Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,943
- Thread starter
- #161
Kesho jioni nitaufunga Uzi, alhamisi nitatoa majibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu msaada, hebu elezea jinsi ya kuandika hayo majina,vitu utavotumia na jinsi ya kupatikana kwake nk, nimeipenda hiiKwa mtaji huo boss mito ya baraka unapendeza kwa biashara ndogo ndogo.
Mimi nitafanya hivi:
Nitanunua cakes zile zinazokaa 10pcs per dozen then nanua creams zinazotumika kuandika kwenye cakes.
So hapa kila pc naandika jina la mteja au ujumbe mfupi atakao taka mteja.
Hii biashara nitifanyia maeneo ya shule ya msingi.
Japo sijaweka mchanganuo wa costs but Tzs 50k inatosha.
NB
Keki hizi ni zile zenye vikaratasi zinauzwa sana kwenye terminal
kwa faida ya wanaJF naomba usiufunge huu uzi mkuu, kama mshindi akipatikana uache tu uendelee ku trendKesho jioni nitaufunga Uzi, alhamisi nitatoa majibu
Usiwe pessimistic...Hesabu za kwenye karatasi rahisi sanaa kuliko uhalisia wenyewe [emoji124][emoji124] Peramiho yetu,
Nafanya Utafiti wa Soko La Kuku, halafu Naenda Kijijini Kutafuta Kuku Kwa Bei Nafuu Naenda Kuuza Nilipoandaa Soko Ndani Ya Muda Huo Hela Yako Itakuwa Tayari.
Hiyo elfu 50 mchanganuo, wake kwa biashara ya mishikaki.
Naenda kwa Fundi kuchomelea aniandalie Jiko elfu 25,
Natafuta kijiwe kizuri sehemu wanayopita watu wengi,
--Sokoni nyama kg 2 steki tupu =16000,
--mkaa wa 1500
-Viungo vyake 5000(hiyo siyo vya siku moja ukinunua ni vingi mpaka viishe vitakaa kaa kidogo. )
-vijiti vile vistiki vyake 2000.
Naandaa mishikaki yangu ya wastani tu ya kuuza mia 2 mia 2 tu,
Kwenye kg 2 nina uhakika wa kupata faida ya 10K kila siku hapo baada ya kutoa matumizi ya mkaa, vijiti na Nyama.
Ndani ya wiki tayari nimekurudishia 50k yako.
NB:
Nilishawahi kufanya hii kazi hivyo nina uhakika nayo. Ndio kazi iliyonipa mtaji wa kibanda cha kuchakata viazi kuwa Chips.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitaigawa hio 50,000 mara 50 ili nipate elfu 1..
Kwakua hii week ninya Uefa na Europa nitaweka mikeka 25 kwa umakini mkubwa na uchambuzi wa hali ya juu.. mwisho wa week nitakuwa na pesa ambayo sio chini ya 150k.
Ile 25k iliyobaki ambayo sikuweka mkeka itakuwa kama plan B incase mikeka ikifeli yoote..
Hii 25k nitanunua unga wa ngano na mafuta nitengeneze maandazi na chapati (nina hiki kipaji cha kupika) nitayapeleka haya maandazi na chapati weekend kwenye hostel za wanachuo (weekend wengi wanaona uvivu kuamka asubuhi kununua chai ) .. nitawasambazia maandazi hayo hadi saa 6 mchana na pesa yangu itakuwa imerudi.
DAAH MKUU UMETISHAHabari Mkuu
Mimi nitaitumia 50000/= katika mchanganuo ufuatao kupitia biashara ya mahindi ya kuchoma
Naishi temeke stereo jirani na soko hapo wanauza mahindi mabichi nami ndiyo biashara niliyowah kuifanya Tandika sokoni
Mchanganuo
Mahindi 50@300= 15000
Usafiri = 500
Mkaa. = 1500
Chumvi. = 300
Ndimu. = 300
Ushuru. = 500
Pilipili. = 300
JUMLA. 18900
MAUZO
Nitauza mhindi 1 kwa shilingi 800 hiyo kwa mahindi 50 kwa siku n shilingi ( 50×800= 40000)
jiko ninalo hivyo sihitaji kununua
JUMLA YA MAUZO - JUMLA YA MCHANGANUO.
40000 - 18900= 21100
kwa hyo ninauhakika wa kurudi na elfu 21100 kila siku kumbuka situmii nauli kurudi nyumbani
Ninauwezo wa kuuza mahindi 50 kwa sababu Tandika n sehemu ambayo inawatu wengi ni soko kubwa hvyo mwingiliano wa watu ni Mkubwa
Baada ya siku 7 ninauwezo wa kuwa na shilingi 147700
Pia kumbuka katika elfu 50 ya mtaji baada ya matumizi ya siku ya kwanza ilibaki (50000-18900= 31100) itabaki shilingi 31100 nitaitumia kuongeza mtaji taratibu kwa siku zinazofuata maana biashara sio siku zote huwa nzuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee wa matolori, wewe ni Master wa biashara ndogo ndogoBIASHARA YA KUCHOMA MAHINDI
Mahitaji :
Jiko = 20,000
Mkaa (chenga mixer) = 3000
Wavu = 5000
Nauli = 2000
Mahindi = 10,000
Ndimu = 1000
Chumvi = 3000
Kiroba (cha kufatia mahindi) = 2000
TOTAL = 46,000
Kwenye ile 50,000 nitakua nimebakiwa na 4000,ambayo hii hela itakua ni pesa yangu ya kula na maji kama nikisikia kiu nikiwa kazini.
Mahindi sokoni yanauzwa 200-300,mimi nitachukua mahndi mchanganyiko nitachanganya ya 300 na 200 Jumla nitapata si chini ya mahindi 35 kwenda mbele.
Nitakuja kuchoma mahindi yangu na katika muhindi 1 wa 300 nitatoa vipande vi 3 vya kuuza 300(kipande),maana yake muhindi wa 300 utanipa 900 (toa 300 = 600 Faida)
Hii 600 Mungu akasaidia nikauza mahindi yangu 35 nitakua na 600 x 35 = 21,000
21,000 - 10,000 (mtaji) = 11,000
Kesho nitafata mahindi yangu tena ya 10,000 + 2000 (nauli) = 9000
9000 X 30 = 270,000 (kwa mwezi)
Mwisho wa mwezi nitarudisha 50,000 yako kisha nitabaki na mtaji wa 220,000,kisha nitaendelea na biashara yangu ya kuchoma mahindi.Muda huu sitokua nanunua mahindi ya 10,000 nitakua nimeji ongeza nitafata mzigo wa mahindi hata ya 20k-30k.
Nafata mahndi kidogo ili yaishe kwani mahindi yakiwa mengi yakichelewa kuisha(yakabaki) hukauka na kuwa magumu wakati wa kuchoma wateja hawatoyapenda na wateja wengi wa sasa hupendelea mahindi ya kuchoma malaini.
MWISHO nitakushukuru kwa msaada wako na Sitoacha kurudi JamiiForums kutoa asante zangu kwa kunikutanisha nawe.
wako katika ujenzi wa TAIFA
CONTROLA
Ukifikiria sana changamoto hakuna biashara utafanya. Be positive minded, ukishaingia kwenye game utapambana nazo.Alichosema ni ukweli mtupu...shida yetu iko hapo hatufikirii na changamoto na hatuko tayari kuzikabili!
Bidhaa yako ina jina gani sokoni, mimi pia mteja wa apetizerAhh wakina sie tunaruhusiwa kushiriki?? [emoji317][emoji317] anyway me nauza pilipili za kupack(appertizer) nikipata hiyo cash naweza ongeza production. Cz toka nimeanza naona wateja si haba japo stock kidogo changamoto..
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu naendelea kukupa kongoleHili wazo lenye uhalisia sana na ndio ninaloliendea sasahivi, labda uwe umejikita kwenye biashara za kuzalisha si zakutoa Huduma maana wote naona wanaleta mawazo yakuzalisha.
Hii ni FREE CARWASH
_Naoshea maeneo ya posta hiyo 50,000/= inafikishwaa kwa siku 2 cash as profit na siku kama ya leo na kesho magari yapo full packed na wengi wametoka kuuatumia siku za weekend hata kwasiku moja if Odds in my side that day.
MCHANGANUO
_Hii biashara ipo hivi gari unaosha kwa 2000/= mpaka 10,000/= inategemea umemuoshea nani maana wanaosha mpaka ma Range Rover, V8 sasa mtu ukimuoshea anakupa tu “chukua hii 8000/= Nipigie maji” unajikuta kwa siku mbaya 30,000/= kawaida.
ENEO LA BIASHARA
_Posta maeneo ya Golden jebelee tower, kuna ofisi nyingi kubwa maeneo ya nje ndio inapofanyika Huduma hii ubaazi wa SERENA HOTEL unaosha magari non-stop kutwa mzima.
MTAJI
_Hii biashara haitaji Mtaji mkubwa kwasababu unahitaji vifaa ambayo madumu na vitambaa ILA kwenye inabidi ujiunge kwenye kikundi kwa 70,000/= hili uwe mwanachama nishawapa 20,000/= ndio nahaso iyo 50,000/= niwakamilishie.
_kwa kuongeza thamani ya Huduma nanunua matauro meupe, mafuta Air freshener, Polish ya dash board n.k ili kumfurahisha zaidi mteja hii itafanya niweze kumpandishia bei mteja na kupata faida maradufu.
UHALISIA
_Leo ndio natoka kuwapa 20,000/= nakupeleka dumu zangu asubui tu hata SAA 2 bado wakaamua wanipe nauri yakurudi kwakupewa gari moja nioshe nimekula 5000/= cash hiyo kabla ya saa 2 ijafika imagine kutwa nzima.
So, kwahuwo Mtaji wa 50,000/= ambao kwangu ni mtaji wa kujiunga uwanachama na kuonheza matauro na mafuta siku 2 tu naitengeneza.
NB: hii dunia ya leo mawazo ya kutoa Huduma yanapesa hata ukianza chini.
IDEA IN PROGRESS...NEED BACKUP CAPITAL
CONT : 0716321462
Faida kabla saa 2 leo.View attachment 1360449
Vifaa vya kazi
View attachment 1360451
Portfolio | 2020
mkuu mbona Mo hayo mnayoyasema anayafanya sanaNaunga mkono hoja MaBillionaire ni watu wa hovyo kabisa.
How come, MO ana utajiri wa Trillion 4 roundly hivi akitenga only 1B tu sawa na million 1000/= akawawezesha vijana kwa vigezo purposefully 1M kila mmoja sawa na vijana 1000 Tz kwa 1B moja tu ambayo haitekenyi hata itajiri wake Hell.
Hell.
Portfolio | 2020
Not in big volume and Openly as I propose.
Fact hii broUkifikiria sana changamoto hakuna biashara utafanya. Be positive minded, ukishaingia kwenye game utapambana nazo.
Faida na hasara ni vitu vya kawaida, kikubwa usikate tamaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
uko sahihi vijana wajaribu kufikiria zaid kuhusu challenge kuliko faidaAlichosema ni ukweli mtupu...shida yetu iko hapo hatufikirii na changamoto na hatuko tayari kuzikabili!