Uteuzi wa Wakurugenzi unafanyika lini? Mambo mengi yamesimama Wilayani

Uteuzi wa Wakurugenzi unafanyika lini? Mambo mengi yamesimama Wilayani

Pagan Amum

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2015
Posts
1,932
Reaction score
4,403
Ni muda sasa mkeka wa Ma-DED unasubiriwa ili mambo yaende huku Wilayani na kwenye Halmashauri. Kila kitu almost kimesimama.

Wengi wao hawana uhakika, hivyo hawashindi vituoni bali wanaenda Dodoma kila mara. Nilikuja kufatilia mambo fulani katika moja ya Wilaya "Mkoa kanda ya ziwa" ni wiki ya 3 sasa karibu wilaya zote hazina Wakurugenzi.

Infact, pressure iko juu sasa. Mbaya zaidi mwaka wa budget mpya ushaanza. So, everything is almost stagnant huku mikoani.

Mh. Rais achia mkeka ili mambo yaendelee kama kawaida huku mikoani.
 
Tafadhali tafadhali mtusubiri tuswali Eid El Haji, msije mkatuharibia sikukuu kwa jaka la moyo na kihoro.
 
Prussere iko juu, mwaka mpya wa Budget, kila kitu kimesimama, nmetuatilia ma Ded wote wapo Dodoma, ila Wabongo bwana
 
DED wafuatao wasahau kutafuta majina yao mkeka ukitoka:-

1. DED Same.... Mikopo ya vikundi zero
2. DED songwe ... ufisadi
3. DED kaimu Moshi manispaa ...mikopo ya vikundi waliopewa anawafahamu yeye
4. DED ikungi.. ufisadi
5. DED kahama..ufisadi
6. DED handeni...ufisadi
7. DED kilosa ... ufisadi
 
DED wafuatao wasahau kutafuta majina yao mkeka ukitoka:-
1. DED Same.... Mikopo ya vikundi zero
2. DED songwe ... ufisadi
3. DED kaimu Moshi manispaa ...mikopo ya vikundi waliopewa anawafahamu yeye
4. DED ikungi.. ufisadi
5. DED kahama..ufisadi
6. DED handeni...ufisadi
7. DED kilosa ... ufisadi
Hiyo nafasi ya ikungi na hisi naenda kuipata mimi.
 
Tarehe ndio hizi. Wengi wa ni ma-DAS ndio wamekuwa promoted . Ombea upate u-DAS mkuu
 
Wabongo wamezidi kudukua habari.

Ngoja mama akafungue sefu huko Zenj akienda mapumziko.
 
Teuzi Kama teuzi ,moyo unapiga .mama nifikirie Apo Moshi mi yatima
 
Kwanini pressure ziwe juu kama lengo ni kuwatumikia wananchi pekee? hapo kuna jambo limejificha
 
DED wafuatao wasahau kutafuta majina yao mkeka ukitoka:-
1. DED Same.... Mikopo ya vikundi zero
2. DED songwe ... ufisadi
3. DED kaimu Moshi manispaa ...mikopo ya vikundi waliopewa anawafahamu yeye
4. DED ikungi.. ufisadi
5. DED kahama..ufisadi
6. DED handeni...ufisadi
7. DED kilosa ... ufisadi
DED wafuatao wasahau kutafuta majina yao mkeka ukitoka:-
1. DED Same.... Mikopo ya vikundi zero
2. DED songwe ... ufisadi
3. DED kaimu Moshi manispaa ...mikopo ya vikundi waliopewa anawafahamu yeye
4. DED ikungi.. ufisadi
5. DED kahama..ufisadi
6. DED handeni...ufisadi
7. DED kilosa ... ufisadi
DED kahama -ushetu? Au ?
 
Acting DED-KWIMBA namuombea apate maana ana busara sana kiuongozi.Wilaya imejaa wapuuzi wengi ila kamanage kuwacontrol.
 
Ila inaonekana mama ni msikivu sana. Itakuwa zile kelele za kupinga kuteua wagurugenzi, ambao siyo wataalamu zimesaidia, hivyo amerudi nyuma na kufanya vetting kwa umakini.

Ukweli utabaki vilevile kwamba, wakurugenzi wa halmashauri wanatakiwa wawe ni wataalamu wenye uzoefu katika mambo ya uongozi, hasa halmashauri, au serikalini kwa ujumla, na siyo kuokoteza wanasiasa na kuwapeleka halmashauri, ujue kutakuwa na anguko kubwa sana.
 
Back
Top Bottom