwongo ndio dira ya mwana siasa
hawa wakina lema, Msigwa, sugu, Mdee
Wakiendelea kukubalika katika chaguzi na kushinda watakuwa awana tofauti na wakina mzee Chenge, Wasira, Kapuya, wanataka waondoke katika ubunge wakiwa na mamvi,,,
Kelele zote zile mlizokuwa mnawakandia matembele kumbe ilikuwa rubish…
Siasa hizi kweli cc watanzania tunatumika kama makarai Lema, sugu, kibajaji wanafanya yao na familia zao cc tunatoana akili humu..
 
Wapinzani sera yetu huko nyuma , ilikuwa tunapendekeza katiba ya mzee warioba
Tukaunda dude linaitwa ukawa
Moja ya agenda yetu
Rais apunguziwe mamlaka
Na ikiwemo na ukomo wa ubunge ,,
Tukasema ubunge mwisho tems 2
Ukipiga vipindi viwili vinatosha unawachia wengine waje na mawazo mapya🙂
Cc kama wapinzani tukaanza kuwabeza wazee wa yupo ,, tangia mwalimu
Wasira yupo
Mama Tibaijuka yupo
Chenge yupo
Nimrod Mkono yupo
Na wengine kibao

Leo sioni wapinzani tukitembea na misimamo yetu
Tuanze na
Lema yupo
Sugu yupo
Zito yupo
Mdee yupo
Msigwa yupo

Inamaana katika siasa uwongo ndio dira ya mwana siasa
hawa wakina lema, Msigwa, sugu, Mdee
Wakiendelea kukubalika katika chaguzi na kushinda watakuwa awana tofauti na wakina mzee Chenge, Wasira, Kapuya, wanataka waondoke katika ubunge wakiwa na mamvi,,,
Kelele zote zile mlizokuwa mnawakandia matembele kumbe ilikuwa rubish…
Siasa hizi kweli cc watanzania tunatumika kama makarai Lema, sugu, kibajaji wanafanya yao na familia zao cc tunatoana akili humu..

Hilo la kung'ang'ania madaraka nadhani upinzani kwa upande wao huwa wanaona ni shida. Kila siku wanadai vitu ambavyo hata ndani ya vyama vyao wameshindwa ku-practice. Tuna safari ndefu sana kufikia Kujitambua.
 
Back
Top Bottom