Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kisayansi

Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kisayansi

Dah!! Ndugu yangu. Kwanza kabisa unanilisha maneno ambayo sijaandika. Katika comments zangu hakuna sehemu nilitamka kuhusu kuumbwa. Tafuta, hakuna.

Pili nimekuwekea criticisms 7 umeamua kuchagua hizo na kuzijibu kwa juu juu tu.
Lakini zile za msingi kabisa umeziruka.
Hebu nakuomba utueleze how does life originated from this theory you claim to be true.

Halafu mzee wangu unajichanganya sana. Umekubali kuwa theory is just an idea na siyo uhalisia inatakiwa ifuatiliwe na tuweze prove.

Tangu bwana Darwin aitamke theory hii imebaki kuwa theory miaka na miaka. Huoni kuwa hii nayo ni aina ya imani kama imani zingine?

Hakuna experiment yoyote imefanywa kuonesha virus anabadilika kuwa multicellular.
Theory ya Darwin ndio ina mashiko zaid kwasababu ndio imejibu maswali mengi zaidi. Kaa ukijua kua kuna theories nyingi tu ziliibuliwa na watu ila ya Darwin ndio imeshikiliwa...

Na kuhusu virus kua multicellular? [emoji848].. sjaskia hio. Ila life tunaamin kua ilianza kama single cell. Maana ndio kitu pekee tunaweza kufikiria. Hakuna namna vitu vyote vilitokea kwa wakat mmoja...
 
Tunaangalia fossils. Hatusemi tu kiumbe flan hakua hivi blindly. Viumbe kama papa na mamba wao wako unchanged kwa kipindi kirefu sana... ila viumbe wengi wamebadilika sana... mtu hakuamka tu skumoja na kusema haya. Bali walisema baada ya kuona fossils
Halafu ndugu yangu wa evolution, hata tukikubali kuwa viumbe hai vilitokana na supu ya molecules ambazo zilifanya reactions na tukapata RNA. Sote tunajua ili chemical reaction itokee lazima energy itumike.

Hebu sasa tuongee kama wasomi. Hiyo energy iliyofanya chemical reaction ikatokea ilitoka wapi?
 
Halafu ndugu yangu wa evolution, hata tukikubali kuwa viumbe hai vilitokana na supu ya molecules ambazo zilifanya reactions na tukapata RNA. Sote tunajua ili chemical reaction itokee lazima energy itumike.

Hebu sasa tuongee kama wasomi. Hiyo energy iliyofanya chemical reaction ikatokea ilitoka wapi?
Ilikuepo tu. [emoji2377]
It just existed... the universe is full of unlimited energy
 
Sjasema virus kabadilika kua multicellular. Soma tena
Ndugu yangu evolution theory imeanzia huko. Imeanzia kwenye RNA na DNA kisha tukapata viumbe wote hawa.

Sasa unapoongelea fossils unaongelea multicellular. Ombi langu ni kwamba tuone experiments zinazochange single cell organisms kuwa multicellular organisms.

Kama hakuna practical proof ya hiki, basi evolution theory ni kama imani zingine tu.
 
Ndugu yangu evolution theory imeanzia huko. Imeanzia kwenye RNA na DNA kisha tukapata viumbe wote hawa.

Sasa unapoongelea fossils unaongelea multicellular. Ombi langu ni kwamba tuone experiments zinazochange singe cell organisms kuwa multicellular organisms.

Kama hakuna practical proof ya hiki, basi evolution theory ni kama imani zingine tu.
Oh... skuwazo kiivo kuhusu virus.

Hatuwez kupata experiment ya ivo vitu juu ya kua vimetokea kitambo sana na si rahisi fossils kua zmekua preserved [emoji2377]
 
Oh... skuwazo kiivo kuhusu virus.

Hatuwez kupata experiment ya ivo vitu juu ya kua vimetokea kitambo sana na si rahisi fossils kua zmekua preserved [emoji2377]
Sasa proof ya kisayansi kuhusu theory ya bwana Darwin ipo wapi. How can we prove that we evolved from single cell organisms like virus?
Je tunatakiwa tuamini hivyo bila proof?
 
Yeye yupo na Imani yake halafu anawakataza wengine kuamini kupitia imani zao. Inashangaza sana.
Sijakataza. Nimepinga tu imani yenu ya kuamini blindly...
Sayansi sio exactly imani kwasababu inaweza kua changed ukija na data zako zinazoshawishi. Na science isn't the answer bali science ipo kwaajili ya kutafuta answers... ivo haiwez kua imani kama ilivo imani ya dini zenu
 
Sasa proof ya kisayansi kuhusu theory ya bwana Darwin ipo wapi. How can we prove that we evolved from single cell organisms like virus?
Je tunatakiwa tuamini hivyo bila proof?
Natural selection inayo proof bro. Kama nilivotoa mfano wa tembo hapo mahala..
 
Yep. Since the big bang.
Au since the beginning of the universe.
😭 😭 😭 😭 Basi Hiyo energy iliyokuwepo tu milele bila source kwanini inakufanya uwakatalie wenzako kuhusu Mungu ambaye na yeye hana source!?
What if the thing you believe in science is the same thing in religion?
 
Sijakataza. Nimepinga tu imani yenu ya kuamini blindly...
Sayansi sio exactly imani kwasababu inaweza kua changed ukija na data zako zinazoshawishi. Na science isn't the answer bali science ipo kwaajili ya kutafuta answers... ivo haiwez kua imani kama ilivo imani ya dini zenu
Kwanza nimekueleza mimi sina imani inayofanana na mwingine. Tatizo ni wewe unawakatalia wenzako huku na wewe blindly unamwamini bwana Darwin.
Hujaonesha proof yoyote kuhusu single cell kuwa Multicellular. So wewe nawe unaamini.
 
Sijakataza. Nimepinga tu imani yenu ya kuamini blindly...
Sayansi sio exactly imani kwasababu inaweza kua changed ukija na data zako zinazoshawishi. Na science isn't the answer bali science ipo kwaajili ya kutafuta answers... ivo haiwez kua imani kama ilivo imani ya dini zenu
Mkuu, hakuna Mtu anaeamini blindly kila mtu anatumia akili kudadisi.... kuamini blindly ni matumizi mabaya ya akili tuliyopewa.


Japo ndiyo kuna sehemu akili inafikiria mpaka inakosa majibu.
 
[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] Basi Hiyo energy iliyokuwepo tu milele bila source kwanini inakufanya uwakatalie wenzako kuhusu Mungu ambaye na yeye hana source!?
What if the thing you believe in science is the same thing in religion?
Sehem ninayo pinga kuhusu mungu ni kua yeye hajaumba kiumbe yeyote yule. Na uumbaji kama unavoelezewa kwenye quran au biblia ni uongo. Na yeye sio anaeshusha mvua, sio anaenipa oxygen ya kupumua, sio anaelisha ndege, sio alieamua nizaliwe na sio atakaeamua nife.
 
Kwanza nimekueleza mimi sina imani inayofanana na mwingine. Tatizo ni wewe unawakatalia wenzako huku na wewe blindly unamwamini bwana Darwin.
Hujaonesha proof yoyote kuhusu single cell kuwa Multicellular. So wewe nawe unaamini.
Yes naamini. Ila imani hii huwez kufananisha na ya dini. Maana kama kutakua na observation nyingine zlizofanywa ikaonekana kuna hoja nyingine yenye mashiko basi ntaamin hio
 
Siku hizi hatufanyi scientific proof kupitia experiments?
Experiments za natural selection ndio kama izo nilizotaja mwanzon kua tumepata breed mbalimbali za wanyama mfn kuku broiler etc... [emoji2377]
Tofaut tu hapa hii moja inatokea naturally, hence it's name 'natural selection' na hii nyingine ni artificial modification ya genes hence it's name, 'genetic engineering'. Ila zote ni evolution.
 
Back
Top Bottom