Utiaji saini Mikataba ya DP World: Hakukuwa na haja ya kuwatupia vijembe TEC


Ona hili bado linaganda mawazo ya nyuma [emoji23]wenzio washabadili gia we bdo umeachwa na masuala ya kuuzwa nchi
 
Subiri matusi kwa wafia dini
 
Waeza kujiona una weruvu kwa kuamini kitu ila usiwe sahihi
Wamesema wameubadili?
Uliambiwa mkataba ni wa milele lakin kipengele cha muda ukuona
Afu leo unajipa moyo kua umebdilishwa [emoji23]
Wanaposema muda ni miaka 30 unaelewa nini?
 
Turudie, ni ushindi wa TEC na ndiyo maana wakakaribishwa kushuhudia uangushaji wa wino.
Huu ujinga wa kuchagua upande kwenye maslahi mapana ya taifa mtaacha lini?Kwani walioalikwa ni hao tu uliowataja?Waalikwa wengine hawahusiki?Mnajipa umuhimu wakati mlipinga?
 
Mkuu


kilichofanyika Ikulu ni utapeli mwingine kama kawaida yao. TICTS ilipewa mktaba wa miaka 20 plus na walikuwa tathimini kila baada ya miaka mitano lakini ufanisi ulikuwa haukidhi je, waliwatoa wakati walifikisha mpaka miaka 22?

Hakuna cha maana kitakachowanufaisha wananchi hapo eti watawanyanyua wananchi masikini wapatao milioni 15 kupitia mapato ya bandari.....are you fox serious?
 
Kwa mtazamo wangu hili jambo limekuwa la kidini zaidi badala ya kuangalia maslahi ya Taifa.

Kuna watu wanalazimisha wawekezaji kwa kuangalia origin yao.
 
Kwa mtazamo wangu hili jambo limekuwa la kidini zaidi badala ya kuangalia maslahi ya Taifa.

Kuna watu wanalazimisha wawekezaji kwa kuangalia origin yao.
Na kuna watu hawataki wawekezaji kwa kuangalia origin yao na hili kundi limepofuka kwa udini uliokithiri.
 
Na kuna watu hawataki wawekezaji kwa kuangalia origin yao na hili kundi limepofuka kwa udini uliokithiri.
Yaani imekua shida tupu.

Tunaaminishwa wawekezaji wanauwezo mkubwa kisa tu ni waislamu na wanaopinga basi wanaambiwa wanawakataa wawekezaji kwakua wao ni wakristo na hawapendi waislamu.

Ila historia ni shahidi Mzuri ipo siku tutaongea lugha moja kuhusiana na performance ya hawa jamaa.
 
Hakuna anayedai wana uwezo kwa sababu ni waislamu bali wanaunga mkono kwa sababu wanaopinga wanapinga kwa sababu TU wawekezaji ni waislamu na sio uwezo wao kiutendaji.Propoganda za kijinga kwa sababu DP World wapo na wanaendesha bandari kwenye Nchi nyingi duniani zilizoendelea kuliko sisi.
 
Pongezi nyingi kwa TEC tumeona juhudi kubwa mlizofanya mpaka kukamilisha vyema suala nyeti la bandari
 
Huu ujinga wa kuchagua upande kwenye maslahi mapana ya taifa mtaacha lini?Kwani walioalikwa ni hao tu uliowataja?Waalikwa wengine hawahusiki?Mnajipa umuhimu wakati mlipinga?
Mkuu mimi siyo mjinga. Wamekaribishwa wengi. Hoja yangu ni kuwa TEC wamekaribishwa kwa sababu ya mchango wao. All things being equal ni mchango wa TEC uliokuwa unaeleweka na ni public.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…