Waarabu wametumia pesa ya mafuta na TEC wakatumia ushawishi wa kanisa kutokea vatican.
Pesa ikaelea juu ya maji na ushawishi wa kukomboa mateka ukazama chini ya maji.
Maana yake ni moja kuu,
Masikini hana hiari linapokuja suala la uhitaji wa mlo.
Hajui kama kesho yake utapatikana mlo hivyo hula kilafi leo hata kama ameshiba.
Hii ni kukaba penalty ambayo kikanuni ni kosa.
Hivi ndivyo watanzania tumeiuza haki yetu ya uzaliwa wa kwanza katika ardhi yetu kwa waarabu.
Turudie, ni ushindi wa TEC na ndiyo maana wakakaribishwa kushuhudia uangushaji wa wino.Bila waraka wao hayo maboresho yangefanyika?
Mi naona ni ushindi mnene kwa TEC
Kutafakari nini?Ficha ujinga wako.Kuna wakati wa kukaa kimya na kutafakari.
Wa kupimwa akili wewe
HakikaTurudie, ni ushindi wa TEC na ndiyo maana wakakaribishwa kushuhudia uangushaji wa wino.
Unachopaswa kuandika au kutoandika.Kutafakari nini?
Lete kifungu cha sheriaUnachopaswa kuandika au kutoandika.
Subiri matusi kwa wafia diniHalikuwa jambo la kiungwana. Wahusika mnisikie na kunielewa. Jana, pale Ikulu Chamwino kwenye utiaji saini mikataba mitatu ya uwekezaji katika Bandari ya Dar es Salaam kati ya Serikali/TPA na DP World vilirushwa vijembe kwa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC).
Tuliofuatilia tunajua kuwa pale ukumbini alikuwepo Askofu Liberatus Sangu kama mwakilishi wa TEC. Wahusika mkaanza kumtumia Mrisho Mpoto kurusha vijembe. Badala ya kughani au kuimba kama ilivyotarajiwa, Mpoto alitoa hotuba na kutamba alivyotaka.
Akadai kuwa kwakuwa mikataba sasa iko vizuri 'hata waliokuwa wanapinga wamehudhuria pale na watakula nao chakula'. Kila mmoja anajua kuwa waliotoa Tamko ni TEC. Na jana walikuwepo pale. Kwanini uwepo wao uonekane ni kuunga mkono mikataba iliyosainiwa jana?
Kiukweli, vijembe vya Mpoto na wengineo vilimkosesha amani na utulivu Askofu Sangu. Akajiweka 'busy' na kuchukua 'notes' huku akishindwa hata kuwatazama wazungumzaji au majirani zake. Askofu Sangu alikuwa kwenye wakati mgumu. Hakukuwa na haja ya mambo yale.
Kama maoni ya watanzania yamezingatiwa, tuonesheni mikataba iliyosainiwa jana!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Mpwapwa, Dodoma)
Wanaposema muda ni miaka 30 unaelewa nini?Waeza kujiona una weruvu kwa kuamini kitu ila usiwe sahihi
Wamesema wameubadili?
Uliambiwa mkataba ni wa milele lakin kipengele cha muda ukuona
Afu leo unajipa moyo kua umebdilishwa [emoji23]
Huu ujinga wa kuchagua upande kwenye maslahi mapana ya taifa mtaacha lini?Kwani walioalikwa ni hao tu uliowataja?Waalikwa wengine hawahusiki?Mnajipa umuhimu wakati mlipinga?Turudie, ni ushindi wa TEC na ndiyo maana wakakaribishwa kushuhudia uangushaji wa wino.
Mwalimu wako alipata tabu sana kukuelewesha.Mwenyezi Mungu alimjalia sana subira.Lete kifungu cha sheria
MkuuHalikuwa jambo la kiungwana. Wahusika mnisikie na kunielewa. Jana, pale Ikulu Chamwino kwenye utiaji saini mikataba mitatu ya uwekezaji katika Bandari ya Dar es Salaam kati ya Serikali/TPA na DP World vilirushwa vijembe kwa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC).
Tuliofuatilia tunajua kuwa pale ukumbini alikuwepo Askofu Liberatus Sangu kama mwakilishi wa TEC. Wahusika mkaanza kumtumia Mrisho Mpoto kurusha vijembe. Badala ya kughani au kuimba kama ilivyotarajiwa, Mpoto alitoa hotuba na kutamba alivyotaka.
Akadai kuwa kwakuwa mikataba sasa iko vizuri 'hata waliokuwa wanapinga wamehudhuria pale na watakula nao chakula'. Kila mmoja anajua kuwa waliotoa Tamko ni TEC. Na jana walikuwepo pale. Kwanini uwepo wao uonekane ni kuunga mkono mikataba iliyosainiwa jana?
Kiukweli, vijembe vya Mpoto na wengineo vilimkosesha amani na utulivu Askofu Sangu. Akajiweka 'busy' na kuchukua 'notes' huku akishindwa hata kuwatazama wazungumzaji au majirani zake. Askofu Sangu alikuwa kwenye wakati mgumu. Hakukuwa na haja ya mambo yale.
Kama maoni ya watanzania yamezingatiwa, tuonesheni mikataba iliyosainiwa jana!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Mpwapwa, Dodoma)
Na kuna watu hawataki wawekezaji kwa kuangalia origin yao na hili kundi limepofuka kwa udini uliokithiri.Kwa mtazamo wangu hili jambo limekuwa la kidini zaidi badala ya kuangalia maslahi ya Taifa.
Kuna watu wanalazimisha wawekezaji kwa kuangalia origin yao.
Yaani imekua shida tupu.Na kuna watu hawataki wawekezaji kwa kuangalia origin yao na hili kundi limepofuka kwa udini uliokithiri.
Mkuu mimi siyo mjinga. Wamekaribishwa wengi. Hoja yangu ni kuwa TEC wamekaribishwa kwa sababu ya mchango wao. All things being equal ni mchango wa TEC uliokuwa unaeleweka na ni public.Huu ujinga wa kuchagua upande kwenye maslahi mapana ya taifa mtaacha lini?Kwani walioalikwa ni hao tu uliowataja?Waalikwa wengine hawahusiki?Mnajipa umuhimu wakati mlipinga?
Hawa makamanda uchwara wanajua kubadili gia angani😁Mkataba haujabadilishwa ndio uko vile vile ni unafki wa wanasiasa wa chadema so msijisifu mmeubadali akat ndio ulivo masuala ya milele zilikua ni siasa zenu za chuki