Uthibitisho: Mwigulu Nchemba ni majina bandia ila vyeti ni vya kweli

Mwigulu nahis ni jina la Kisukuma maana yake Mbinguni sjui labda kweli alinunua hizo ng'ombe maana miaka ya nyuma wasukuma walithaminisha mifugo kuliko ELIMU.
 
Sijawahi kua na mashaka na mwiguli, alisoma na jamaa yangu akawa anasema alikua anapita ananyoosha vidole 3 juu akimaanisha div 1.3 form 6 ila bahati mbaya alipata II.10.
Ndo uwezo wake sio bahat mbaya.
I ya point 3 mchezo?
 
Mbona bashite mtoto wa juzi tu katumia jina sio lake ni vyeti vya miaka ya juzi tu[emoji196]
 
Ametumia jina sio lake
Jina ni lake kabisa maana alipewa hospitali, kwa vile hakuna majina yake aliyopewa alipozaliwa, wala hakuna majina ya wazazi wake, then ni majina yake aliyopewa, ila majina bandia ya kupewa tuu, hivyo sii kweli kuwa sii majina yake, ni yake ila bandia. Hata haya majina mengine yote tunayotumia, ni majina ya watu ambaoyo nasi tulipewa tuu kama na yeye alivyopewa!.

P
 

kwa mawazo yangu bado mm sioni tatizo mtu kutumia majina ya kupewa na mtu mwingine.zamani ilikuwa kawaida tu labda baba au mama wana urafiki na mtu wa kabila jingine wakaamua kuwapa majina ya watoto wao kutokana na ukaribu wao.
mtu mwingine anaamua tu hataki kutumia majina ya kikristo kama akina ngugi wa thiongo hivyo mm sitetei lakini sioni tabu kutumia majina mengine ilimradi tu yasiwe ya mtu yeyote yule bali yameumbwa tu kwa mila na desturi ya makabila fulani na yawe yanamainisha kumbukumbu fulani ktk jamii.
 
Pasco unasumbuka na watanzania wanadhani majina ni big deal. U k watu wanabadilisha majina bila hata figisufigisu kuna jamaa mzimbabwe rafiki yanguvkishabadilisha mara tatu. Na kila akibadilisha anapeleka application kubadilisha leseni yake passport na bank account. Kutoka Tongai Mchekesi mpaka kuitwa Tony Makenzie na sasa karudi na jina jingine Makoni. Kinachotakiwa ni kujaza fomu halali za kufanya hivyo na zi idhinishwe job done. Na hiyo form inaitwa Deed poll unaweza kufanya hata online
 
Paskali, bila shaka ulisoma HGL kidato cha tano na Sita....Hapa umeandika ukichanganya Kiswahili na Kiingereza. Una maana gani hapo nNILIPOWEKA RANGI? FAST Name....SIR Name. Kama naelekea kukuelewa, una maaanisha FISRT Name na SURNAME?
 
Na kuhusu Makonda je?
 
Na kuhusu Makonda je?
Alizaliwa DAB, akazungusha, akafoji vyeti vya Paul Christian, ila darasani aliingia yeye, kusoma alisoma yeye, na kuhitimu alihitimu yeye, huyu amefoji jina, na kufoji vyeti, lakini shahada zake zote ni za halali, alipomaliza kuhitimu, akaenda kuapa, kuhalalisha hilo jina, hivyo sasa as we speak, haya ni majina yake halali na vyeti vyake halali.

P.
 
Kuapa Kwa jina bandia ni kosa la kisheria! Sema sheria za bongo zina macho! Zinaona ni nani wa kukomalia na ni nani wa kupotezea!
 
Hicho cha f4? Kama sio chake hiyo ni nini?
 
Hicho cha f4? Kama sio chake hiyo ni nini?
The end always justify the means, ukiweza kufoji jina na cheti, ukaingia chuo kikuu, ukasoma, ukahitimu, then aliyesoma ni wewe na shahada yako ni halali, hata kama mwanzo ulifeli, justification ya kuhitimu chuo kikuu ni kupasi UE na sio uliingiaje, ndio maana hata mtu wa darasa la saba, anaweza kusoma chuo kikuu bila kusoma sekondari.

P
 
Dar mnavyo tumia nguvu nyingi kuwatetea ila mjue Mungu anawaona, nikumbuka figisufigisu za mwigulu wakati sijui katibu mwenezi ni lazima kwenye marudio ya uchaguzi afe mtu, sasa ndio awe rais, nazani sizonje atakuwa cha mtoto, nyie endeleeni kuwafagilia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…