Uthubutu: Kijana atakayeelezea jinsi atakavyoizalisha elfu 50 ndani ya mwezi mmoja nitamkopesha bila riba

Uthubutu: Kijana atakayeelezea jinsi atakavyoizalisha elfu 50 ndani ya mwezi mmoja nitamkopesha bila riba

Kwa mtaji huo boss mito ya baraka unapendeza kwa biashara ndogo ndogo.
Mimi nitafanya hivi:

Nitanunua cakes zile zinazokaa 10pcs per dozen then nanua creams zinazotumika kuandika kwenye cakes.

So hapa kila pc naandika jina la mteja au ujumbe mfupi atakao taka mteja.
Hii biashara nitifanyia maeneo ya shule ya msingi.

Japo sijaweka mchanganuo wa costs but Tzs 50k inatosha.

NB
Keki hizi ni zile zenye vikaratasi zinauzwa sana kwenye terminal
 
Habari Mkuu

Mimi nitaitumia 50000/= katika mchanganuo ufuatao kupitia biashara ya mahindi ya kuchoma

Naishi temeke stereo jirani na soko hapo wanauza mahindi mabichi nami ndiyo biashara niliyowah kuifanya Tandika sokoni

Mchanganuo
Mahindi 50@300= 15000
Usafiri = 500
Mkaa. = 1500
Chumvi. = 300
Ndimu. = 300
Ushuru. = 500
Pilipili. = 300

JUMLA. 18900


MAUZO

Nitauza mhindi 1 kwa shilingi 800 hiyo kwa mahindi 50 kwa siku n shilingi ( 50×800= 40000)

jiko ninalo hivyo sihitaji kununua

JUMLA YA MAUZO - JUMLA YA MCHANGANUO.


40000 - 18900= 21100

kwa hyo ninauhakika wa kurudi na elfu 21100 kila siku kumbuka situmii nauli kurudi nyumbani

Ninauwezo wa kuuza mahindi 50 kwa sababu Tandika n sehemu ambayo inawatu wengi ni soko kubwa hvyo mwingiliano wa watu ni Mkubwa

Baada ya siku 7 ninauwezo wa kuwa na shilingi 147700

Pia kumbuka katika elfu 50 ya mtaji baada ya matumizi ya siku ya kwanza ilibaki (50000-18900= 31100) itabaki shilingi 31100 nitaitumia kuongeza mtaji taratibu kwa siku zinazofuata maana biashara sio siku zote huwa nzuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mtaji huo boss mito ya baraka unapendeza kwa biashara ndogo ndogo.
Mimi nitafanya hivi:-
Nitanunua cakes zile zinazokaa 10pcs per dozen then nanua creams zinazotumika kuandika kwenye cakes.
So hapa kila pc naandika jina la mteja au ujumbe mfupi atakao taka mteja.
Hii biashara nitifanyia maeneo ya shule ya msingi.
Japo sijaweka mchanganuo wa costs but Tzs 50k inatosha.
NB
Keki hizi ni zile zenye vikaratasi zinauzwa sana kwenye terminal
Ili ni aplicable kabisa bigup sana nimelipenda hili wazo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera mkuu. Huo ndio ubinadamu. Ingekuwa wale wenye mitaji mikubwa wangewafanyia hivi wengine Tanzania ingebadirika haraka sana. Huwa najiuliza sana mtu kama mo au bakhresa kwa nini asikopeshe wenye kutaka biashara lakini hawana mitaji?.

Kuliko kufadhiri litimu kama simba wanakula hela tu tena nyiiingi sana ukipiga hesabu kwa mwaka. Lakini hakuna faida yoyote wala muendelezo wa hizo timu,zote zinashindana kushindana zenyewe tu na kuishia hapa hapa.

Lakini kwa wazo kama hilo wangekuwa wanawakopesha watu hata kwa liba ndogo tu hata iwe 3% ya kuilinda tu ile hela. Hongera sana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom