Shule yao ni Ole Sabaya kwahiyo hawawezi kurudia makosa, watakuwa waadilifu!! Wapewe ushirikiano tuAisee uteuzi mbovu 75% .Yaani vyuo vya adminstrative vina changamoto,Kuna ma professor ,wahitimu weredi wakubwa wa siasa na uongozi.
Leo hii bongo movie,bongo fravour,Journalist wawe ma DC.
Nchi Bado inasafari ndefu Sana ,acha waendelee kututukana mpaka tuishike adabu
Uongozi ni tatizo kubwa duniani hasa nchi maskini. Ni hatari uongozi unapogeuka ni zawadi.Inasikitisha sana Tanzania sijui inaelekea wapi. DC ni nafasi nyeti ya kuunganisha watendaji na jamii inayowazunguka. Kusimamia mambo ya ulinzi na usalama.
Hii ni nafasi ya waandamizi kutoka katika utumishi au chama, wakiwa wamejaa utu uzima na busara za kumwagika. Leo unaenda kuokoteza wasanii na watu mitandaoni.
Naona Tanzania inapoteza uelekeo kabisa. Hawa jamaa wanatupa kazi sana kuirudisha Tanzania kwenye reli.
Mimi sijawahi kushuhudia uteuzi wa hovyo kama huu toka nizaliwe.
Kiufupi rais kaelemewa na majukumu
kijana anasubiri miaka tu, hili halina mjadala!! kijana ni gaidi sugu.Inamaana haukushihudia uteuzi wa Jemedari Lengai Ole Sabaya ? 🤣
Weka cv yake hapaVyeti vyake vinaonyesha alijiendeleza. Alisoma Esami. Usimzungumzie mtu kwa uhakika jambo ambalo huna hakika nalo.
Ni asante kwa makadaU-dc umekuwa ni cheo cha kupeana pole kisiasa - hili ni tatizo kubwa !!
Kiswahili lugha yetu!This is the Man I was talk about
Weka cv yake hapa
Huyu mtu aligombea ubunge mwaka jana akajaza ana f4+ cheti cha ualimu daraja A, alienda kusoma degree saa ngapi?Ingia kwenye website ya bunge jaribu kama utaikuta. Ukiikosa jaribu kitengo cha uteuzi na vetting ya wakuu wa wilaya watakupa information zake.
Unataka kujua vetting yake in details? Tuarrange live meeting nitakupatia information zake. Inbox me your contacts.Huyu mtu aligombea ubunge mwaka jana akajaza ana f4+ cheti cha ualimu daraja A, alienda kusoma degree saa ngapi?
ALiyekutuma mwambie tuheshimiane mazeeUnataka kujua vetting yake in details? Tuarrange live meeting nitakupatia information zake. Inbox me your contacts.
mimi niumie kwa kukosa kuwa kadcNaona umeumia sana. hahaaa 🙂
Hakuna aliyenituma. Nimeona nikutumie details zake moja kwa moja.ALiyekutuma mwambie tuheshimiane mazee
Tuma hapa watu wote waoneHakuna aliyenituma. Nimeona nikutumie details zake moja kwa moja.
Kama huitaji sana hakuna shida mkuu.Tuma hapa watu wote waone
Sawa mkuuKama huitaji sana hakuna shida mkuu.