Uteuzi wa Wakuu wa Wilaya uliofanyika Juni 2021 umeshusha hadhi ya nafasi hiyo

Shule yao ni Ole Sabaya kwahiyo hawawezi kurudia makosa, watakuwa waadilifu!! Wapewe ushirikiano tu
 
Uongozi ni tatizo kubwa duniani hasa nchi maskini. Ni hatari uongozi unapogeuka ni zawadi.
 
Ingia kwenye website ya bunge jaribu kama utaikuta. Ukiikosa jaribu kitengo cha uteuzi na vetting ya wakuu wa wilaya watakupa information zake.
Huyu mtu aligombea ubunge mwaka jana akajaza ana f4+ cheti cha ualimu daraja A, alienda kusoma degree saa ngapi?
 
Tungesubiri utendaji wao kwanza ndio tuwahukumu, msanii na usanii na yenyewe ni kazi so tusihukumu kwa kazi zao, tuwape muda then tuwakuhumu kwa utendaji wao. Kuna madokta na maprofesa kibao wamekaa kwenye nafasi kubwa na ndogo but hawakuwahi kuonesha impact yeyote zaidi ya kujisifia na elimu zao, wenye degree moja tumewaona, wanajituma, wabunifu na wafuatiliaji so lets wait, time will tell brother
 
Huyu mtu aligombea ubunge mwaka jana akajaza ana f4+ cheti cha ualimu daraja A, alienda kusoma degree saa ngapi?
Unataka kujua vetting yake in details? Tuarrange live meeting nitakupatia information zake. Inbox me your contacts.
 
Hazina hadhi kabisa thus kina sabaya walipewa.
Kama nchi atujafikia kukosa wasomi hadi kuokoteza.
Nafasi za UDc ilifaa zitangazwe watu waombe kisha wachujwe wapatikane wenye sifa na sio hii ya yeyeto tu anapewa
 
Nafasi za UDC zinatumika kama mtama kwa watoto kuwavuta vijana toka Chadema waende CCM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…