Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kisayansi

Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kisayansi

Je, unajua maana ya energy? Unajua Physics unajua Chemistry? Nisije nikawa tunajadilia na mbingu vs ardhi.

Energy zote unazozijua katika utofauti wake ni vibration rate ya vitu vilevile tu.

Ukiongelea Light unaongelea electromagnetic energy.

What Is Light Energy? Light energy is a kind of kinetic energy with the ability to make types of light visible to human eyes. Light is defined as a form of electromagnetic radiation emitted by hot objects like lasers, bulbs, and the sun. Light contains photons which are minute packets of energy.

Kwahiyo ukisoma Particle Physics utajua maana ya Photons ni nini. Photons

A photon is an elementary particle that is a quantum of the electromagnetic field, including electromagnetic radiation such as light and radio waves, and the force carrier for the electromagnetic force.

Unapoongelea energy your talking about the same thing. Heat energy, Light energy etc are the form of energy.

So nakuomba basi niletee jibu kwamba where does energy come from?
Nuclear fission na fussion ndio energy inakotoka.

When atoms inapomove kutoka higher energy layer to lower energy layer inarelease Energy.

When atoms zinapocollide one another zinarelease Energy.

When atoms inapo undergo decay mfano radioactive isotope basi Ina release energy.

Nadhani Sasa umeshajua energy inatoka wapi na nitarudi energy ni nini?
 
Lets say mimi sijui,
Still bado hataiprove kuwa energy inatoka kwa Mungu.
Hata wanasayansi wakisema hawajui inatokea wapi,basi wewe unaesema inatoka kwa Mungu unatakiwa uweke scientific evidence kuwa inatoka kwa ‘mungu’…maana kama utaishia kusema inatoka kwa Mungu bila kuweka huo ushahidi hautatofautiana na yule atakayesema inatoka kwa Mke wangu

That being said, hiyo sayansi ya kusema

hakuna sayansi ya hivyo..sayansi ya quantum physics ni kuwa ndani ya atom kuna protons,electrons,neutrons… ndani ya nucleons(protons na neutrons) kuna Quarks ambazo zina property inaitwa colour ambayo inaweza kufeel strong nuclear force kupitia exchange ya gluons.
Kwahyo nucleus ya atom iko bonded na strong nuclear force ambayo inaweza kuzivuta zile quarks zilizo ndani ya nucleons (protons na neutrons)

Hizi electrons zinazunguka nucleus kwaajili ya property ya charge ambayo huzua electromagnetic force kwasababu electrons ni -ve charge na nucleus ni +ve charge…what about Energy?
Energy kwa lugha rahisi unaweza kuichukulia ni kama property ambayo particle yoyote yenye mass ikiwa kwenye motion inayo(Kinetic energy) au hata kama haipo kwenye motion basi kuna potential(uwezekano) wa hiyo motion kutokea (potential energy)
Mfano ili upande mlima na gari lako inabidi utumie energy iliyo kwenye chemical bonds za mafuta(P.E) ili ufanye kazi against gravity,lakini ukifika juu ya mlima unakuwa na maximum potential energy due to height ambayo itakusaidia kusereleka mlima bila kutumia mafuta,Hapo ni potential energy ya mafuta ilikuwa converted kuwa KE ya gari ikawa converted kuwa P.E gari ilipofika juu….na ikageuka kuwa K.E tena gari liliposereleka.

Kwahyo kwenye atoms energy iliyopo ni Kinetic kutokana na motion ya electrons with charge(tunapata Electric energy,Electromagnetic energy) au Potential energy kutokana na bonds zilizopo kati ya atoms(Chemical energy) au bonds zilizoiunganisha Nucleus ya atom by strong nuclear force(Nuclear energy).
Hizi bonds (kama ilivyo kwa gari juu ya mlima) zina potential energy maana ukizivunja utatengeneza motion ya hizi particles,,,,kwamfano ukivunja strong nuclear bond inayozishkilia protons na neutrons kwenye nucleus ya atom basi lazima zitaachana kwa speed kali maana protons zote ni +ve charge na hazipend kuwa karibu (like charges repel) lakini zimeshikwa pale na hiyo strong nuclear force

Hizi energy unaweza kuzibadilisha kutoka mfumo mmoja kwenda mwingine mfano kupitia nuclear fission unaibadilisha Potential energy iliyopo kwenye bonds za nucleus kuwa kinetic energy ambayo ni sawa na E=mc2 ambapo E ni energy,M ni mass ya hiyo particle (proton/neutron) na C ni velocity…hii inaendana na equation ya KE=1/2mv2

Kwahyo tumeshaona kuwa energy haitokani na void kama ulivyosema bali inatokana na motion au potential ya kuwepo kwa motion….na wala hakuna vibration ya particles,ukisikia frequency kwenye quantum physics usichukulie kuna vibration ya particles..huku particles hazivibrate lakini zipo distributed kwa probabilities(Heisenberg uncertainty) na wave nature ya hizi subatomic particle haitokani na vibration lakini inatokana na probability kwenye position na motion ya subatomic particles.(somo pana sana hili)

Lakini apo nimekuelezea tu energy ni nini bado sijajibu imetoka wapi.
Tunaweza kuitrace yote kuwa ilitokea mwanzon mwa ulimwengu kabisa kwenye big bang…ambapo hata atoms zote zilitokea huko.

Mfano unapoendesha farasi,energy ya farasi ilitoka kwa nishati ya kemikali(Potential energy)ambayo ilihifadhiwa katika molekular bonds za chakula alichokula. Nishati hiyo ya kemikali iliingia kwa farasi ambaye alikula na kumeng'enya mmea na kuvunja bonds katika molekuli zake. Mmea huo ulitengeneza hizo molecules kwa kutumia nishati ya mwanga kutoka kwa Jua(photosynthesis)…Energy ya Jua ilitoka kwa elektrons katika atoms zake zinazolower energy level, na kurelease energy.

light energy from the sun inatokana na electrons in its atoms lowering energy states(loosing potential energy), and releasing energy(kinetic energy in form of radiation). The energy in the atoms came from the nuclear reactions in the heart of the Sun. What started the nuclear reactions? the Big Bang did..

Now sasa kama unataka kumuinsert huyo Mungu hapo labda useme yeye ndo aliitengeneza big bang,ambapo itakuwa ni kurudisha tu magoli nyuma maana hata wanasayansi wakigundua source ya big bang ambayo sio mungu bado mtasema nayo hiyo ilitokea kwa Mungu.
So the burden of proof ipo kwako unayeamini Mungu na wala sio kwa scientists.
Huwezi kuchunguza nguvu iliyo-above your limit ndiyo maana yeye akaamua kuipatia ukuu wa Mungu....inshort Binaadamu hawezi mchunguza Mungu.
 
Lets say mimi sijui,
Still bado hataiprove kuwa energy inatoka kwa Mungu.
Hata wanasayansi wakisema hawajui inatokea wapi,basi wewe unaesema inatoka kwa Mungu unatakiwa uweke scientific evidence kuwa inatoka kwa ‘mungu’…maana kama utaishia kusema inatoka kwa Mungu bila kuweka huo ushahidi hautatofautiana na yule atakayesema inatoka kwa Mke wangu

That being said, hiyo sayansi ya kusema

hakuna sayansi ya hivyo..sayansi ya quantum physics ni kuwa ndani ya atom kuna protons,electrons,neutrons… ndani ya nucleons(protons na neutrons) kuna Quarks ambazo zina property inaitwa colour ambayo inaweza kufeel strong nuclear force kupitia exchange ya gluons.
Kwahyo nucleus ya atom iko bonded na strong nuclear force ambayo inaweza kuzivuta zile quarks zilizo ndani ya nucleons (protons na neutrons)

Hizi electrons zinazunguka nucleus kwaajili ya property ya charge ambayo huzua electromagnetic force kwasababu electrons ni -ve charge na nucleus ni +ve charge…what about Energy?
Energy kwa lugha rahisi unaweza kuichukulia ni kama property ambayo particle yoyote yenye mass ikiwa kwenye motion inayo(Kinetic energy) au hata kama haipo kwenye motion basi kuna potential(uwezekano) wa hiyo motion kutokea (potential energy)
Mfano ili upande mlima na gari lako inabidi utumie energy iliyo kwenye chemical bonds za mafuta(P.E) ili ufanye kazi against gravity,lakini ukifika juu ya mlima unakuwa na maximum potential energy due to height ambayo itakusaidia kusereleka mlima bila kutumia mafuta,Hapo ni potential energy ya mafuta ilikuwa converted kuwa KE ya gari ikawa converted kuwa P.E gari ilipofika juu….na ikageuka kuwa K.E tena gari liliposereleka.

Kwahyo kwenye atoms energy iliyopo ni Kinetic kutokana na motion ya electrons with charge(tunapata Electric energy,Electromagnetic energy) au Potential energy kutokana na bonds zilizopo kati ya atoms(Chemical energy) au bonds zilizoiunganisha Nucleus ya atom by strong nuclear force(Nuclear energy).
Hizi bonds (kama ilivyo kwa gari juu ya mlima) zina potential energy maana ukizivunja utatengeneza motion ya hizi particles,,,,kwamfano ukivunja strong nuclear bond inayozishkilia protons na neutrons kwenye nucleus ya atom basi lazima zitaachana kwa speed kali maana protons zote ni +ve charge na hazipend kuwa karibu (like charges repel) lakini zimeshikwa pale na hiyo strong nuclear force

Hizi energy unaweza kuzibadilisha kutoka mfumo mmoja kwenda mwingine mfano kupitia nuclear fission unaibadilisha Potential energy iliyopo kwenye bonds za nucleus kuwa kinetic energy ambayo ni sawa na E=mc2 ambapo E ni energy,M ni mass ya hiyo particle (proton/neutron) na C ni velocity…hii inaendana na equation ya KE=1/2mv2

Kwahyo tumeshaona kuwa energy haitokani na void kama ulivyosema bali inatokana na motion au potential ya kuwepo kwa motion….na wala hakuna vibration ya particles,ukisikia frequency kwenye quantum physics usichukulie kuna vibration ya particles..huku particles hazivibrate lakini zipo distributed kwa probabilities(Heisenberg uncertainty) na wave nature ya hizi subatomic particle haitokani na vibration lakini inatokana na probability kwenye position na motion ya subatomic particles.(somo pana sana hili)

Lakini apo nimekuelezea tu energy ni nini bado sijajibu imetoka wapi.
Tunaweza kuitrace yote kuwa ilitokea mwanzon mwa ulimwengu kabisa kwenye big bang…ambapo hata atoms zote zilitokea huko.

Mfano unapoendesha farasi,energy ya farasi ilitoka kwa nishati ya kemikali(Potential energy)ambayo ilihifadhiwa katika molekular bonds za chakula alichokula. Nishati hiyo ya kemikali iliingia kwa farasi ambaye alikula na kumeng'enya mmea na kuvunja bonds katika molekuli zake. Mmea huo ulitengeneza hizo molecules kwa kutumia nishati ya mwanga kutoka kwa Jua(photosynthesis)…Energy ya Jua ilitoka kwa elektrons katika atoms zake zinazolower energy level, na kurelease energy.

light energy from the sun inatokana na electrons in its atoms lowering energy states(loosing potential energy), and releasing energy(kinetic energy in form of radiation). The energy in the atoms came from the nuclear reactions in the heart of the Sun. What started the nuclear reactions? the Big Bang did..

Now sasa kama unataka kumuinsert huyo Mungu hapo labda useme yeye ndo aliitengeneza big bang,ambapo itakuwa ni kurudisha tu magoli nyuma maana hata wanasayansi wakigundua source ya big bang ambayo sio mungu bado mtasema nayo hiyo ilitokea kwa Mungu.
So the burden of proof ipo kwako unayeamini Mungu na wala sio kwa scientists.
Huwezi kuchunguza nguvu iliyo-above your limit ndiyo maana yeye akaamua kuipatia ukuu wa Mungu....inshort Binaadamu hawezi mchunguza Mungu.
 
Ungetumia akili yako vizuri, ungejiuliza hivi...... Huyu Mbuzi hizi System zilizopo kwenye mwili wake imekuaje zikawa hivi?
Ungejiuliza, Je hizi Systems kwenye mwili wa Mbuzi zimekua designed au zimetokea tu from nowhere.

Au Mbuzi alijitengeneza na aka design systems zake mwenyewe?
Labda mkuu niku ulize na wewe swali

Who designed the disigner?

Designer wa hivi vitu na system zilizopo alitoka wapi?

Na huyu designer kabla ya ku design kitu chochote alikuwa wapi?

Huko aliko kuwa ni wapi??
Maana Hakuna kilicho kuwepo kabla yake.!!
 
Labda mkuu niku ulize na wewe swali

Who designed the disigner?

Designer wa hivi vitu na system zilizopo alitoka wapi?

Na huyu designer kabla ya ku design kitu chochote alikuwa wapi?

Huko aliko kuwa ni wapi??
Maana Hakuna kilicho kuwepo kabla yake.!!
Haya maswali hata kwenye science wameshindwa kuyajibu. Haya maswali yapo beyond of our understanding.

Nimejaribu kuweka Big bang theory, utaikuta ipo na mapungufu mengi mno maana inatueleza kuna kipindi kilifika ulimwengu ulianza. Na wanatueleza kuwa huo ulimwengu ukitokana na kitu kinachoitwa singularity.

Sasa ukiuliza where does singularity come from. Science inakaa kimya.

So haya mambo yapo juu sana. Lakini hayatuzuii kuendelea na utafiti.

Asante. Tuendelee kunywa mtori nyama zipo chini.
 
Evolution Theory Haisemi chochote kuhusu Origin ya Mtu (yaani out of nothing mtu alitokea wapi)


Kabla ya kujua Designer ni Mungu au Sio Mungu....,

Inabidi kwanza tujue kama, mfano Mwili wa Mtu na designed systems zote zilizopo kwenye mwili wake zina Designer au hazina? .....(Tuanze na swali hili, na kama unahisi Evolution ndiyo imetengeneza mtu na ika design systems zote zilizopo kwenye mwili wa mtu, upo huru kujibu Kutokana na Evolution Theory)

Then baada ya hapo tutajua kama huyo DESIGNER NI NANI?

Nikukumbushe tu, DESIGNER NI DESIGNER Vyovyote tutakavyoamua kumuita haitoondoa maana kama YEYE NI DESIGNER.
Evolution inaelezea kuanzia unicellular mpaka Multicellular.

Inaelezea mwanzo wa maisha mpaka Homo sapiens.

Labda useme haielezei wapi?
 
So kwa mujibu wa maelezo yako ni kuwa energy=Mungu?

Okay unaweza ukasema hivyo unavyotala lakini haiwezi kumaanisha chochote

Matumizi ya neno Mungu yana imply na being mwenye interest na binadamu.

Na tabia zake ndio kama hizi, mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote, mwenye upendo wote na muumba wa vyote.

Ni Mungu ambaye anauwezo wa kujibu maombi, anayeziongoza nafsi na roho lakini pia mwenye kuwapa nafasi ya kuishi tena (after life)

Na kwasababu umetaja Mungu wa kiislamu na Mungu wa wakristo, basi niambie energy hiyo ina hizo sifa?
Heavy sana bro[emoji119]
 
Lets say mimi sijui,
Still bado hataiprove kuwa energy inatoka kwa Mungu.
Hata wanasayansi wakisema hawajui inatokea wapi,basi wewe unaesema inatoka kwa Mungu unatakiwa uweke scientific evidence kuwa inatoka kwa ‘mungu’…maana kama utaishia kusema inatoka kwa Mungu bila kuweka huo ushahidi hautatofautiana na yule atakayesema inatoka kwa Mke wangu

That being said, hiyo sayansi ya kusema

hakuna sayansi ya hivyo..sayansi ya quantum physics ni kuwa ndani ya atom kuna protons,electrons,neutrons… ndani ya nucleons(protons na neutrons) kuna Quarks ambazo zina property inaitwa colour ambayo inaweza kufeel strong nuclear force kupitia exchange ya gluons.
Kwahyo nucleus ya atom iko bonded na strong nuclear force ambayo inaweza kuzivuta zile quarks zilizo ndani ya nucleons (protons na neutrons)

Hizi electrons zinazunguka nucleus kwaajili ya property ya charge ambayo huzua electromagnetic force kwasababu electrons ni -ve charge na nucleus ni +ve charge…what about Energy?
Energy kwa lugha rahisi unaweza kuichukulia ni kama property ambayo particle yoyote yenye mass ikiwa kwenye motion inayo(Kinetic energy) au hata kama haipo kwenye motion basi kuna potential(uwezekano) wa hiyo motion kutokea (potential energy)
Mfano ili upande mlima na gari lako inabidi utumie energy iliyo kwenye chemical bonds za mafuta(P.E) ili ufanye kazi against gravity,lakini ukifika juu ya mlima unakuwa na maximum potential energy due to height ambayo itakusaidia kusereleka mlima bila kutumia mafuta,Hapo ni potential energy ya mafuta ilikuwa converted kuwa KE ya gari ikawa converted kuwa P.E gari ilipofika juu….na ikageuka kuwa K.E tena gari liliposereleka.

Kwahyo kwenye atoms energy iliyopo ni Kinetic kutokana na motion ya electrons with charge(tunapata Electric energy,Electromagnetic energy) au Potential energy kutokana na bonds zilizopo kati ya atoms(Chemical energy) au bonds zilizoiunganisha Nucleus ya atom by strong nuclear force(Nuclear energy).
Hizi bonds (kama ilivyo kwa gari juu ya mlima) zina potential energy maana ukizivunja utatengeneza motion ya hizi particles,,,,kwamfano ukivunja strong nuclear bond inayozishkilia protons na neutrons kwenye nucleus ya atom basi lazima zitaachana kwa speed kali maana protons zote ni +ve charge na hazipend kuwa karibu (like charges repel) lakini zimeshikwa pale na hiyo strong nuclear force

Hizi energy unaweza kuzibadilisha kutoka mfumo mmoja kwenda mwingine mfano kupitia nuclear fission unaibadilisha Potential energy iliyopo kwenye bonds za nucleus kuwa kinetic energy ambayo ni sawa na E=mc2 ambapo E ni energy,M ni mass ya hiyo particle (proton/neutron) na C ni velocity…hii inaendana na equation ya KE=1/2mv2

Kwahyo tumeshaona kuwa energy haitokani na void kama ulivyosema bali inatokana na motion au potential ya kuwepo kwa motion….na wala hakuna vibration ya particles,ukisikia frequency kwenye quantum physics usichukulie kuna vibration ya particles..huku particles hazivibrate lakini zipo distributed kwa probabilities(Heisenberg uncertainty) na wave nature ya hizi subatomic particle haitokani na vibration lakini inatokana na probability kwenye position na motion ya subatomic particles.(somo pana sana hili)

Lakini apo nimekuelezea tu energy ni nini bado sijajibu imetoka wapi.
Tunaweza kuitrace yote kuwa ilitokea mwanzon mwa ulimwengu kabisa kwenye big bang…ambapo hata atoms zote zilitokea huko.

Mfano unapoendesha farasi,energy ya farasi ilitoka kwa nishati ya kemikali(Potential energy)ambayo ilihifadhiwa katika molekular bonds za chakula alichokula. Nishati hiyo ya kemikali iliingia kwa farasi ambaye alikula na kumeng'enya mmea na kuvunja bonds katika molekuli zake. Mmea huo ulitengeneza hizo molecules kwa kutumia nishati ya mwanga kutoka kwa Jua(photosynthesis)…Energy ya Jua ilitoka kwa elektrons katika atoms zake zinazolower energy level, na kurelease energy.

light energy from the sun inatokana na electrons in its atoms lowering energy states(loosing potential energy), and releasing energy(kinetic energy in form of radiation). The energy in the atoms came from the nuclear reactions in the heart of the Sun. What started the nuclear reactions? the Big Bang did..

Now sasa kama unataka kumuinsert huyo Mungu hapo labda useme yeye ndo aliitengeneza big bang,ambapo itakuwa ni kurudisha tu magoli nyuma maana hata wanasayansi wakigundua source ya big bang ambayo sio mungu bado mtasema nayo hiyo ilitokea kwa Mungu.
So the burden of proof ipo kwako unayeamini Mungu na wala sio kwa scientists.
Aisee huu uzi[emoji119]
 
Nawasalimia wana JF wote.

Leo nitaongelea uthibitisho wa kisayansi uwepo wa Mungu. Na ninapenda tujadili hapa kisayansi zaidi. Pamoja na kuunganisha imani mbalimbali zilizopo.

Sipendi niseme kwamba jina Mungu au neno Mungu ndio sahihi katika kitu ninachotaka kuongelea. Lakini nitaongelea kwamba kuna nguvu ipo ambayo hatuwezi kuielezea kwa namna ya mambo yanayoonekana.

Bila kupoteza muda naanza kama ifuatavyo.

LAW OF CONSERVATION OF ENERGY

states that energy can neither be created nor destroyed - only converted from one form of energy to another.

Kabla ya kuendelea kuongelea Law kwanza tunatakiwa tujiulize energy ni nini?
Energy is the ability to do work - Nishati ni uwezo wa kufanya kazi.

Kaitka vitu vyote vilivyopo ndani yake kunakuwa na Energy. Hata kama kiwe kimetulia.

Mpaka sasa wanasayansi wanajua namna ya kuitumia energy. Lakini kupata kujua energy ni kitu gani bado utafiti unaendelea.

Mwiliunahitaji chakula na ndani ya chakula kuna chemical energy ambayo hutumiwa ndani ya mwili na cells ilikuufanya mwili uweze kufanya kazi. Kazi zote zinazofanyika kwenye mwili energy ndiyo inayafanya zifanyike.

Pasipo energy hata existence ya kitu chochote kisingekuwepo.

Source of Energy

Wale waliosoma Quantum Physics au waliosoma Particle Physics
Hapa utasoma Fundamental particles and force inayohusu matter and radiation.

utakuja kuona ndani ya Atom kuna particle zipo ambazo ndani yake kuna energy.

Lakini utakapoenda ndani zaidi utakutana na vibration (Frequencies) ya very small particles.
Sasa ukienda zaidi kufanya utafiti hizo simall particles zimeundwa na nini. Jibu utapata void

WHAT IS VOID


: opening, gap. : empty space : emptiness, vacuum. : the quality or state of being without something .

Hiyo ndiyo tafsiri ya neno Void.

Je Void inaweza ikatengeneza haya maajabu yote tunayoyaona?

Nuclear Energy, Fossil Energy, Solar Energy, Electric Energy etc? Au kuna The very Powerful Existence iliyo juu ya uwezo wetu?

Basi kwa tafsiri hii naweza nikasema The Powerful Existence Beyond of our thinking which is the source of Energy is so called God or Allah in our understanding.

Hiyo ni Introduction ya thread yangu hii. Nitaendelea kuenda ndani zaidi kwa evidences za kisayansi.....
Nimekuelewa sana bro na mara nyingi wale wanaopinga uwepo wa Mungu ukifanya nao mahojiano utagundua kuwa uwezo wao wa kufikiria ni mdogo
 
Ungetumia akili yako vizuri, ungejiuliza hivi...... Huyu Mbuzi hizi System zilizopo kwenye mwili wake imekuaje zikawa hivi?
Ungejiuliza, Je hizi Systems kwenye mwili wa Mbuzi zimekua designed au zimetokea tu from nowhere.

Au Mbuzi alijitengeneza na aka design systems zake mwenyewe?
Kutoka kwenye evolution perspective
Ilianza Cell-Tissue-Organ-System-Organism.

Hapo ndani Kuna cell differentiation, cell enlargement , cell division na Cell specialization.

Maisha yote yalianzia na yanaamzia hadi Sasa kwenye Unicellular angalia shahawa.

Halafu itaundergo cell division kuwa nyingi, zitaanza cell differentiation na specialization ili kuanza kuperform different function.

Mfano cell zinazounda mapafu zitakuwa tofauti na zinazounda muscles hivyo kutengeneza Organ mbalimbali na mifumo mfano mfumo wa hewa, chakula au mfumo wa fahamu.

Then kiumbe hiki hapa Organisms kifupi it was a randomly na possible vilitokea viumbe vingi ila cell specialization zikafanya baadhi ya viumbe kushindwa kuendana na mazingira ya Dunia.

Hivyo tunajua mfumo(system) imetokea wapi na haijaundwa na chochote.

Kwa nini viumbe vilivyopo duniani ni Carbon based na sio Silicon based?
 
Void is emptiness, is nothing. Sasa ukianza kusema sehemu gani tayari sasa hiyo siyo nothing tena au emptiness.

Sehemu inakuwa na space. Space inakuwa identified na observed objects. So hapa unapoongelea sehemu inakuwa haina sense.
Umezungumzia at atomic level mkuu ndio nataka nijue?
 
Nothing can be the cause of itself.

Kama kuna ulazima wa kuwepo mwanzilishi basi na huyo mwanzilishi ana mwanzilishi wake, Na huyo mwanzilishi wake ana mwanzilishi wake, Na huyo mwanzilishi wake, mwanzilishi wake ana mwanzilishi wake...

First you don't exist, Then you are born and you live your whole life, Then you die. Then you back to not existing again forever.

So first You don't exist, Then you exist Then you don't exist.

So this whole Life is just an interruption from not existing..

We don't exist. Life interrupted us.
Upeo mdogo wa kufikiri. and that is basically your problem.
 
Haya maswali hata kwenye science wameshindwa kuyajibu. Haya maswali yapo beyond of our understanding.

Nimejaribu kuweka Big bang theory, utaikuta ipo na mapungufu mengi mno maana inatueleza kuna kipindi kilifika ulimwengu ulianza. Na wanatueleza kuwa huo ulimwengu ukitokana na kitu kinachoitwa singularity.

Sasa ukiuliza where does singularity come from. Science inakaa kimya.

So haya mambo yapo juu sana. Lakini hayatuzuii kuendelea na utafiti.

Asante. Tuendelee kunywa mtori nyama zipo chini.
@hateeb10 alisema kwamba lazima kuwepo designer wa binadamu na viumbe wengine.

Mimi nika mwambia designer huyo Hayupo.

Kama yupo, Huyo designer na yeye mwenyewe lazima awe na designer wake, Na designer wake lazima awe na designer wake, Na designer wake designer wake, Lazima awe na designer wake mpaka infinitiy hukoooo.....

Maana Hakuna kitu kinaweza kujiumba kutoka kwa kutokuwepo kwa kitu.

Nothing can be the cause of its own existence, Hata "Designer" mwenyewe kuna sehemu alikuwepo alipo kuwa ana design vitu..

Sasa hiyo sehemu aliyo kuwa "designer" kabla ya yeye ku design vitu ilitokeaje?

Au huyo designer ali ishi wapi kabla ya ku design vitu???
Huko aliko kuwa aki ishi nani ali design?

Who designed, Designer's Place and Time of designing????
 
Energy is not something that was created by any individual or entity. Rather, it is a fundamental property of the universe that has always existed.

According to the current scientific understanding, the universe began with the Big Bang, which created all matter and energy in the universe in a single event. Since then, energy has been constantly transformed and transferred through various processes such as nuclear reactions, electromagnetic radiation, and chemical reactions, among others.

While humans have learned to harness and utilize various forms of energy, such as through the use of electricity or fossil fuels, we did not create energy itself. Rather, we have learned to transform and use the energy that already exists in the universe.
Usishikilie Sana big bang theory,maana ina mazaifu kibao
 
Upeo mdogo wa kufikiri. and that is basically your problem.
Who designed the designer of this world?

Who created the creator of this world?

Nothing can be the cause of itself.

Kama unabisha jibu hayo maswali hapo juu...
 
Umezungumzia at atomic level mkuu ndio nataka nijue?
Dah!!! Mkuu mbona tunaenda mbele halafu tunarudi nyuma.

Mimi nimeongelea beyond atomic level. Ndio maana tukaongea kuhusu quarks.

Sasa hizo quarks zimeundwa na kitu gani?
 
Usishikilie Sana big bang theory,maana ina mazaifu kibao
Sasa unataka nishikirie kitu gani sasa. Naomba uniletee sasa theory ambayo ipo inayoongelea how does universe come to existing.
 
Back
Top Bottom