Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kisayansi

Yes naamini. Ila imani hii huwez kufananisha na ya dini. Maana kama kutakua na observation nyingine zlizofanywa ikaonekana kuna hoja nyingine yenye mashiko basi ntaamin hio
Ndugu yangu sidhani kama science unaielewa vizuri.
Hebu nikusaidie kitu kimoja ambacho ukikielewa hutaweza hata kuwa na Tatizo na mtu.
1. Science inatafuta kujibu maswali ya How but not Why questions.

2. Dini inatafuta kujibu maswali ya why but not How questions.

Ukizijua hizi tofauti hutakuwa na shida. Religion inaleta utatuzi wa Moral lakini science haihusiani na hicho.

Ni lazima to apliciate each other.
Nimejaribu kufuatilia comments zako kuona unatuletea solutions lakini nimeambulia malalamiko ukiwalalamikia wengine.

Kama wao wanaamini hivyo kinachokuuma nini? Maana wewe hujaleta mtazamo tofauti ili waufuate. Zaidi sana na wewe umeleta imani nyingine.
 
Mkuu,huu ni mjadili na mimi nimeweka ty tone la hoja.Mimi binafsi sitafuta uthibitisho wa kuwepo au kutokuwepo kwa Mungu maana najua kwamba gap ya knowledge iliyopo kati yangu n aliyeniumba ni kubwa sana.So hua nonaga huu mjadala kama mjadala tata kama vile lilivyo hili swali linahusu Uwezo wa Mungu ambalo linauliza hivi "Je Mungu anaweza Kila KITU(Muweza yote/Omnipotent)?Je anaweza kuumba Jiwe ambalo hawezi kulibeba?
Hili na maswali kama haya yanaonesha jinsi ambavyo Upeowa mwanadamu ulivyo mfupi.
 
Tatizo linakuja katika uelewa tu. Tunataka kuelewa mambo kulingana na matukio tunayoyaona.

Hii idea ya kuumba na kuumbwa ndiyo inayoleta haya yote kiasi cha kufikiria Mungu kuumba jiwe zito asiloliweza kulibeba.

Lakini tungeanza kwanza kwa kufikiria kuwa energy as the thing control our universe tungeanza kubadili namna ya kuwaza na kuondokana na mawazo ya kuumba na kuumbwa.

Inabidi tuanze kujifunza how energy involved in moral things ndipo hapo tutaanza kuelewa how existence is.

Siwapingi wanaoamini uumbaji, lakini tunatakiwa kufanya modification kidogo kutokana na mabadiliko ya science and technology ili kuweza kukaribiana na uhalisia.

Asante.
 
Wewe ni determinist. Mimi naamini ulimwengu unaweza kusomeka na kueleweka but with time. Mambo mengi ya ajabu ya ulimwengu huu ambayo hatukuyajua zamani sasa yanajulikana vizuri. Ipo siku yote yanayotufumba leo yatakuwa wazi.
 
Wewe ni determinist. Mimi naamini ulimwengu unaweza kusomeka na kueleweka but with time. Mambo mengi ya ajabu ya ulimwengu huu ambayo hatukuyajua zamani sasa yanajulikana vizuri. Ipo siku yote yanayotufumba leo yatakuwa wazi.
Soma vizuri mimi sio atheist wala determinist.

Falsafa ya ukana Mungu inajifunga kimwili (physically deterministic) na inajiua yenyewe (self-destructive).

Yoyote anayosema mkana Mungu ni kama mauzauza kutoka kwenye komputya isiyo na programu.

Ukipata muda soma👇🏾

 

Dini haifanyi utafiti wowote blaza... sanasana dini ipo kwaajili ya kutishia watu. Utaskia usipofanya hiki utachomwa moto.. bs[emoji706]

Mfano mm nilipokua darasa la saba chalii mmoja wa kiislam tulikua tunasoma nae alikua anatupanga kua ukichana quran unageuka kua panya. Sasa mm nikaona ni too much uongo kwahy kumuhakikishia kua ni uongo, nikachana...

Ila kumbe alikua sahihi, nikageuka kua panya;



Lol
 
Ndo ujue Mitochondria haikuwa part ya seli kama inavyoonekana leo ilikuwa niseparate cell.
ndo ujue hakuna kiumbwe kilumbwa hapa duniani.

Kama ilivyo cell haikuundwa na muunganiko wa seli zaidi ya moja ndio zikaundwa organ.
Auhitaji kuwa mwenye akili kulijua hili.
 
Mkuu kuanzia leo, utakuwa mmoja ya watu ninao waheshimu humu, upo vizuri na knowledge ya kutosha
 
Hayo ni Maneno tu, bila uthibitisho wowote.

Unaweza kuthibitisha kwamba mitochondria haikua part ya cell?


Unaweza kuthibitisha, hakuna kiumbe kiliumbwa hapa duniani?


Au Umeamini tu.
 
Hayo ni Maneno tu, bila uthibitisho wowote.

Unaweza kuthibitisha kwamba mitochondria haikua part ya cell?


Unaweza kuthibitisha, hakuna kiumbe kiliumbwa hapa duniani?


Au Umeamini tu.
Nipe sifa za seli?
Kwa nini unadhani MItochondria ni sehemu ya seli?
Wadhani kwa nini wataalamu wansema sio sehemu ya seli hapo kabla?
 
Creation story from a lab scientist 😂. Tell me how faith doesn't work to accept this
 
Hayo ni Maneno tu, bila uthibitisho wowote.

Unaweza kuthibitisha kwamba mitochondria haikua part ya cell?


Unaweza kuthibitisha, hakuna kiumbe kiliumbwa hapa duniani?


Au Umeamini tu.
Life probably didn't start as a single cell. Bali millions/billions of cells being formed at the same time. Unaweza kutengeneza cell kutoka kwa non living matter kwa ku dry-heat amino acids kutengeneza proteins. In nature, hii probably ilitengenezwa na jua ktk vidimbwi vdg vdg vya fukwe za vyanzo vya maji (tidal pools)... cell zinatengenezeka kutokana na hizo proteins. Sasa hizi seli ambazo zina ukubwa takriban ukubwa wa bacteria, zinaweza kumetabolize, kurespond ktk stimuli na kuzaliana. At this point hizi seli unaweza kuhesabu kua zina uhai tayar.

Hii inaweza kua proved hata lab... [emoji854]
 
Nipe sifa za seli?
Kwa nini unadhani MItochondria ni sehemu ya seli?
Wadhani kwa nini wataalamu wansema sio sehemu ya seli hapo kabla?
Nimekuomba uthibitisho, bado hujatoa Mkuu.

Ipo hivi, Hao wataalamu wenyewe walio propose hiyo theory wanasema.."It's believed that Billions of years ago.........."

Kitu ambacho kinamaanisha sio kwamba ni fact 100% bali wao wanaamini hivyo.


So, kama una uthibitisho wa Imani yako kwamba Billions of years ago Mitochondria haikua part of cell tunaomba utuletee.


Ahsante.
 
Una uthibitisho kwamba miaka Billions iliyopita, Mitochondria haikua sehemu ya seli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…