Uthibitisho: Mungu sio mwanamke ni mwanaume

Uthibitisho: Mungu sio mwanamke ni mwanaume

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Nadhani mungu ni mwanaume,

Ktk uumbaji tunaambiwa Mungu alimuumba mwana adamu kwa mfano wqke, mtu wa kwanza kuumbwa ni adamu (mwanaume) kisha mbeleni huko akaumbwa hawa baada ya adam kuwa mpweke,

Kama alimuumba mwanadamu kwa mfano wake,

Na aliyeumbwa ni Adamu,

Na Adamu ni mwanaume,

Hivyo basi mungu ni mwanaume.

Bikira Maria alitunga mimba ya Mungu,

Mwanamke hupewa mimba na mwanaume,

Bikira maria ni mwanamke,

Hivyo basi Mungu ni mwanaume.

Biblia ya kizungu inampotaja Mungu humtaja kama he na sio she
Hivyo basi mungu ni mwanaume.

Kama kuna mtu anapinga alete facts
 
Mzee Mungu aliumba Adam..
Ila Adam ni Jinsia Mbili yaani mwanamke na mwanaume au Hujui hilo??

Bado sijaona Hoja Yako ya Jinsia Ya Mungu..
Screenshot_20240727_203639_Biblia Takatifu.jpg
 
Hivyo basi Mungu ni mwanaume.
Kama kuna mtu anapinga alete facts
Tushike lipi?
Tuache lipi?
Yohana 5:37
Naye Baba aliyenituma amenishuhudia. Sauti yake hamkuisikia wakati wowote, wala sura yake hamkuiona.
 
Tushike lipi?
Tuache lipi?
Yohana 5:37
Naye Baba aliyenituma amenishuhudia. Sauti yake hamkuisikia wakati wowote, wala sura yake hamkuiona.
Neno baba ni uthibitisho kuwa mungu ni mwanaume
 
Nadhani mungu ni mwanaume,

Ktk uumbaji tunaambiwa Mungu alimuumba mwana adamu kwa mfano wqke, mtu wa kwanza kuumbwa ni adamu (mwanaume) kisha mbeleni huko akaumbwa hawa baada ya adam kuwa mpweke,

Kama alimuumba mwanadamu kwa mfano wake,

Na aliyeumbwa ni Adamu,

Na Adamu ni mwanaume,

Hivyo basi mungu ni mwanaume.

Bikira Maria alitunga mimba ya Mungu,

Mwanamke hupewa mimba na mwanaume,

Bikira maria ni mwanamke,

Hivyo basi Mungu ni mwanaume.

Biblia ya kizungu inampotaja Mungu humtaja kama he na sio she
Hivyo basi mungu ni mwanaume.

Kama kuna mtu anapinga alete facts
Kwamba Maria alipewa mimba na Mungu!!!?? Hebu kuwa na adabu. Maria alibeba mimba kwa uwezo wa roho mtakatifu (kimiujiza) na hakuna ilipoandikwa alipewa mimba na Mungu.

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Mnasoma biblia kama mnasoma gazeti la udaku,watu tunasomea upadre miaka saba ili kupata uelewa mpana
 
Mnasoma biblia kama mnasoma gazeti la udaku,watu tunasomea upadre miaka saba ili kupata uelewa mpana
Kusoma miaka saba sio kesi tuambie kwanini mungu sio mwanaume kwa hoja bwana paroko
 
Kwamba Maria alipewa mimba na Mungu!!!?? Hebu kuwa na adabu. Maria alibeba mimba kwa uwezo wa roho mtakatifu (kimiujiza) na hakuna ilipoandikwa alipewa mimba na Mungu.

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Basi baba yake na yesu ni nani? Mungu au roho mtakatifu ? Tuambie
 
Ktk uumbaji tunaambiwa Mungu alimuumba mwana adamu kwa mfano wqke, mtu wa kwanza kuumbwa ni adamu (mwanaume) kisha mbeleni huko akaumbwa hawa baada ya adam kuwa mpweke,
Tena alikuwa mtanganyika, sijui kwanini hili hawataki kuliandika
 
Back
Top Bottom