Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
- Thread starter
-
- #41
Lets say mimi sijui,Nipatie jibu. Where does energy come from?
hakuna sayansi ya hivyo..sayansi ya quantum physics ni kuwa ndani ya atom kuna protons,electrons,neutrons… ndani ya nucleons(protons na neutrons) kuna Quarks ambazo zina property inaitwa colour ambayo inaweza kufeel strong nuclear force kupitia exchange ya gluons.ndani ya Atom kuna particle zipo ambazo ndani yake kuna energy.
Lakini utakapoenda ndani zaidi utakutana na vibration (Frequencies) ya very small particles.
Sasa ukienda zaidi kufanya utafiti hizo simall particles zimeundwa na nini. Jibu utapata void
Sipendi mtu anayeandika uongo kwa hisia yake.Lets say mimi sijui,
Still bado hataiprove kuwa energy inatoka kwa Mungu.
Hata wanasayansi wakisema hawajui inatokea wapi,basi wewe unaesema inatoka kwa Mungu unatakiwa uweke scientific evidence kuwa inatoka kwa ‘mungu’…maana kama utaishia kusema inatoka kwa Mungu bila kuweka huo ushahidi hautatofautiana na yule atakayesema inatoka kwa Mke wangu
That being said, hiyo sayansi ya kusema
hakuna sayansi ya hivyo..sayansi ya quantum physics ni kuwa ndani ya atom kuna protons,electrons,neutrons… ndani ya nucleons(protons na neutrons) kuna Quarks ambazo zina property inaitwa colour ambayo inaweza kufeel strong nuclear force kupitia exchange ya gluons.
Kwahyo nucleus ya atom iko bonded na strong nuclear force ambayo inaweza kuzivuta zile quarks zilizo ndani ya nucleons (protons na neutrons)
Hizi electrons zinazunguka nucleus kwaajili ya property ya charge ambayo huzua electromagnetic force kwasababu electrons ni -ve charge na nucleus ni +ve charge…what about Energy?
Energy kwa lugha rahisi unaweza kuichukulia ni kama property ambayo particle yoyote yenye mass ikiwa kwenye motion inayo(Kinetic energy) au hata kama haipo kwenye motion basi kuna potential ya hiyo motion kutokea (potential energy)
Mfano ili upande mlima na gari lako inabidi utumie energy ya mafuta(P.E) ili ufanye kazi against gravity,lakini ukifika juu ya mlima unakuwa na potential energy ambayo itakusaidia kusereleka mlima bila kutumia mafuta,Hapo ni potential energy ya mafuta ilikuwa converted kuwa KE ya gari ikawa converted P.E gari ilipofika juu na ikageuka kuwa K.E tena gari liliposereleka.
Kwahyo kwenye atoms energy iliyopo ni Kinetic kutokana na motion ya electrons with charge(tunapata Electric energy,Electromagnetic energy) au Potential energy kutokana na bonds zilizopo kati ya atoms(Chemical energy) au bonds zilizoiunganisha Nucleus ya atom by strong nuclear force(Nuclear energy).
Hizi energy unaweza kuzibadilisha kutoka mfumo mmoja kwenda mwingine mfano kupitia nuclear fission unaibadilisha Potential energy iliyopo kwenye bonds za nucleus kuwa kinetic energy ambayo ni sawa na E=mc2 ambapo E ni energy,M ni mass ya hiyo particle (proton/neutron) na C ni velocity…hii inaendana na equation ya KE=1/2mv2
Kwahyo tumeshaona kuwa energy haitokani na void kama ulivyosema bali inatokana na motion au potential ya kuwepo kwa motion….na wala hakuna vibration ya particles,ukisikia frequency kwenye quantum physics usichukulie kuna vibration ya particles..huku particles hazivibrate lakini zipo distributed kwa probabilities(Heisenberg uncertainty) na wave nature ya hizi subatomic particle haitokani na vibration lakini inatokana na probability kwenye position na motion ya subatomic particles.
Lakini apo nimekuelezea tu energy ni nini bado sijajibu imetoka wapi.
Tunaweza kuitrace yote kuwa ilitokea mwanzon mwa ulimwengu kabisa kwenye big bang…
Mfano energy ya farasi ilitoka kwa nishati ya kemikali(Potential energy)ambayo ilihifadhiwa katika molekuli za chakula alichokula. Nishati hiyo ya kemikali iliingia kwa farasi ambaye alikula na kumeng'enya mmea na kuvunja bonds katika molekuli zake. Mmea huo ulitengeneza hizo molecules kwa kutumia nishati ya mwanga kutoka kwa Jua(photosynthesis)…Energy ya Jua ilitoka kwa elektrons katika atomi zake zinazopunguza hali ya nishati, na kutoa nishati. light energy from the sun inatokana na electrons in its atoms lowering energy states(loosing potential energy), and releasing energy(kinetic energy in form of radiation). The energy in the atoms came from the nuclear reactions in the heart of the Sun. What started the nuclear reactions? the Big Bang did..
Now kama unataka kumuinsert huyo Mungu hapo labda useme yeye ndo aliitengeneza big bang,ambapo itakuwa ni kurudisha tu magoli nyuma maana hata wanasayansi wakigundua source ya big bang ambayo sio mungu bado mtasema nayo hiyo ilitokea kwa Mungu.
So the burden of proof ipo kwako unayeamini Mungu na wala sio kwa scientists.
Also kuhusu quarks. Mzee nikikuuliza what made quarks utabaki tu kugusa hapa na pale.Lets say mimi sijui,
Still bado hataiprove kuwa energy inatoka kwa Mungu.
Hata wanasayansi wakisema hawajui inatokea wapi,basi wewe unaesema inatoka kwa Mungu unatakiwa uweke scientific evidence kuwa inatoka kwa ‘mungu’…maana kama utaishia kusema inatoka kwa Mungu bila kuweka huo ushahidi hautatofautiana na yule atakayesema inatoka kwa Mke wangu
That being said, hiyo sayansi ya kusema
hakuna sayansi ya hivyo..sayansi ya quantum physics ni kuwa ndani ya atom kuna protons,electrons,neutrons… ndani ya nucleons(protons na neutrons) kuna Quarks ambazo zina property inaitwa colour ambayo inaweza kufeel strong nuclear force kupitia exchange ya gluons.
Kwahyo nucleus ya atom iko bonded na strong nuclear force ambayo inaweza kuzivuta zile quarks zilizo ndani ya nucleons (protons na neutrons)
Hizi electrons zinazunguka nucleus kwaajili ya property ya charge ambayo huzua electromagnetic force kwasababu electrons ni -ve charge na nucleus ni +ve charge…what about Energy?
Energy kwa lugha rahisi unaweza kuichukulia ni kama property ambayo particle yoyote yenye mass ikiwa kwenye motion inayo(Kinetic energy) au hata kama haipo kwenye motion basi kuna potential ya hiyo motion kutokea (potential energy)
Mfano ili upande mlima na gari lako inabidi utumie energy ya mafuta(P.E) ili ufanye kazi against gravity,lakini ukifika juu ya mlima unakuwa na potential energy ambayo itakusaidia kusereleka mlima bila kutumia mafuta,Hapo ni potential energy ya mafuta ilikuwa converted kuwa KE ya gari ikawa converted P.E gari ilipofika juu na ikageuka kuwa K.E tena gari liliposereleka.
Kwahyo kwenye atoms energy iliyopo ni Kinetic kutokana na motion ya electrons with charge(tunapata Electric energy,Electromagnetic energy) au Potential energy kutokana na bonds zilizopo kati ya atoms(Chemical energy) au bonds zilizoiunganisha Nucleus ya atom by strong nuclear force(Nuclear energy).
Hizi energy unaweza kuzibadilisha kutoka mfumo mmoja kwenda mwingine mfano kupitia nuclear fission unaibadilisha Potential energy iliyopo kwenye bonds za nucleus kuwa kinetic energy ambayo ni sawa na E=mc2 ambapo E ni energy,M ni mass ya hiyo particle (proton/neutron) na C ni velocity…hii inaendana na equation ya KE=1/2mv2
Kwahyo tumeshaona kuwa energy haitokani na void kama ulivyosema bali inatokana na motion au potential ya kuwepo kwa motion….na wala hakuna vibration ya particles,ukisikia frequency kwenye quantum physics usichukulie kuna vibration ya particles..huku particles hazivibrate lakini zipo distributed kwa probabilities(Heisenberg uncertainty) na wave nature ya hizi subatomic particle haitokani na vibration lakini inatokana na probability kwenye position na motion ya subatomic particles.
Lakini apo nimekuelezea tu energy ni nini bado sijajibu imetoka wapi.
Tunaweza kuitrace yote kuwa ilitokea mwanzon mwa ulimwengu kabisa kwenye big bang…
Mfano energy ya farasi ilitoka kwa nishati ya kemikali(Potential energy)ambayo ilihifadhiwa katika molekuli za chakula alichokula. Nishati hiyo ya kemikali iliingia kwa farasi ambaye alikula na kumeng'enya mmea na kuvunja bonds katika molekuli zake. Mmea huo ulitengeneza hizo molecules kwa kutumia nishati ya mwanga kutoka kwa Jua(photosynthesis)…Energy ya Jua ilitoka kwa elektrons katika atomi zake zinazopunguza hali ya nishati, na kutoa nishati. light energy from the sun inatokana na electrons in its atoms lowering energy states(loosing potential energy), and releasing energy(kinetic energy in form of radiation). The energy in the atoms came from the nuclear reactions in the heart of the Sun. What started the nuclear reactions? the Big Bang did..
Now kama unataka kumuinsert huyo Mungu hapo labda useme yeye ndo aliitengeneza big bang,ambapo itakuwa ni kurudisha tu magoli nyuma maana hata wanasayansi wakigundua source ya big bang ambayo sio mungu bado mtasema nayo hiyo ilitokea kwa Mungu.
So the burden of proof ipo kwako unayeamini Mungu na wala sio kwa scientists.
Nani kasema mwili umetoka from nowhere??? Kuna concept inaitwa evolution,you should chek into it.View attachment 2603202
Mkuu, Human being is a work of art& engineering.... Yani Mtu alivyo tu inaonyesha kuna ufundi ambao umefanya mpaka ukaona mifumo yote kwenye mwili wa binadamu kuanzia:-
1. Respiratory system
2. Digestive system,
3. Circulatory System
4. Nervous System
5. Endocrine system
6. Muscular system
7. Skeletal system
8. Immune system
9. Urinary system
10. Reproductive system.
Yani, Ingetosha kabisa kuangalia mwili wako na jinsi unavyofanya kazi kujua kwamba kuna DESIGNER aliyeweka mifumo yote hiyo., Au kama unahisi mwili wa binadamu na jinsi unavyofanya kazi umejitokeza tu from nowhere, let's conclude that hata robots tunazoziona zimejitokeza tu from nowhere..... Does it make sense?
Sasa kama energy haitoki kwa mungu,mungu ameingiaje kwenye hii mada?Sipendi mtu anayeandika uongo kwa hisia yake.
Wapi nimesema Energy inatoka kwa Mungu.
Rekebisha kwanza hiyo sentence ndio niweze kusoma maelezo mengine.
Soma comments zangu zote. Hakuna sehemu nimesema energy inatoka kwa Mungu.
Hizo system hata Mbuzi anazoView attachment 2603202
Mkuu, Human being is a work of art& engineering.... Yani Mtu alivyo tu inaonyesha kuna ufundi ambao umefanya mpaka ukaona mifumo yote kwenye mwili wa binadamu kuanzia:-
1. Respiratory system
2. Digestive system,
3. Circulatory System
4. Nervous System
5. Endocrine system
6. Muscular system
7. Skeletal system
8. Immune system
9. Urinary system
10. Reproductive system.
Yani, Ingetosha kabisa kuangalia mwili wako na jinsi unavyofanya kazi kujua kwamba kuna DESIGNER aliyeweka mifumo yote hiyo., Au kama unahisi mwili wa binadamu na jinsi unavyofanya kazi umejitokeza tu from nowhere, let's conclude that hata robots tunazoziona zimejitokeza tu from nowhere..... Does it make sense?
Ulichoandika kwenyepost hakihusiani na string theory wala bigbang wala singularity…umeandika doctrines za watu wa yoga.Also kuhusu quarks. Mzee nikikuuliza what made quarks utabaki tu kugusa hapa na pale.
Ndio maana nikaeleza kuwa unatakiwa usome string theory. Halafu ukielewa theory ya big bang and singularity. Hapo utaanza kunielewa.
Hapa naongea advanced understanding of the universe na theories zilizopo sasa.
Soma mzee nilichokiandika. Usinilishe kitu ambacho sijasema. Ubaya husomi. Na vitu vyote nimevieleza hapo mwanzo.Sasa kama energy haitoki kwa mungu,mungu ameingiaje kwenye hii mada?
Evolution Theory Haisemi chochote kuhusu Origin ya Mtu (yaani out of nothing mtu alitokea wapi)Nani kasema mwili umetoka from nowhere??? Kuna concept inaitwa evolution,you should chek into it.
Lakini hata kama tukikubali kuna designer,unaweza kuweka ushahidi wa kisayansi kuwa huyo designer ni Mungu?
ila Mungu yeye ndio amezuka tu na hana Chanzo sindio mkuu?Hakuna kitu kinachojizukia tu bila ya kuwa na chanzo chake......
#YetzerHatov
#ShavuaTov
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Wapi nimeandika theory za yoga? Unalazimisha niseme kitu unachofikiria wewe.Ulichoandika kwenyepost hakihusiani na string theory wala bigbang wala singularity…umeandika doctrines za watu wa yoga.
String theory is not yet to be proven,its a work in progress hatuwezi kuichukulia kama basis ya kuprove au kudisprove anything.
Unataka kusema God= Nishati(Energy)?Soma mzee nilichokiandika. Usinilishe kitu ambacho sijasema. Ubaya husomi. Na vitu vyote nimevieleza hapo mwanzo.
Also nikaeleza kuwa kwa mujibu wa Imani Mungu yupo mahali popote. Nikaeleza vivyo hivyo energy ipo kwenye all objects.
Sasa mpaka hapo hujang'amua tu kitu ninachokiongelea?
God cannot be created or destroyed. Also Law of conservation of energy inasema vivyo hivyo.
Sasa hapa bado sijaeleweka?
Ungetumia akili yako vizuri, ungejiuliza hivi...... Huyu Mbuzi hizi System zilizopo kwenye mwili wake imekuaje zikawa hivi?Hizo system hata Mbuzi anazo
Ni kipi special kwa binadamu?
Sasa hii ndiyo open discussion nataka tuweze kujadili.Unataka kusema God= Nishati(Energy)?
Kwajinsi Mungu alivyo wa ajabu utaona hata uzi haujadiliki vilivyo ka wakati wa ujenzi wa mnara wa babeliNawasalimia wana JF wote.
Leo nitaongelea uthibitisho wa kisayansi uwepo wa Mungu. Na ninapenda tujadili hapa kisayansi zaidi. Pamoja na kuunganisha imani mbalimbali zilizopo.
Sipendi niseme kwamba jina Mungu au neno Mungu ndio sahihi katika kitu ninachotaka kuongelea. Lakini nitaongelea kwamba kuna nguvu ipo ambayo hatuwezi kuielezea kwa namna ya mambo yanayoonekana.
Bila kupoteza muda naanza kama ifuatavyo.
LAW OF CONSERVATION OF ENERGY
states that energy can neither be created nor destroyed - only converted from one form of energy to another.
Kabla ya kuendelea kuongelea Law kwanza tunatakiwa tujiulize energy ni nini?
Energy is the ability to do work - Nishati ni uwezo wa kufanya kazi.
Kaitka vitu vyote vilivyopo ndani yake kunakuwa na Energy. Hata kama kiwe kimetulia.
Mpaka sasa wanasayansi wanajua namna ya kuitumia energy. Lakini kupata kujua energy ni kitu gani bado utafiti unaendelea.
Mwiliunahitaji chakula na ndani ya chakula kuna chemical energy ambayo hutumiwa ndani ya mwili na cells ilikuufanya mwili uweze kufanya kazi. Kazi zote zinazofanyika kwenye mwili energy ndiyo inayafanya zifanyike.
Pasipo energy hata existence ya kitu chochote kisingekuwepo.
Source of Energy
Wale waliosoma Quantum Physics au waliosoma Particle Physics
Hapa utasoma Fundamental particles and force inayohusu matter and radiation.
utakuja kuona ndani ya Atom kuna particle zipo ambazo ndani yake kuna energy.
Lakini utakapoenda ndani zaidi utakutana na vibration (Frequencies) ya very small particles.
Sasa ukienda zaidi kufanya utafiti hizo simall particles zimeundwa na nini. Jibu utapata void
WHAT IS VOID
: opening, gap. : empty space : emptiness, vacuum. : the quality or state of being without something .
Hiyo ndiyo tafsiri ya neno Void.
Je Void inaweza ikatengeneza haya maajabu yote tunayoyaona?
Nuclear Energy, Fossil Energy, Solar Energy, Electric Energy etc? Au kuna The very Powerful Existence iliyo juu ya uwezo wetu?
Basi kwa tafsiri hii naweza nikasema The Powerful Existence Beyond of our thinking which is the source of Energy is so called God or Allah in our understanding.
Hiyo ni Introduction ya thread yangu hii. Nitaendelea kuenda ndani zaidi kwa evidences za kisayansi.....
Binadamu nimechukulia kama mfano,.... Ukitaka tunaweza kuichukulia mfano hata NYUKI 🐝 na designed Systems zilizopo kwenye Mwili wa Nyuki jinsi anavyozalisha asali, jinsi anavyopumua, Jinsi wanavyozaliana n.kHizo system hata Mbuzi anazo
Ni kipi special kwa binadamu?
Hiyo void inapatikana sehemu gani baada ya nyuzinyuzi?Asante kwa maelezo yako.
Sasa naomba tuende kisayansi zaidi.
Kweli Law of conservation of energy inasema Energy does not be created nor destroyed.
Tunajua definition ya energy kutokana na matokeo inayofanya. Lakini Energy it self hatuijui.
Vilevile nikatoa maelezo kuwa all objects in the universe has Energy.
Niliendelea kueleza kuwa energy imehifadhiwa wapi sasa kwenye Atom? Nikaongelea Particle Physics nikieleza kuwa siyo kweye Atom yote kunakuwa na Energy but kwenye very small particles. Na ukienda ndani zaidi ya hizo small particles unakutana na vibrations.
Ndio maana kwa sasa wamekuja na theory nyingine inaitwa String Theory. Kutafuta hivyo vibration kitu gani kina vibrant?
Hatimaye utakutana na void (Emptiness). So hapo sasa tuongelee hiyo emptiness ni nini?
So hiyo emptiness inakuja ina comply na imani za dini kwamba there is a strong Existence which we don't know.
Sasa hiyo Existence wengine wataita Mungu, Allah nk.
Ndiyo maana nikakuuliza ueleze how energy became to be kama ilivyo.
Ukitoa maelezo hayo basi utakuwa umetufumbulia fumbo la kutokuwepo Strongest Existence. La sivyo tuendelee kusema kuwa sayansi mpaka leo ina prove existence of so called God.
Void is emptiness, is nothing. Sasa ukianza kusema sehemu gani tayari sasa hiyo siyo nothing tena au emptiness.Hiyo void inapatikana sehemu gani baada ya nyuzinyuzi?