UTI wa mgongo wa wamtesa Sabaya, kesi yake yaahirishwa tena

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
mwazo mgumu atazoea yeye alijipa unyapala akiwa kitaa Sasa kakutana na wenye vyeo vyao ukisikia nyapala wa gereza sio mchezo aise
 
',Yesu njoo,Roho mtakatifu shuka...,kwani Sabaya ni nani..' Nimekumbuka kilio cha mama mzee aliyenyang'anywa shamba na Sabaya huko Hai
 
Jina miaka 30 yuko hoi. Mbowe miaka 60 anadunda.


Vijana wa Ccm wanakuwa imara wakiwa na mabastola ya chama.

Nje ya hapo nimapoyoyo tu.
 
Janja janja, 99days for a thief and 1day for the owner.
Hata azuge vipi kesi bado iko pale pale, hiyo technique hutumika sana pale mtuhumiwa anapohabarishwa kuhusu mashahidi na ushahidi uliopo.
Hajali kuchelewesha kesi(mbinu ya kuwa frustrate mashahidi) kwakuwa tayari anatumikia kifungo kingine lakini hii ngoma mpaka imalizike.
 

Kulalia mebegi jela atazoea tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…