Uthubutu wake, Kukabiliana Kwake na Umakini wake dhidi ya Janga la 'CORONA' lamfanya Rais Dkt. Magufuli akubalike kama 'Malaika' nchini Uganda

Uthubutu wake, Kukabiliana Kwake na Umakini wake dhidi ya Janga la 'CORONA' lamfanya Rais Dkt. Magufuli akubalike kama 'Malaika' nchini Uganda

Watanzania najua baadhi yetu tunaweza ama tukawa hatujui 'Thamani' ya Rais Dkt. Magufuli au 'Umuhimu' wake Kwetu ila itoshe tu kusema kwamba pamoja na kwamba 'Kibinadamu' anaweza akawa na 'Mapungufu' yake kama niliyonayo Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ila kwa Tanzania 'Kumpata' Kiongozi kama Yeye (JPM ) ni kama vile Mwenyezi Mungu 'ametupendelea' sana tu.

Leo asubuhi kupitia Kipindi cha BBC News ( Africa ) kinachoruka Kuanzia Saa 1 na Nusu hadi Saa 2 Kamili ( Redioni ) nilibahatika kuwasikia Viongozi mbalimbali wa 'Kidini' na Wananchi kadhaa ( waliowawakilisha ) Wenzao ( Waganda ) katika 'Mjadala' mkubwa uliokuwa 'Mezani' wa Janga la CORONA na namna nzima ya 'Kukabiliana' nalo.

Mazunguzo ya 'Kimjadala' yalikuwa ni mengi na yenye 'Tija' na 'Mantiki' ila katika kila 'Mzungumzaji' aliyekuwa akichangia wote walikuwa 'wakimpongeza' sana Rais wa Tanzania Dkt. Magufuli kwa 'Kupambana' Kwake juu ya Janga la CORONA huku 'wakimshutumu' wazi wazi Rais wao Mzee Museveni kuwa 'ameshindwa' na kwamba kazidiwa mbali na Rais Magufuli.

Mwishoni kabisa Wote 'walisikika' wakisema kuwa laiti kungekuwa kuna uwezekano wa 'Kukopana' Marais hata kwa muda fulani tu basi kwa 'Taabu' ambazo wanazipitia sasa 'Waganda' na Maisha magumu 'waliyonayo' tokea Janga hili la CORONA lianze huku 'wakizuiwa' Kufanya Shughuli zao mbalimbali za 'Kiuchumi' basi wangetuomba Watanzania 'tuwakopeshe' Rais wetu huyu Dkt. Magufuli.

Kwa 'Kuhitimisha' Kwao tu Viongozi hao wa 'Dini' na Wananchi wa Uganda 'wamemtaka' Rais wao Mzee Museveni 'ayaige' mengi ya Rais Wetu JPM.

Nami GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ninamalizia pia kwa kusema hebu Watanzania 'tujivunie' mno Rais Magufuli na 'tumsaidie' pale anapokosea.
comrade hivi unajua "herd immunity" approach kwenye pandemics ambayo imetumika Tanzania ni heartless option?

tafsiri yake ni kwamba "wafe baadhi, wapone baadhi". fikra hizi zinawezekana tu katika jamii ambayo roho za watu si muhimu kwa wenye dhamana ya wanaoiongoza jamii hiyo.

linganisha watu prominent waliofariki kwa ugonjwa huu TZ v KE kwa mfano ndiyo utagundua we're worse than KE - tofauti ni kwamba KE wanapima na kutoa takwimu wakati TZ imekula jiwe (which is a portrayal of our leaders' ruthlessness and heartlessness).
 
Be Serious Mkuu, Sifa za kijinga! Eti maombi yamezuia korona! and he is trumpeting it to the world, making us all look like fools!
haya nini sir juu ya mafanikio haya kuhusu covid19 hapa tz,,, mashabik mandaz
 
Membe anasema pua zinauma kwa kuchokonolewa dubai wakichukua sampuli za corona,
 
Watanzania najua baadhi yetu tunaweza ama tukawa hatujui 'Thamani' ya Rais Dkt. Magufuli au 'Umuhimu' wake Kwetu ila itoshe tu kusema kwamba pamoja na kwamba 'Kibinadamu' anaweza akawa na 'Mapungufu' yake kama niliyonayo Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ila kwa Tanzania 'Kumpata' Kiongozi kama Yeye (JPM) ni kama vile Mwenyezi Mungu 'ametupendelea' sana tu.

Leo asubuhi kupitia Kipindi cha BBC News (Africa) kinachoruka Kuanzia Saa 1 na Nusu hadi Saa 2 Kamili (Redioni) nilibahatika kuwasikia Viongozi mbalimbali wa 'Kidini' na Wananchi kadhaa (waliowawakilisha) Wenzao (Waganda) katika 'Mjadala' mkubwa uliokuwa 'Mezani' wa Janga la CORONA na namna nzima ya 'Kukabiliana' nalo.

Mazunguzo ya 'Kimjadala' yalikuwa ni mengi na yenye 'Tija' na 'Mantiki' ila katika kila 'Mzungumzaji' aliyekuwa akichangia wote walikuwa 'wakimpongeza' sana Rais wa Tanzania Dkt. Magufuli kwa 'Kupambana' Kwake juu ya Janga la CORONA huku 'wakimshutumu' wazi wazi Rais wao Mzee Museveni kuwa 'ameshindwa' na kwamba kazidiwa mbali na Rais Magufuli.

Mwishoni kabisa Wote 'walisikika' wakisema kuwa laiti kungekuwa kuna uwezekano wa 'Kukopana' Marais hata kwa muda fulani tu basi kwa 'Taabu' ambazo wanazipitia sasa 'Waganda' na Maisha magumu 'waliyonayo' tokea Janga hili la CORONA lianze huku 'wakizuiwa' Kufanya Shughuli zao mbalimbali za 'Kiuchumi' basi wangetuomba Watanzania 'tuwakopeshe' Rais wetu huyu Dkt. Magufuli.

Kwa 'Kuhitimisha' Kwao tu Viongozi hao wa 'Dini' na Wananchi wa Uganda 'wamemtaka' Rais wao Mzee Museveni 'ayaige' mengi ya Rais Wetu JPM.

Nami GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ninamalizia pia kwa kusema hebu Watanzania 'tujivunie' mno Rais Magufuli na 'tumsaidie' pale anapokosea.
Rais Magufuli ndiye rais pekee dunia nzima aliyeshinda corona. Hakuna hata nchi moja duniani iliyokumbwa na corona ambayo imefanikiwa kuitokomeza kwa kiwango cha Tanzania. Hata China hawajafaulu kwa kiwango chetu.

Angalia mikutano ya Lissu ambayo wao wenyewe wanakiri inajaza sana watu hakuna social distancing wala kuvaa barakoa.

Hongera sana JPM.
 
Watanzania najua baadhi yetu tunaweza ama tukawa hatujui 'Thamani' ya Rais Dkt. Magufuli au 'Umuhimu' wake Kwetu ila itoshe tu kusema kwamba pamoja na kwamba 'Kibinadamu' anaweza akawa na 'Mapungufu' yake kama niliyonayo Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ila kwa Tanzania 'Kumpata' Kiongozi kama Yeye (JPM) ni kama vile Mwenyezi Mungu 'ametupendelea' sana tu.

Leo asubuhi kupitia Kipindi cha BBC News (Africa) kinachoruka Kuanzia Saa 1 na Nusu hadi Saa 2 Kamili (Redioni) nilibahatika kuwasikia Viongozi mbalimbali wa 'Kidini' na Wananchi kadhaa (waliowawakilisha) Wenzao (Waganda) katika 'Mjadala' mkubwa uliokuwa 'Mezani' wa Janga la CORONA na namna nzima ya 'Kukabiliana' nalo.

Mazunguzo ya 'Kimjadala' yalikuwa ni mengi na yenye 'Tija' na 'Mantiki' ila katika kila 'Mzungumzaji' aliyekuwa akichangia wote walikuwa 'wakimpongeza' sana Rais wa Tanzania Dkt. Magufuli kwa 'Kupambana' Kwake juu ya Janga la CORONA huku 'wakimshutumu' wazi wazi Rais wao Mzee Museveni kuwa 'ameshindwa' na kwamba kazidiwa mbali na Rais Magufuli.

Mwishoni kabisa Wote 'walisikika' wakisema kuwa laiti kungekuwa kuna uwezekano wa 'Kukopana' Marais hata kwa muda fulani tu basi kwa 'Taabu' ambazo wanazipitia sasa 'Waganda' na Maisha magumu 'waliyonayo' tokea Janga hili la CORONA lianze huku 'wakizuiwa' Kufanya Shughuli zao mbalimbali za 'Kiuchumi' basi wangetuomba Watanzania 'tuwakopeshe' Rais wetu huyu Dkt. Magufuli.

Kwa 'Kuhitimisha' Kwao tu Viongozi hao wa 'Dini' na Wananchi wa Uganda 'wamemtaka' Rais wao Mzee Museveni 'ayaige' mengi ya Rais Wetu JPM.

Nami GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ninamalizia pia kwa kusema hebu Watanzania 'tujivunie' mno Rais Magufuli na 'tumsaidie' pale anapokosea.
Huu ni upuuzi tu. Misifa ya kijinga kabisa.
Hapakuwa na mapambano yoyote ya maana dhidi ya Corona kwenye nchi ya Tanzania.
Kinachoisadia Tanzania na Africa nzima ni demographics! Nchi ya Tanzania kwa mfano, median age ni 17 years. Africa ina vijana wengi na miili ya vijana ina uwezo mkubwa wa kupambana na virusi wa Corona! Watu wengi wanaambukizwa lakini wanaougua ni wachache sana.
Vijana wengi miili yao ina shed viruses kwa muda mrefu lakini ni asymptomatic. Hawa vijana miili yao inatengeneza immunity! Hata kama ni ya miezi michache! Kinga ya vijana hawa inawalinda wazee na wale wenye underlying medical conditions! Ni herd immunity.
Nimeishi kwenye Tropics, tunapambana sana. Naielewa miili ya waafrika.
 
Rais Magufuli ndiye rais pekee dunia nzima aliyeshinda corona. Hakuna hata nchi moja duniani iliyokumbwa na corona ambayo imefanikiwa kuitokomeza kwa kiwango cha Tanzania. Hata China hawajafaulu kwa kiwango chetu.

Angalia mikutano ya Lissu ambayo wao wenyewe wanakiri inajaza sana watu hakuna social distancing wala kuvaa barakoa.

Hongera sana JPM.
Acha kuandika upuuzi wewe! Embu muwe mnajisomea.
 
Leo asubuhi kupitia Kipindi cha BBC News (Africa) kinachoruka Kuanzia Saa 1 na Nusu hadi Saa 2 Kamili (Redioni) nilibahatika kuwasikia Viongozi mbalimbali wa 'Kidini' na Wananchi kadhaa (waliowawakilisha) Wenzao (Waganda) katika 'Mjadala' mkubwa uliokuwa 'Mezani' wa Janga la CORONA na namna nzima ya 'Kukabiliana' nalo

Nnaona Matokeo ya Safari ya Mh Museven kuja Tanzania.
 
Ishu ya corona tumebebwa na Hali ya kitropical sababu ya joto
Hakuna, sio kabisa. Ni demographics! Africa nzima ina very young populations. Soma hiyo comment nyingine, nimeelezea kwa kirefu.
 
Huu ni upuuzi tu. Misifa ya kijinga kabisa.
Hapakuwa na mapambano yoyote ya maana dhidi ya Corona kwenye nchi ya Tanzania.
Kinachoisadia Tanzania na Africa nzima ni demographics! Nchi ya Tanzania kwa mfano, median age ni 17 years. Africa ina vijana wengi na miili ya vijana ina uwezo mkubwa wa kupambana na virusi wa Corona! Watu wengi wanaambukizwa lakini wanaougua ni wachache sana.
Vijana wengi miili yao ina shed viruses kwa muda mrefu lakini ni asymptomatic. Hawa vijana miili yao inatengeneza immunity! Hata kama ni ya miezi michache! Kinga ya vijana hawa inawalinda wazee na wale wenye underlying medical conditions! Ni herd immunity.
Nimeishi kwenye Tropics, tunapambana sana. Naielewa miili ya waafrika.
sawa kwakuwa south africa na Kenya ni nchi zilizopo ulaya magharibi kusini
 
-Mkuu GENTAMYCINE kwenye suala la Corona kweli JPM alilimudu vema kwanza kuliongoza taifa katika kumwomba Mungu na pili Kulikuza Jina la Mungu kuliko haka kaugonjwa na hapo ndipo tuliposikiwa na Mungu. Wale wote wanaofahamu kisa cha Nchi ya Ninawi Yona 3:1-10 wataelewa kuwa JPM ametuvusha hapa.

-Issue inakuja je kipengele hichi tu inatosha mtu kuwa na sifa ya kuwaa Rais....JPM ni mbaguzi sana kwenye majimbo ambayo hawajamchagua pamoja na lugha nzuri ninayosikia kinywani mwake kuwa maendeleo hayana chama....lakini ukweli mikoa na maeneo ambayo JPM hawakumchagua 2015 hakuna uhusiano mzuri na eneo hilo.
Huu ni upuuzi mwingine.
Tuzungumze mara ngapi muelewe idiots nyinyi! It is demographics and the build up of herd immunity! Maelezo yako ni unscientific!
 
sawa kwakuwa south africa na Kenya ni nchi zilizopo ulaya magharibi kusini
Nini ambacho hamuelewi pimbi nyinyi. Wao wanapima na kutangaza cases! Sisi tumeacha kupima na kutangaza tangu April, sasa common sense ni kuwa usipopima na kutangaza haimaanishi huna cases!
Lakini ni wazi maambukizi na vifo kwa Africa ni chini sana ukilinganisha na mabara mengine!
Hivi kwanini mnakuwa viazi hivi?
 
Nini ambacho hamuelewi pimbi nyinyi. Wao wanapima na kutangaza cases! Sisi tumeacha kupima na kutangaza tangu April, sasa common sense ni kuwa usipopima na kutangaza haimaanishi huna cases!
Lakini ni wazi maambukizi na vifo kwa Africa ni chini sana ukilinganisha na mabara mengine!
Hivi kwanini mnakuwa viazi hivi?
Kwann maambukizi ya Africa ni madogo ukilinganisha na mabara mengine..tupe majibu yaliyowazi usikariri..
 
Back
Top Bottom