zous
JF-Expert Member
- Sep 25, 2017
- 3,152
- 5,854
Waarabu wametumia pesa ya mafuta na TEC wakatumia ushawishi wa kanisa kutokea vatican.
Pesa ikaelea juu ya maji na ushawishi wa kukomboa mateka ukazama chini ya maji.
Maana yake ni moja kuu,
Masikini hana hiari linapokuja suala la uhitaji wa mlo.
Hajui kama kesho yake utapatikana mlo hivyo hula kilafi leo hata kama ameshiba.
Hii ni kukaba penalty ambayo kikanuni ni kosa.
Hivi ndivyo watanzania tumeiuza haki yetu ya uzaliwa wa kwanza katika ardhi yetu kwa waarabu.
Ona hili bado linaganda mawazo ya nyuma [emoji23]wenzio washabadili gia we bdo umeachwa na masuala ya kuuzwa nchi