UTI kali kwa mke wa mtu

UTI kali kwa mke wa mtu

Wakuu salaam.
Hivi mke wa mtu aliyeolewa inawezekana vipi akawa na UTI kali? Mme wake haipigi. Nauliza haya maswali maana yamenikuta

Juzi nimetoka shamba nikakutana na mke wa jirani yangu mwalimu akanibless kimoja Cha chap! Lakini Hadi navyoongea hapa nimetoka kununua dawa ya kummaliza huyu mdudu.

Sasa najiuliza mme wake anafanyeje fanyeje asiumwe! Nimeambatanisha na dawa konki kwa wale wanaosumbliwa na UTI.

Nawasilisha.

View attachment 3122621
Gono hilo mkuu
 
 
Wakuu salaam.
Hivi mke wa mtu aliyeolewa inawezekana vipi akawa na UTI kali? Mme wake haipigi. Nauliza haya maswali maana yamenikuta

Juzi nimetoka shamba nikakutana na mke wa jirani yangu mwalimu akanibless kimoja Cha chap! Lakini Hadi navyoongea hapa nimetoka kununua dawa ya kummaliza huyu mdudu.

Sasa najiuliza mme wake anafanyeje fanyeje asiumwe! Nimeambatanisha na dawa konki kwa wale wanaosumbliwa na UTI.

Nawasilisha.

View attachment 3122621
Mshaur huyo mwalimu akafanye kipimo Cha ULTRASOUND kuweza kujua Kama ana PID.

THEN ATUMIE DAWA SAHIHI hapo utakua umemsaidia.
 
Wakuu salaam.
Hivi mke wa mtu aliyeolewa inawezekana vipi akawa na UTI kali? Mme wake haipigi. Nauliza haya maswali maana yamenikuta

Juzi nimetoka shamba nikakutana na mke wa jirani yangu mwalimu akanibless kimoja Cha chap! Lakini Hadi navyoongea hapa nimetoka kununua dawa ya kummaliza huyu mdudu.

Sasa najiuliza mme wake anafanyeje fanyeje asiumwe! Nimeambatanisha na dawa konki kwa wale wanaosumbliwa na UTI.

Nawasilisha.

View attachment 3122621
Ok, sawa

Ushauri:

(1). Ngono zembe husababisha magonjwa ya zinaa! Jikinge.

(2). Matumizi holela ya dawa za antibiotics husababisha usugu kwa dawa hizo. Kwa sasa kuna ongezeko la usugu wa dawa za antibiotics kuua bacteria/kutibu magonjwa mbalimbali yakiwepo hayo ya zinaa, kwa hiyo tusitumie hizo dawa kiholela bila kufuata ushauri wa wataalamu kwani tunakoelekea ni magonjwa hayo ya zinaa kutotibika.
 
Wakuu salaam.
Hivi mke wa mtu aliyeolewa inawezekana vipi akawa na UTI kali? Mme wake haipigi. Nauliza haya maswali maana yamenikuta

Juzi nimetoka shamba nikakutana na mke wa jirani yangu mwalimu akanibless kimoja Cha chap! Lakini Hadi navyoongea hapa nimetoka kununua dawa ya kummaliza huyu mdudu.

Sasa najiuliza mme wake anafanyeje fanyeje asiumwe! Nimeambatanisha na dawa konki kwa wale wanaosumbliwa na UTI.

Nawasilisha.

View attachment 3122621
😆😆😆😆 bado hujasema bila UTI usinge jitokeza shenzi wewe
 
Wakuu salaam.
Hivi mke wa mtu aliyeolewa inawezekana vipi akawa na UTI kali? Mme wake haipigi. Nauliza haya maswali maana yamenikuta

Juzi nimetoka shamba nikakutana na mke wa jirani yangu mwalimu akanibless kimoja Cha chap! Lakini Hadi navyoongea hapa nimetoka kununua dawa ya kummaliza huyu mdudu.

Sasa najiuliza mme wake anafanyeje fanyeje asiumwe! Nimeambatanisha na dawa konki kwa wale wanaosumbliwa na UTI.

Nawasilisha.

View attachment 3122621
wanapata UTI kutokana na kurikiwa mikojo kwenye vyoo vichafu. hata mabinti zako kama wadogo wape shule, akienda vyoo vya jumuiya kabla hajakojoa amwage maji ya kutosha, ama la anaweza kupata hata magonjwa ya ajabu. pia, anaweza kupata UTI toka kwa mumewe ambaye sio mwaminifu.
 
Wakuu salaam.
Hivi mke wa mtu aliyeolewa inawezekana vipi akawa na UTI kali? Mme wake haipigi. Nauliza haya maswali maana yamenikuta

Juzi nimetoka shamba nikakutana na mke wa jirani yangu mwalimu akanibless kimoja Cha chap! Lakini Hadi navyoongea hapa nimetoka kununua dawa ya kummaliza huyu mdudu.

Sasa najiuliza mme wake anafanyeje fanyeje asiumwe! Nimeambatanisha na dawa konki kwa wale wanaosumbliwa na UTI.

Nawasilisha.

View attachment 3122621
Hilo ni gonorrhea na ahitibiwi na dawa hizo. Nenda hospitali. Itakuwa sugu huwezi pona.
 
Back
Top Bottom