Uthubutu: Kijana atakayeelezea jinsi atakavyoizalisha elfu 50 ndani ya mwezi mmoja nitamkopesha bila riba

Uthubutu: Kijana atakayeelezea jinsi atakavyoizalisha elfu 50 ndani ya mwezi mmoja nitamkopesha bila riba

HABARI WAKUU LEO NAANZA KUWAPA UPDATES JUU YA BIASHARA YANGU YA KUCHOMA MAHINDI KAMA NILIVYOWAKILISHA WAZO LANGU KWENYE POST NAMBA 30

Kwanza nimshukuru mleta mada Mr Bonde la Baraka na mfadhili wangu ambae ameniwezesha kiasi ambacho alinipatia Mr Silicon Valley Hongereni kwa mioyo yenu

Biashara nilianza tarehe 9 kutokana na matatzo ya kifamilia ninauguza mdogo wangu hivyo inanibid nitenge muda Wa jioni kifanya biashara hii

Awali nilisema katiaka mchanganuo wangu kuwa nitauza muhindi 1@ sh 800/= lakn nimekutana na changamoto ya ushindani kwan sehemu nayofanya mm biashara pia kuna watu 2 nao wanachoma hvyo imenibid nishushe toka 800 had 600 kwan sokon mhind Mkubwa ulioshiba ni tsh 250-300 hvyo sio mbaya kwa mhindi 1 napata faida ya tsh 300

Biashara bado haijachanganya sana lakn kma hz mvua zitaendelea kunyesha kunyesha mchana na jion kukata kwa sisi wauza mahind huwa muda Wa neema sana

Sehemu nayochoma mahind pia nimeongeza mtaji Wa maji ya kufunga ya mia mia ambayo huwa naweka kwenye dell na barafu hapa kuna jamaa anauza mahind pia hvyo mchana huwa namuachia yeye mm asubh nawah sokon baada ya hapo hospital saa Tisa huwa nakuwa nsharudi naanza mishe za kuchoma Mahindi

Kifupi bado haijachanya biashara ila muelekeo si haba ntawajuza zaidii



Sent using Jamii Forums mobile app
 
HABARI WAKUU LEO NAANZA KUWAPA UPDATES JUU YA BIASHARA YANGU YA KUCHOMA MAHINDI KAMA NILIVYOWAKILISHA WAZO LANGU KWENYE POST NAMBA 30

Kwanza nimshukuru mleta mada Mr Bonde la Baraka na mfadhili wangu ambae ameniwezesha kiasi ambacho alinipatia Mr Silicon Valley Hongereni kwa mioyo yenu

Biashara nilianza tarehe 9 kutokana na matatzo ya kifamilia ninauguza mdogo wangu hivyo inanibid nitenge muda Wa jioni kifanya biashara hii

Awali nilisema katiaka mchanganuo wangu kuwa nitauza muhindi 1@ sh 800/= lakn nimekutana na changamoto ya ushindani kwan sehemu nayofanya mm biashara pia kuna watu 2 nao wanachoma hvyo imenibid nishushe toka 800 had 600 kwan sokon mhind Mkubwa ulioshiba ni tsh 250-300 hvyo sio mbaya kwa mhindi 1 napata faida ya tsh 300

Biashara bado haijachanganya sana lakn kma hz mvua zitaendelea kunyesha kunyesha mchana na jion kukata kwa sisi wauza mahind huwa muda Wa neema sana

Sehemu nayochoma mahind pia nimeongeza mtaji Wa maji ya kufunga ya mia mia ambayo huwa naweka kwenye dell na barafu hapa kuna jamaa anauza mahind pia hvyo mchana huwa namuachia yeye mm asubh nawah sokon baada ya hapo hospital saa Tisa huwa nakuwa nsharudi naanza mishe za kuchoma Mahindi

Kifupi bado haijachanya biashara ila muelekeo si haba ntawajuza zaidii



Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sanaa ndugu na mgonjwa Mungu amsaidie apone Mapema... Pia nashukuru sana kwa kuleta mrejesho, umefanya jambo jema sana kwan watu wengi wanapenda kuona wazo la biashara linatendeka vipi katika mazingira halisi, changamoto zake na namna ya kuzikabili...

Ubarikiwe sana, ufanikiwe vyema!
 
HABARI WAKUU LEO NAANZA KUWAPA UPDATES JUU YA BIASHARA YANGU YA KUCHOMA MAHINDI KAMA NILIVYOWAKILISHA WAZO LANGU KWENYE POST NAMBA 30

Kwanza nimshukuru mleta mada Mr Bonde la Baraka na mfadhili wangu ambae ameniwezesha kiasi ambacho alinipatia Mr Silicon Valley Hongereni kwa mioyo yenu

Biashara nilianza tarehe 9 kutokana na matatzo ya kifamilia ninauguza mdogo wangu hivyo inanibid nitenge muda Wa jioni kifanya biashara hii

Awali nilisema katiaka mchanganuo wangu kuwa nitauza muhindi 1@ sh 800/= lakn nimekutana na changamoto ya ushindani kwan sehemu nayofanya mm biashara pia kuna watu 2 nao wanachoma hvyo imenibid nishushe toka 800 had 600 kwan sokon mhind Mkubwa ulioshiba ni tsh 250-300 hvyo sio mbaya kwa mhindi 1 napata faida ya tsh 300

Biashara bado haijachanganya sana lakn kma hz mvua zitaendelea kunyesha kunyesha mchana na jion kukata kwa sisi wauza mahind huwa muda Wa neema sana

Sehemu nayochoma mahind pia nimeongeza mtaji Wa maji ya kufunga ya mia mia ambayo huwa naweka kwenye dell na barafu hapa kuna jamaa anauza mahind pia hvyo mchana huwa namuachia yeye mm asubh nawah sokon baada ya hapo hospital saa Tisa huwa nakuwa nsharudi naanza mishe za kuchoma Mahindi

Kifupi bado haijachanya biashara ila muelekeo si haba ntawajuza zaidii



Sent using Jamii Forums mobile app


Good..hongera kwa uthubutu..tegemea changamoto zaidi so jiandae kuzikabili shikilia hapo hapo
 
Pamoja sana Mkuu ndio npo mzigon hapa nachakata mda huu
Pole sanaa ndugu na mgonjwa Mungu amsaidie apone Mapema... Pia nashukuru sana kwa kuleta mrejesho, umefanya jambo jema sana kwan watu wengi wanapenda kuona wazo la biashara linatendeka vipi katika mazingira halisi, changamoto zake na namna ya kuzikabili...

Ubarikiwe sana, ufanikiwe vyema!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera sana kwa uthubutu pia pole kwa mgonjwa
La mwsho tunakupongeza kwa kurudi kutuupdate
HABARI WAKUU LEO NAANZA KUWAPA UPDATES JUU YA BIASHARA YANGU YA KUCHOMA MAHINDI KAMA NILIVYOWAKILISHA WAZO LANGU KWENYE POST NAMBA 30

Kwanza nimshukuru mleta mada Mr Bonde la Baraka na mfadhili wangu ambae ameniwezesha kiasi ambacho alinipatia Mr Silicon Valley Hongereni kwa mioyo yenu

Biashara nilianza tarehe 9 kutokana na matatzo ya kifamilia ninauguza mdogo wangu hivyo inanibid nitenge muda Wa jioni kifanya biashara hii

Awali nilisema katiaka mchanganuo wangu kuwa nitauza muhindi 1@ sh 800/= lakn nimekutana na changamoto ya ushindani kwan sehemu nayofanya mm biashara pia kuna watu 2 nao wanachoma hvyo imenibid nishushe toka 800 had 600 kwan sokon mhind Mkubwa ulioshiba ni tsh 250-300 hvyo sio mbaya kwa mhindi 1 napata faida ya tsh 300

Biashara bado haijachanganya sana lakn kma hz mvua zitaendelea kunyesha kunyesha mchana na jion kukata kwa sisi wauza mahind huwa muda Wa neema sana

Sehemu nayochoma mahind pia nimeongeza mtaji Wa maji ya kufunga ya mia mia ambayo huwa naweka kwenye dell na barafu hapa kuna jamaa anauza mahind pia hvyo mchana huwa namuachia yeye mm asubh nawah sokon baada ya hapo hospital saa Tisa huwa nakuwa nsharudi naanza mishe za kuchoma Mahindi

Kifupi bado haijachanya biashara ila muelekeo si haba ntawajuza zaidii



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, Mimi hapa ukinipatia Mtaji wa TZS 50,000 nitairejesha baada ya Miezi mitatu na nitaiwekeza katika huduma/biashara ya hii hapa chini:
  1. Nitaanzisha taasisi ambayo italenga kutoa huduma kwa wenye nyumba na wapangaji ambayo sio real estate agent bali ni zaidi kwa ajili ya kuwasaidia wapangaji kufahamu ubora wa nyumba kwa kuzifanyia nyumba grading,mitaa grading kwa kutumia vigezo vya kitaalam.Na nitaanza kwa kutoa huduma hio kwa jiji la Dar es Salaa kwanza.Gharama ya huduma hio itakuwa ni nafuu ambapo mwenye nyumba atalipia kisha Mpangaji akitaka kufahamu iwapo nyumba au eneo husika limefanyiwa utafiti atapatiwa ripoti ya eneo husika.
  2. Ripoti hizo zitakuwa za kiswahili na zitaonesha,wastani wa gharama za maisha,ikiwamo kodi chakula,maji umeme.Uwepo wa huduma za elimu afya na burudani,vituo vya polisi,mawasiliano ya viongozi wa eneo husika,usalama na uhalifu.Fursa za ajira zilizopa maeneo ya karibu.Fursa za biashara zilizopo maeneo hayo.
  3. Vilevile mpangaji anaweza kuomba kufanyiwa utafiti huo kabla ya kuhamia eneo fulani.
  4. Kwa kupitia taarifa hio tunaweza kupima na kutoa taarifa juu ya maeneo mazuri kabisa kuishi na maeneo mabaya kabisa kuishi na pia taarifa yetu itakusaidia kufahamu fursa na changamoto za kila eneo bila kujali umbali wa eneo.
Kwa shilingi elfu 50 utakayonipatia nitawekeza TZS 25000 kwenye kusajili jina la biashara brela na TZS 25000 kwenye kusajili domain name ambamo taarifa hzio zitawekwa.Mimi binafsi nitachangia gharama za kufanya hosting pamoja na gharama za kupata leseni ya biashara,gharama za nauli na uendeshaji kwa kipindi cha mwanzo.Iwapo utapenda kuwekeza zaidi katika biashara hii ili tuweze kuwa wabia tunaweza kujadili zaidi kwani wazo hili linahitaji mtaji wa TZS milioni 75 na lina potential ya kuleta mapato ya hadi milioni 150 kupitia huduma,matangazo commision n.k.

NB.Unaweza kutekeleza wazo hili ila hakikisha unawasiliana na mimi kwanza
 
Mkuu, Mimi hapa ukinipatia Mtaji wa TZS 50,000 nitairejesha baada ya Miezi mitatu na nitaiwekeza katika huduma/biashara ya hii hapa chini:
  1. Nitaanzisha taasisi ambayo italenga kutoa huduma kwa wenye nyumba na wapangaji ambayo sio real estate agent bali ni zaidi kwa ajili ya kuwasaidia wapangaji kufahamu ubora wa nyumba kwa kuzifanyia nyumba grading,mitaa grading kwa kutumia vigezo vya kitaalam.Na nitaanza kwa kutoa huduma hio kwa jiji la Dar es Salaa kwanza.Gharama ya huduma hio itakuwa ni nafuu ambapo mwenye nyumba atalipia kisha Mpangaji akitaka kufahamu iwapo nyumba au eneo husika limefanyiwa utafiti atapatiwa ripoti ya eneo husika.
  2. Ripoti hizo zitakuwa za kiswahili na zitaonesha,wastani wa gharama za maisha,ikiwamo kodi chakula,maji umeme.Uwepo wa huduma za elimu afya na burudani,vituo vya polisi,mawasiliano ya viongozi wa eneo husika,usalama na uhalifu.Fursa za ajira zilizopa maeneo ya karibu.Fursa za biashara zilizopo maeneo hayo.
  3. Vilevile mpangaji anaweza kuomba kufanyiwa utafiti huo kabla ya kuhamia eneo fulani.
  4. Kwa kupitia taarifa hio tunaweza kupima na kutoa taarifa juu ya maeneo mazuri kabisa kuishi na maeneo mabaya kabisa kuishi na pia taarifa yetu itakusaidia kufahamu fursa na changamoto za kila eneo bila kujali umbali wa eneo.
Kwa shilingi elfu 50 utakayonipatia nitawekeza TZS 25000 kwenye kusajili jina la biashara brela na TZS 25000 kwenye kusajili domain name ambamo taarifa hzio zitawekwa.Mimi binafsi nitachangia gharama za kufanya hosting pamoja na gharama za kupata leseni ya biashara,gharama za nauli na uendeshaji kwa kipindi cha mwanzo.Iwapo utapenda kuwekeza zaidi katika biashara hii ili tuweze kuwa wabia tunaweza kujadili zaidi kwani wazo hili linahitaji mtaji wa TZS milioni 75 na lina potential ya kuleta mapato ya hadi milioni 150 kupitia huduma,matangazo commision n.k.

NB.Unaweza kutekeleza wazo hili ila hakikisha unawasiliana na mimi kwanza
 
Mkuu, Mimi hapa ukinipatia Mtaji wa TZS 50,000 nitairejesha baada ya Miezi mitatu na nitaiwekeza katika huduma/biashara ya hii hapa chini:
  1. Nitaanzisha taasisi ambayo italenga kutoa huduma kwa wenye nyumba na wapangaji ambayo sio real estate agent bali ni zaidi kwa ajili ya kuwasaidia wapangaji kufahamu ubora wa nyumba kwa kuzifanyia nyumba grading,mitaa grading kwa kutumia vigezo vya kitaalam.Na nitaanza kwa kutoa huduma hio kwa jiji la Dar es Salaa kwanza.Gharama ya huduma hio itakuwa ni nafuu ambapo mwenye nyumba atalipia kisha Mpangaji akitaka kufahamu iwapo nyumba au eneo husika limefanyiwa utafiti atapatiwa ripoti ya eneo husika.
  2. Ripoti hizo zitakuwa za kiswahili na zitaonesha,wastani wa gharama za maisha,ikiwamo kodi chakula,maji umeme.Uwepo wa huduma za elimu afya na burudani,vituo vya polisi,mawasiliano ya viongozi wa eneo husika,usalama na uhalifu.Fursa za ajira zilizopa maeneo ya karibu.Fursa za biashara zilizopo maeneo hayo.
  3. Vilevile mpangaji anaweza kuomba kufanyiwa utafiti huo kabla ya kuhamia eneo fulani.
  4. Kwa kupitia taarifa hio tunaweza kupima na kutoa taarifa juu ya maeneo mazuri kabisa kuishi na maeneo mabaya kabisa kuishi na pia taarifa yetu itakusaidia kufahamu fursa na changamoto za kila eneo bila kujali umbali wa eneo.
Kwa shilingi elfu 50 utakayonipatia nitawekeza TZS 25000 kwenye kusajili jina la biashara brela na TZS 25000 kwenye kusajili domain name ambamo taarifa hzio zitawekwa.Mimi binafsi nitachangia gharama za kufanya hosting pamoja na gharama za kupata leseni ya biashara,gharama za nauli na uendeshaNaoji kwa kipindi cha mwanzo.Iwapo utapenda kuwekeza zaidi katika biashara hii ili tuweze kuwa wabia tunaweza kujadili zaidi kwani wazo hili linahitaji mtaji wa TZS milioni 75 na lina potential ya kuleta mapato ya hadi milioni 150 kupitia huduma,matangazo commision n.k.

NB.Unaweza kutekeleza wazo hili ila hakikisha unawasiliana na mimi kwanza
Naomba tuingie ubia kiongozi
 
Weka wazo lako tuona kama tutaweza hata kurudisha pesa
I need to do things literally based to my hobby and knowledge.
Some stuff related to Information Techs. I need 1M, Ajira ngumu Connection nazo hakuna With or Without, I have to.
 
  • Thanks
Reactions: amu
Back
Top Bottom