The Initiator huru
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 1,993
- 2,635
Gono hilo mkuuWakuu salaam.
Hivi mke wa mtu aliyeolewa inawezekana vipi akawa na UTI kali? Mme wake haipigi. Nauliza haya maswali maana yamenikuta
Juzi nimetoka shamba nikakutana na mke wa jirani yangu mwalimu akanibless kimoja Cha chap! Lakini Hadi navyoongea hapa nimetoka kununua dawa ya kummaliza huyu mdudu.
Sasa najiuliza mme wake anafanyeje fanyeje asiumwe! Nimeambatanisha na dawa konki kwa wale wanaosumbliwa na UTI.
Nawasilisha.
View attachment 3122621
AiseeeeeNahiyo miguu ulivyoitandaza kweli Hilo UTI ni grade A
Mshaur huyo mwalimu akafanye kipimo Cha ULTRASOUND kuweza kujua Kama ana PID.Wakuu salaam.
Hivi mke wa mtu aliyeolewa inawezekana vipi akawa na UTI kali? Mme wake haipigi. Nauliza haya maswali maana yamenikuta
Juzi nimetoka shamba nikakutana na mke wa jirani yangu mwalimu akanibless kimoja Cha chap! Lakini Hadi navyoongea hapa nimetoka kununua dawa ya kummaliza huyu mdudu.
Sasa najiuliza mme wake anafanyeje fanyeje asiumwe! Nimeambatanisha na dawa konki kwa wale wanaosumbliwa na UTI.
Nawasilisha.
View attachment 3122621
Akikujib nambie πAliyekuambia hii dawa ni konki kwa U. T. I ni nani??
Ok, sawaWakuu salaam.
Hivi mke wa mtu aliyeolewa inawezekana vipi akawa na UTI kali? Mme wake haipigi. Nauliza haya maswali maana yamenikuta
Juzi nimetoka shamba nikakutana na mke wa jirani yangu mwalimu akanibless kimoja Cha chap! Lakini Hadi navyoongea hapa nimetoka kununua dawa ya kummaliza huyu mdudu.
Sasa najiuliza mme wake anafanyeje fanyeje asiumwe! Nimeambatanisha na dawa konki kwa wale wanaosumbliwa na UTI.
Nawasilisha.
View attachment 3122621
Ngoja tumsubilie hapa βΊοΈAkikujib nambie π
Ahhh ndo nayotumia nikiyakanyagaAliyekuambia hii dawa ni konki kwa U. T. I ni nani??
Hii ni UTI mkuu!.Gono hilo mkuu
AsanteUkome
ππππ bado hujasema bila UTI usinge jitokeza shenzi weweWakuu salaam.
Hivi mke wa mtu aliyeolewa inawezekana vipi akawa na UTI kali? Mme wake haipigi. Nauliza haya maswali maana yamenikuta
Juzi nimetoka shamba nikakutana na mke wa jirani yangu mwalimu akanibless kimoja Cha chap! Lakini Hadi navyoongea hapa nimetoka kununua dawa ya kummaliza huyu mdudu.
Sasa najiuliza mme wake anafanyeje fanyeje asiumwe! Nimeambatanisha na dawa konki kwa wale wanaosumbliwa na UTI.
Nawasilisha.
View attachment 3122621
wanapata UTI kutokana na kurikiwa mikojo kwenye vyoo vichafu. hata mabinti zako kama wadogo wape shule, akienda vyoo vya jumuiya kabla hajakojoa amwage maji ya kutosha, ama la anaweza kupata hata magonjwa ya ajabu. pia, anaweza kupata UTI toka kwa mumewe ambaye sio mwaminifu.Wakuu salaam.
Hivi mke wa mtu aliyeolewa inawezekana vipi akawa na UTI kali? Mme wake haipigi. Nauliza haya maswali maana yamenikuta
Juzi nimetoka shamba nikakutana na mke wa jirani yangu mwalimu akanibless kimoja Cha chap! Lakini Hadi navyoongea hapa nimetoka kununua dawa ya kummaliza huyu mdudu.
Sasa najiuliza mme wake anafanyeje fanyeje asiumwe! Nimeambatanisha na dawa konki kwa wale wanaosumbliwa na UTI.
Nawasilisha.
View attachment 3122621
Nimecheka sana......Nahiyo miguu ulivyoitandaza kweli Hilo UTI ni grade A
Nikipeleke machinjioni mkuuMshaur huyo mwalimu akafanye kipimo Cha ULTRASOUND kuweza kujua Kama ana PID.
THEN ATUMIE DAWA SAHIHI hapo utakua umemsaidia.
Nipe elimuUTI SIYO STI, ZINGATIA.
Hilo ni gonorrhea na ahitibiwi na dawa hizo. Nenda hospitali. Itakuwa sugu huwezi pona.Wakuu salaam.
Hivi mke wa mtu aliyeolewa inawezekana vipi akawa na UTI kali? Mme wake haipigi. Nauliza haya maswali maana yamenikuta
Juzi nimetoka shamba nikakutana na mke wa jirani yangu mwalimu akanibless kimoja Cha chap! Lakini Hadi navyoongea hapa nimetoka kununua dawa ya kummaliza huyu mdudu.
Sasa najiuliza mme wake anafanyeje fanyeje asiumwe! Nimeambatanisha na dawa konki kwa wale wanaosumbliwa na UTI.
Nawasilisha.
View attachment 3122621
Je mkeo anatambua kuwa tayari umenza kutumia dozi?Juzi nimetoka shamba nikakutana na mke wa jirani yangu mwalimu akanibless kimoja Cha chap!