Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
HABARI WAKUU LEO NAANZA KUWAPA UPDATES JUU YA BIASHARA YANGU YA KUCHOMA MAHINDI KAMA NILIVYOWAKILISHA WAZO LANGU KWENYE POST NAMBA 30
Kwanza nimshukuru mleta mada Mr Bonde la Baraka na mfadhili wangu ambae ameniwezesha kiasi ambacho alinipatia Mr Silicon Valley Hongereni kwa mioyo yenu
Biashara nilianza tarehe 9 kutokana na matatzo ya kifamilia ninauguza mdogo wangu hivyo inanibid nitenge muda Wa jioni kifanya biashara hii
Awali nilisema katiaka mchanganuo wangu kuwa nitauza muhindi 1@ sh 800/= lakn nimekutana na changamoto ya ushindani kwan sehemu nayofanya mm biashara pia kuna watu 2 nao wanachoma hvyo imenibid nishushe toka 800 had 600 kwan sokon mhind Mkubwa ulioshiba ni tsh 250-300 hvyo sio mbaya kwa mhindi 1 napata faida ya tsh 300
Biashara bado haijachanganya sana lakn kma hz mvua zitaendelea kunyesha kunyesha mchana na jion kukata kwa sisi wauza mahind huwa muda Wa neema sana
Sehemu nayochoma mahind pia nimeongeza mtaji Wa maji ya kufunga ya mia mia ambayo huwa naweka kwenye dell na barafu hapa kuna jamaa anauza mahind pia hvyo mchana huwa namuachia yeye mm asubh nawah sokon baada ya hapo hospital saa Tisa huwa nakuwa nsharudi naanza mishe za kuchoma Mahindi
Kifupi bado haijachanya biashara ila muelekeo si haba ntawajuza zaidii
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza nimshukuru mleta mada Mr Bonde la Baraka na mfadhili wangu ambae ameniwezesha kiasi ambacho alinipatia Mr Silicon Valley Hongereni kwa mioyo yenu
Biashara nilianza tarehe 9 kutokana na matatzo ya kifamilia ninauguza mdogo wangu hivyo inanibid nitenge muda Wa jioni kifanya biashara hii
Awali nilisema katiaka mchanganuo wangu kuwa nitauza muhindi 1@ sh 800/= lakn nimekutana na changamoto ya ushindani kwan sehemu nayofanya mm biashara pia kuna watu 2 nao wanachoma hvyo imenibid nishushe toka 800 had 600 kwan sokon mhind Mkubwa ulioshiba ni tsh 250-300 hvyo sio mbaya kwa mhindi 1 napata faida ya tsh 300
Biashara bado haijachanganya sana lakn kma hz mvua zitaendelea kunyesha kunyesha mchana na jion kukata kwa sisi wauza mahind huwa muda Wa neema sana
Sehemu nayochoma mahind pia nimeongeza mtaji Wa maji ya kufunga ya mia mia ambayo huwa naweka kwenye dell na barafu hapa kuna jamaa anauza mahind pia hvyo mchana huwa namuachia yeye mm asubh nawah sokon baada ya hapo hospital saa Tisa huwa nakuwa nsharudi naanza mishe za kuchoma Mahindi
Kifupi bado haijachanya biashara ila muelekeo si haba ntawajuza zaidii
Sent using Jamii Forums mobile app