PSL god
JF-Expert Member
- Nov 18, 2023
- 8,435
- 6,476
HahahaNdio mshahara wako mkuu, angekuwa mke wako tungesema mengine lakini kwa huyo mke wa mtu itakuwa vema kama utamuuliza mumewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaNdio mshahara wako mkuu, angekuwa mke wako tungesema mengine lakini kwa huyo mke wa mtu itakuwa vema kama utamuuliza mumewe
Hilo ni gonorrhea na ahitibiwi na dawa hizo. Nenda hospitali. Itakuwa sugu huwezi pona.
Ulipata dalili gn mpaka ukaenda hospWakuu salaam.
Hivi mke wa mtu aliyeolewa inawezekana vipi akawa na UTI kali? Mme wake haipigi. Nauliza haya maswali maana yamenikuta
Juzi nimetoka shamba nikakutana na mke wa jirani yangu mwalimu akanibless kimoja Cha chap! Lakini Hadi navyoongea hapa nimetoka kununua dawa ya kummaliza huyu mdudu.
Sasa najiuliza mme wake anafanyeje fanyeje asiumwe! Nimeambatanisha na dawa konki kwa wale wanaosumbliwa na UTI.
Nawasilisha.
View attachment 3122621
Nyuzi kama hizi kupewa big attention ni uhalisia wa upuuzi mkubwa dhidi ya ndoa.Wakuu salaam.
Hivi mke wa mtu aliyeolewa inawezekana vipi akawa na UTI kali? Mme wake haipigi. Nauliza haya maswali maana yamenikuta
Juzi nimetoka shamba nikakutana na mke wa jirani yangu mwalimu akanibless kimoja Cha chap! Lakini Hadi navyoongea hapa nimetoka kununua dawa ya kummaliza huyu mdudu.
Sasa najiuliza mme wake anafanyeje fanyeje asiumwe! Nimeambatanisha na dawa konki kwa wale wanaosumbliwa na UTI.
Nawasilisha.
View attachment 3122621
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nahiyo miguu ulivyoitandaza kweli Hilo UTI ni grade A
mkuu Maelezo zaidi kuhusu hiiMshaur huyo mwalimu akafanye kipimo Cha ULTRASOUND kuweza kujua Kama ana PID.
THEN ATUMIE DAWA SAHIHI hapo utakua umemsaidia.
Wakuu salaam.
Hivi mke wa mtu aliyeolewa inawezekana vipi akawa na UTI kali? Mme wake haipigi. Nauliza haya maswali maana yamenikuta
Juzi nimetoka shamba nikakutana na mke wa jirani yangu mwalimu akanibless kimoja Cha chap! Lakini Hadi navyoongea hapa nimetoka kununua dawa ya kummaliza huyu mdudu.
Sasa najiuliza mme wake anafanyeje fanyeje asiumwe! Nimeambatanisha na dawa konki kwa wale wanaosumbliwa na UTI.
Nawasilisha.
View attachment 3122621
Ahhh mkuu ,kwahiyo wewe umezoea kwenda peku!Ahhh ndo nayotumia nikiyakanyaga
EehWakuu salaam.
Hivi mke wa mtu aliyeolewa inawezekana vipi akawa na UTI kali? Mme wake haipigi. Nauliza haya maswali maana yamenikuta
Juzi nimetoka shamba nikakutana na mke wa jirani yangu mwalimu akanibless kimoja Cha chap! Lakini Hadi navyoongea hapa nimetoka kununua dawa ya kummaliza huyu mdudu.
Sasa najiuliza mme wake anafanyeje fanyeje asiumwe! Nimeambatanisha na dawa konki kwa wale wanaosumbliwa na UTI.
Nawasilisha.
View attachment 3122621