Uteuzi wa Wakurugenzi unafanyika lini? Mambo mengi yamesimama Wilayani

Uteuzi wa Wakurugenzi unafanyika lini? Mambo mengi yamesimama Wilayani

Mitanzania tumekuwa Wajinga Sana, Yaani mtu anakaa siku, miezi akiwaziwa Uteuzi tu.Daah! Katiba Mpya Itapunguza Ujinga huu kwa maana hizi ni Miongoni Mwa Nafasi Zinazohitaji weledi so application and interview itakuwa sehemu ya Kuwapata Watu sahihi. Hatutaki Mtu Kupewa nafasi kwa sababu ana Kadi na Jezi ya CCM. Kwenye Dai la Katiba Mpya Tuwaunge Mkono CHADEMA ili Kukomesha Ujinga huu.
Umeongea Jambo la maana sana, huu ujinga wa kuwaza teuzi ndio unasababisha taifa la wanafki kila siku watu wanawaza kusifia tu ili wateuliwe
 
Sasa hivi hata vi bia wamepunguza kunywa wanasikilizia upepo...
 
Uteuzi wa maDED unahusisha upekuzi, Mama hataki kufanya makosa kama yaliyojitokeza kwenye uteuzi wa maDC.

Suala la 50/50 pia limechangia kuchelewesha Uteuzi, manake kupata viongozi Wanawake 50/50 kwenye uDED na maDAS bado mtihani manake wanaweza kuwa 25% wenye sifa.
 
Mama Samia tupe zawadi ya idi, mtoe Nchemba alikushauri vibaya.
 
DED wafuatao wasahau kutafuta majina yao mkeka ukitoka:-

1. DED Same.... Mikopo ya vikundi zero
2. DED songwe ... ufisadi
3. DED kaimu Moshi manispaa ...mikopo ya vikundi waliopewa anawafahamu yeye
4. DED ikungi.. ufisadi
5. DED kahama..ufisadi
6. DED handeni...ufisadi
7. DED kilosa ... ufisadi
Naona mnamuandama kweli mkurugenzi wetu wa same.
Tatizo nini jamani.
 
Back
Top Bottom