UTI kali kwa mke wa mtu

UTI kali kwa mke wa mtu

gwego1

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2023
Posts
265
Reaction score
897
Wakuu salaam.
Hivi mke wa mtu aliyeolewa inawezekana vipi akawa na UTI kali? Mme wake haipigi. Nauliza haya maswali maana yamenikuta

Juzi nimetoka shamba nikakutana na mke wa jirani yangu mwalimu akanibless kimoja Cha chap! Lakini Hadi navyoongea hapa nimetoka kununua dawa ya kummaliza huyu mdudu.

Sasa najiuliza mme wake anafanyeje fanyeje asiumwe! Nimeambatanisha na dawa konki kwa wale wanaosumbliwa na UTI.

Nawasilisha.

17287329983441154734181178823908.jpg
 
Juzi nimetoka shamba nikakutana na mke wa jirani yangu mwalim akanibless kimoja Cha chap! Lakini Hadi navyo ongea hapa nimetoka kunnua dawa ya kummaliza huyu mdudu.

Subiri muda kidogo upime na yule mdudu hatari, maana inaonekana ndio nyanga zako hizo...

Thread 'Nimeyakanyaga kwa mke wa mtu' Nimeyakanyaga kwa mke wa mtu

Kuanzia Leo sipigi tena kavu! Wana Jamvi share exeperiance yako ilikuwaje siku yako ya kwanza kupima ukimwi!

Thread 'Mara ya kwanza kupima ukimwi' Mara ya kwanza kupima ukimwi
 
Wakuu salaam.
Hivi mke wa mtu aliyeolewa inawezekana vipi akawa na UTI kali? Mme wake haipigi. Nauliza haya maswali maana yamenikuta

Juzi nimetoka shamba nikakutana na mke wa jirani yangu mwalimu akanibless kimoja Cha chap! Lakini Hadi navyoongea hapa nimetoka kununua dawa ya kummaliza huyu mdudu.

Sasa najiuliza mme wake anafanyeje fanyeje asiumwe! Nimeambatanisha na dawa konki kwa wale wanaosumbliwa na UTI.

Nawasilisha.

View attachment 3122621
Aliyekuambia hii dawa ni konki kwa U. T. I ni nani??
 
Back
Top Bottom